Zumaridi aandike Biblia yake mwenyewe kama walivyofanya manabii wa zamani

Zumaridi aandike Biblia yake mwenyewe kama walivyofanya manabii wa zamani

The Assassin

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2018
Posts
4,942
Reaction score
20,077
Nabii mfalme Zumaridi anatakiwa kukumbushwa kuandika biblia ama ufunuo wake kama wlaivyofanya manabii wa zamani.

Dini hizi tunazoziona sasa zilianza kama ilivyo kwa Zumaridi lakini miaka kadhaa mbele sasa ni jamii kubwa ya waumini wakiamini kilichoandikwa na manabii kama Zumaridi wa huko nyuma

Miaka 2000+ iliyopita wakati Yesu Kristo anasema ametumwa na Mungu na kuanzisha ukristo, kwa miaka ile hakuna aliemuamini, alizomewa kama Zumaridi wa sasa, ila sasa Ukristo unabwafuasi zaidi ya Bilioni 2.

Miaka 1400+ iliyopita wakati Mohamed anaanzisha uislamu, kwa maelezo kwamba ameonyeshwa ana kuoteshwa na Mungu hakuna mtu aliemuamini ila leo uislamu una wafuasi zaidi ya Bilioni 1.

Miaka 150+iliyopita wakati Elen G white anaanzisha usabato kwa maelezo kwamba alionyeshwa na Mungu, hakuna aliemuamini miaka ile, ila leo Wasabato wamejaa Duniani Kote.

Miaka 160+ wakati Joseph Smith anaanzisha dhehebu lake la Mormon kwa maelezo kwamba Yesu baada ya kufufuka alienda Marekani kabla ya kwenda Mbinguni, hakuna aliemuamini ila leo Mormon wamejaa Duniani kote.

Miaka 140+ iliyopita wakati Charles Russel anaanzisha mashahidi wa yehova hakuna aliemuamini ila leo mashahidi wa yehova wamejaa Duniani kote.

Hao niliowataja wamefanikiwa kwa sababu waliacha maandishi ya ufunuo waliouona huko Mbinguni walipoonyeshwa na Mungu ama Yesu.

Zumaridi anapaswa kuandika kitabu ama biblia yake mwenyewe ya kile alichokiona kwa macho yake Mbinguni ili hata akifa miaka ijayo waumini na wafuasi wake watakua na kumbukumbu ya alichokuonyeshwa Nabii Zumaridi.

Ni jambo jema sasa kwa ulimwengu wa sasa oua na nabii anaeonyeshwa na kuoteshwa na kuja kutupatia mrejesho wakati akiwa hai hivyo tuna nafasi ya kuhoji na kuuliza alichokiona. Hao manabii wa zamani hatuna nafasi ya kuwahoji unabii wao waliutoa wapi, kuna vitu vingi vya kuwahoji ila hawapo hivyo nafasi haipo tena.

Zumaridi anapaswa kuenziwa na kuheshimiwa, miaka 50 ijayo tunaweza kua na dhehebu kubwa Duniani lililoanzia Tanzania kama madhehebu ama dini nyingine.
 
Huyu aliyesema Mbinguni kuna magorofa na Peter alitaka amuoe yeye akakataa mbele ya Ibrahimu?🤣🙌
 
Huyu aliyesema Mbinguni kuna magorofa na Peter alitaka amuoe yeye akakataa mbele ya Ibrahimu?🤣🙌
Ndicho alichokiona yeye. Wewe kama umewahi kuona mbinguni kukoje tuelezee tujue tuone tofauti yako na ya Zumaridi.
 
Nabii mfalme Zumaridi anatakiwa kukumbushwa kuandika biblia ama ufunuo wake kama wlaivyofanya manabii wa zamani.

Dini hizi tunazoziona sasa zilianza kama ilivyo kwa Zumaridi lakini miaka kadhaa mbele sasa ni jamii kubwa ya waumini wakiamini kilichoandikwa na manabii kama Zumaridi wa huko nyuma

Miaka 2000+ iliyopita wakati Yesu Kristo anasema ametumwa na Mungu na kuanzisha ukristo, kwa miaka ile hakuna aliemuamini, alizomewa kama Zumaridi wa sasa, ila sasa Ukristo unabwafuasi zaidi ya Bilioni 2.

Miaka 1400+ iliyopita wakati Mohamed anaanzisha uislamu, kwa maelezo kwamba ameonyeshwa ana kuoteshwa na Mungu hakuna mtu aliemuamini ila leo uislamu una wafuasi zaidi ya Bilioni 1.

Miaka 150+iliyopita wakati Elen G white anaanzisha usabato kwa maelezo kwamba alionyeshwa na Mungu, hakuna aliemuamini miaka ile, ila leo Wasabato wamejaa Duniani Kote.

Miaka 160+ wakati Joseph Smith anaanzisha dhehebu lake la Mormon kwa maelezo kwamba Yesu baada ya kufufuka alienda Marekani kabla ya kwenda Mbinguni, hakuna aliemuamini ila leo Mormon wamejaa Duniani kote.

Miaka 140+ iliyopita wakati Charles Russel anaanzisha mashahidi wa yehova hakuna aliemuamini ila leo mashahidi wa yehova wamejaa Duniani kote.

Hao niliowataja wamefanikiwa kwa sababu waliacha maandishi ya ufunuo waliouona huko Mbinguni walipoonyeshwa na Mungu ama Yesu.

Zumaridi anapaswa kuandika kitabu ama biblia yake mwenyewe ya kile alichokiona kwa macho yake Mbinguni ili hata akifa miaka ijayo waumini na wafuasi wake watakua na kumbukumbu ya alichokuonyeshwa Nabii Zumaridi.

Ni jambo jema sasa kwa ulimwengu wa sasa oua na nabii anaeonyeshwa na kuoteshwa na kuja kutupatia mrejesho wakati akiwa hai hivyo tuna nafasi ya kuhoji na kuuliza alichokiona. Hao manabii wa zamani hatuna nafasi ya kuwahoji unabii wao waliutoa wapi, kuna vitu vingi vya kuwahoji ila hawapo hivyo nafasi haipo tena.

Zumaridi anapaswa kuenziwa na kuheshimiwa, miaka 50 ijayo tunaweza kua na dhehebu kubwa Duniani lililoanzia Tanzania kama madhehebu ama dini nyingine.
Kati ya wote hao, kuna aliyethibitisha kwamba Mungu yupo?

Au tunapigiana longolongo tu?
 
Ndicho alichokiona yeye. Wewe kama umewahi kuona mbinguni kukoje tuelezee tujue tuone tofauti yako na ya Zumaridi.
Mi nimeona Kuna uwanja mpana usio na mwisho, wazee 24, maserafi na makerubi wakiinama na kuinuka kumtukuza Mungu.😊
 
Nabii mfalme Zumaridi anatakiwa kukumbushwa kuandika biblia ama ufunuo wake kama wlaivyofanya manabii wa zamani.

Dini hizi tunazoziona sasa zilianza kama ilivyo kwa Zumaridi lakini miaka kadhaa mbele sasa ni jamii kubwa ya waumini wakiamini kilichoandikwa na manabii kama Zumaridi wa huko nyuma

Miaka 2000+ iliyopita wakati Yesu Kristo anasema ametumwa na Mungu na kuanzisha ukristo, kwa miaka ile hakuna aliemuamini, alizomewa kama Zumaridi wa sasa, ila sasa Ukristo unabwafuasi zaidi ya Bilioni 2.

Miaka 1400+ iliyopita wakati Mohamed anaanzisha uislamu, kwa maelezo kwamba ameonyeshwa ana kuoteshwa na Mungu hakuna mtu aliemuamini ila leo uislamu una wafuasi zaidi ya Bilioni 1.

Miaka 150+iliyopita wakati Elen G white anaanzisha usabato kwa maelezo kwamba alionyeshwa na Mungu, hakuna aliemuamini miaka ile, ila leo Wasabato wamejaa Duniani Kote.

Miaka 160+ wakati Joseph Smith anaanzisha dhehebu lake la Mormon kwa maelezo kwamba Yesu baada ya kufufuka alienda Marekani kabla ya kwenda Mbinguni, hakuna aliemuamini ila leo Mormon wamejaa Duniani kote.

Miaka 140+ iliyopita wakati Charles Russel anaanzisha mashahidi wa yehova hakuna aliemuamini ila leo mashahidi wa yehova wamejaa Duniani kote.

Hao niliowataja wamefanikiwa kwa sababu waliacha maandishi ya ufunuo waliouona huko Mbinguni walipoonyeshwa na Mungu ama Yesu.

Zumaridi anapaswa kuandika kitabu ama biblia yake mwenyewe ya kile alichokiona kwa macho yake Mbinguni ili hata akifa miaka ijayo waumini na wafuasi wake watakua na kumbukumbu ya alichokuonyeshwa Nabii Zumaridi.

Ni jambo jema sasa kwa ulimwengu wa sasa oua na nabii anaeonyeshwa na kuoteshwa na kuja kutupatia mrejesho wakati akiwa hai hivyo tuna nafasi ya kuhoji na kuuliza alichokiona. Hao manabii wa zamani hatuna nafasi ya kuwahoji unabii wao waliutoa wapi, kuna vitu vingi vya kuwahoji ila hawapo hivyo nafasi haipo tena.

Zumaridi anapaswa kuenziwa na kuheshimiwa, miaka 50 ijayo tunaweza kua na dhehebu kubwa Duniani lililoanzia Tanzania kama madhehebu ama dini nyingine.
Labda biblia ya mungu wake wa gamboshi
 
Nabii mfalme Zumaridi anatakiwa kukumbushwa kuandika biblia ama ufunuo wake kama wlaivyofanya manabii wa zamani.

Dini hizi tunazoziona sasa zilianza kama ilivyo kwa Zumaridi lakini miaka kadhaa mbele sasa ni jamii kubwa ya waumini wakiamini kilichoandikwa na manabii kama Zumaridi wa huko nyuma

Miaka 2000+ iliyopita wakati Yesu Kristo anasema ametumwa na Mungu na kuanzisha ukristo, kwa miaka ile hakuna aliemuamini, alizomewa kama Zumaridi wa sasa, ila sasa Ukristo unabwafuasi zaidi ya Bilioni 2.

Miaka 1400+ iliyopita wakati Mohamed anaanzisha uislamu, kwa maelezo kwamba ameonyeshwa ana kuoteshwa na Mungu hakuna mtu aliemuamini ila leo uislamu una wafuasi zaidi ya Bilioni 1.

Miaka 150+iliyopita wakati Elen G white anaanzisha usabato kwa maelezo kwamba alionyeshwa na Mungu, hakuna aliemuamini miaka ile, ila leo Wasabato wamejaa Duniani Kote.

Miaka 160+ wakati Joseph Smith anaanzisha dhehebu lake la Mormon kwa maelezo kwamba Yesu baada ya kufufuka alienda Marekani kabla ya kwenda Mbinguni, hakuna aliemuamini ila leo Mormon wamejaa Duniani kote.

Miaka 140+ iliyopita wakati Charles Russel anaanzisha mashahidi wa yehova hakuna aliemuamini ila leo mashahidi wa yehova wamejaa Duniani kote.

Hao niliowataja wamefanikiwa kwa sababu waliacha maandishi ya ufunuo waliouona huko Mbinguni walipoonyeshwa na Mungu ama Yesu.

Zumaridi anapaswa kuandika kitabu ama biblia yake mwenyewe ya kile alichokiona kwa macho yake Mbinguni ili hata akifa miaka ijayo waumini na wafuasi wake watakua na kumbukumbu ya alichokuonyeshwa Nabii Zumaridi.

Ni jambo jema sasa kwa ulimwengu wa sasa oua na nabii anaeonyeshwa na kuoteshwa na kuja kutupatia mrejesho wakati akiwa hai hivyo tuna nafasi ya kuhoji na kuuliza alichokiona. Hao manabii wa zamani hatuna nafasi ya kuwahoji unabii wao waliutoa wapi, kuna vitu vingi vya kuwahoji ila hawapo hivyo nafasi haipo tena.

Zumaridi anapaswa kuenziwa na kuheshimiwa, miaka 50 ijayo tunaweza kua na dhehebu kubwa Duniani lililoanzia Tanzania kama madhehebu ama dini nyingine.
Kwa nini unapropose iitwe biblia wakati yeye sii mkristu?
Kwa nini mnaita sehemu anakofanyia mazingaombwe kuwa ni kanisa wakati kanisa ni kwa wale wanaomkiri Yesu kuwa bwana na mwokozi wao?
 
Kwa nini unapropose iitwe biblia wakati yeye sii mkristu?
Kwa nini mnaita sehemu anakofanyia mazingaombwe kuwa ni kanisa wakati kanisa ni kwa wale wanaomkiri Yesu kuwa bwana na mwokozi wao?
Unawajua Mormon?
Kajifunze ni watu gani hao. Wana biblia yao sambamba na biblia ya kawaida na ni wakristo.

Wasabato pia, vitabu vya Elen G white ni sawa na biblia na bado ni wakristo.

Hakuna ubaya wa Zumaridi kua na biblia yake sambamba na hii ya kawaida na bado akawa mkiristo
 
Zumaridi ni mtu makini sana, sasa unashangaa magorofa mbinguni,wakati binadamu tu ameweza kujenga duniani
Ndio ushangae, kwamba mungu hawezi kujenga magorofa?

Watu wana nadharia zao za mbinguni ambazo wamezijenga vichwani, Zumaridi yeye amefika live so wa kumuamini ni Zumaridi.
 
Kati ya wote hao, kuna aliyethibitisha kwamba Mungu yupo?

Au tunapigiana longolongo tu?
Hakuna. Wote hao wanatoa ngonjera na hadithi tu.

Kwa ujumla dini ni longolongo zisizo na kichwa wala miguu.
 
Zumaridi ni Legendary , aachwe tafadhali , aliyewahi kufika huko mbinguni aje amkanushe mfalme Zumaridi , Mungu hana dini, na kama we dini yako ndo ya kweli nyosha mkono juu
 
Nabii mfalme Zumaridi anatakiwa kukumbushwa kuandika biblia ama ufunuo wake kama wlaivyofanya manabii wa zamani.

Dini hizi tunazoziona sasa zilianza kama ilivyo kwa Zumaridi lakini miaka kadhaa mbele sasa ni jamii kubwa ya waumini wakiamini kilichoandikwa na manabii kama Zumaridi wa huko nyuma

Miaka 2000+ iliyopita wakati Yesu Kristo anasema ametumwa na Mungu na kuanzisha ukristo, kwa miaka ile hakuna aliemuamini, alizomewa kama Zumaridi wa sasa, ila sasa Ukristo unabwafuasi zaidi ya Bilioni 2.

Miaka 1400+ iliyopita wakati Mohamed anaanzisha uislamu, kwa maelezo kwamba ameonyeshwa ana kuoteshwa na Mungu hakuna mtu aliemuamini ila leo uislamu una wafuasi zaidi ya Bilioni 1.

Miaka 150+iliyopita wakati Elen G white anaanzisha usabato kwa maelezo kwamba alionyeshwa na Mungu, hakuna aliemuamini miaka ile, ila leo Wasabato wamejaa Duniani Kote.

Miaka 160+ wakati Joseph Smith anaanzisha dhehebu lake la Mormon kwa maelezo kwamba Yesu baada ya kufufuka alienda Marekani kabla ya kwenda Mbinguni, hakuna aliemuamini ila leo Mormon wamejaa Duniani kote.

Miaka 140+ iliyopita wakati Charles Russel anaanzisha mashahidi wa yehova hakuna aliemuamini ila leo mashahidi wa yehova wamejaa Duniani kote.

Hao niliowataja wamefanikiwa kwa sababu waliacha maandishi ya ufunuo waliouona huko Mbinguni walipoonyeshwa na Mungu ama Yesu.

Zumaridi anapaswa kuandika kitabu ama biblia yake mwenyewe ya kile alichokiona kwa macho yake Mbinguni ili hata akifa miaka ijayo waumini na wafuasi wake watakua na kumbukumbu ya alichokuonyeshwa Nabii Zumaridi.

Ni jambo jema sasa kwa ulimwengu wa sasa oua na nabii anaeonyeshwa na kuoteshwa na kuja kutupatia mrejesho wakati akiwa hai hivyo tuna nafasi ya kuhoji na kuuliza alichokiona. Hao manabii wa zamani hatuna nafasi ya kuwahoji unabii wao waliutoa wapi, kuna vitu vingi vya kuwahoji ila hawapo hivyo nafasi haipo tena.

Zumaridi anapaswa kuenziwa na kuheshimiwa, miaka 50 ijayo tunaweza kua na dhehebu kubwa Duniani lililoanzia Tanzania kama madhehebu ama dini nyingine.
We ulikuwepo miaka hiyo? Acha uzuzu. Yule ni kichaa, au nawe hazimo
 
Back
Top Bottom