mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 2,120
- 2,709
Yalianza jana kupitia airtel, muamala wa malipo haukufanyika
Sasa leo nawapigia simu zuku ili angalau niwafahamishe kuwa nimeshalipa ni airtel ndio wanachelewesha hela yao weeeee dakika 140 zimeisha
Dakika 140 zimeisha bila simu kujibiwa
Na sasa hivi nipo raundi ya pili dakika 70 zimekata ni kusubirishwa tu hamna huduma
Nadhani sisi bado sana kutumia teknologia, nashauri mamlaka zichunguze hili wasioweza basi na warudi kutumia makaratasi
Sasa leo nawapigia simu zuku ili angalau niwafahamishe kuwa nimeshalipa ni airtel ndio wanachelewesha hela yao weeeee dakika 140 zimeisha
Dakika 140 zimeisha bila simu kujibiwa
Na sasa hivi nipo raundi ya pili dakika 70 zimekata ni kusubirishwa tu hamna huduma
Nadhani sisi bado sana kutumia teknologia, nashauri mamlaka zichunguze hili wasioweza basi na warudi kutumia makaratasi