Hizi ni effects za kurely on the east african for info....fanya research....the word magaidi is a relative term
PK is not any less of a gaidi if u ask me! In fact every government on earth is a terrorist group, depending on whom you ask!
Hehehe.... .yaani wewe ungejijua ulivyo shallow, wala usingekua unaandika chochote.akili size ya kikombe ya chai. hautaji majibu. uji.nga reloaded 2014
Kwanini hataki FDLR watimuliwe? For what?tanzania wako pale kama bootlickers wa south africa. interest za biashara za SA ndio tz wanachezeshwa mviringo na zuma. zuma hataki FDLR watimuliwe lakini chuma ki motoni.
Museveni is proving to be an authority in the whole region. Yuko Somalia, South Sudan na hata hii ngoma ya FDLR anataka kuirekebisha. Afanye mambo mzee, for the first time am so proud of him. UN wamewapa hao FDLR had January waweke silaha chini la sivyo wapate kichapo.
SADC wakae pembeni hii ngoma haiwahusu na wakithubutu watakipata.
DRC ni member WA SADC. Hauwezi kwenda kuingia tu kule kama unaingia chumbani kwako na SADC members wakuangalie tu!
tanzania wako pale kama bootlickers wa south africa. interest za biashara za SA ndio tz wanachezeshwa mviringo na zuma. zuma hataki FDLR watimuliwe lakini chuma ki motoni.
Ile Kenya Drinking Force ndio itoe kichapo!?DRC ni member wa SADC lakini amewahifadhi magaidi wanaochokonoa member wa EAC, na SADC wameshindwa kuwathibiti. Hivyo ni kichapo bila kuongea na SADC. Na yeyote wa SADC asithubutu kuingilia la sivyo itakua vita vya Afrika yote. Ngoma ianze sasa, January tarehe mbili (2) ndio mwisho.
Ndala wamemuua mu7 na pk,zuma alienda kumpga mkwara mu7 kuwa akae kimya vingnevyo atabinywa kimya kimya,kwa mauaj ya ndala hakika january 3 hakuna vita,kule easn congo wananch hawaipend rwanda na uganda so expect nothng,kenya always hajielew halipo,yey fuata upepo
Hata mimi namshangaa...sijui ni nini kimempelekea kutumia neno Tanzania wanapenda magaidi...
Na anachoshadadia sikijui...
Huyu si Mkenya huyu?
Pilipili ya shamba inamuwashia nini?
hakika Tz tunaonewa kijicho...wana team up kutumaliza...na hawataweza...
Hii inatupa sababu ya kutoacha kuwa member wa SADC...where we have true firends..si hawa power mongers...
Kikwete anataka kumuonyesha Kagame nani mwanaume zaidi hapa EA! Tena Kagame ana bahati Kikwete yuko njiani kutoka madarakani lakini nina uhakika atayekuja ataliendeleza
Hawa marais wote akiwemo huyo Zuma wamemkuta Mu7 uongozini, yeye ni mkongwe wa mambo haya na ndio tegemeo letu ukanda huu wote. Yeye ndiye kiboko dhidi ya hiyo SADC. January FDLR waweke chini silaha na wahamie nchi za SADC labda Bongo, otherwise watakipata.
DRC ni member wa SADC lakini amewahifadhi magaidi wanaochokonoa member wa EAC, na SADC wameshindwa kuwathibiti. Hivyo ni kichapo bila kuongea na SADC. Na yeyote wa SADC asithubutu kuingilia la sivyo itakua vita vya Afrika yote. Ngoma ianze sasa, January tarehe mbili (2) ndio mwisho.