Zumaridi ni mungu asiye na mbingu yake hadi anaenda kwenye mbingu ya Mungu mwingine

Zumaridi ni mungu asiye na mbingu yake hadi anaenda kwenye mbingu ya Mungu mwingine

ngoja niendelee na harakati zangu yakukaa kwa hili goma, halafu nilishawishi tufunge kanisa tuhamie zetu mbinguni.....
 
Ona wafuasi wake wanavyosujudu kwa kubong'oa mungu wao akipita [emoji15]

Hawa akiwaambia wanywe sumu ili waende mbinguni kama Jim Jones alivyofanya kule Guyana au wajichome moto kama Kibwetere wa Uganda mara moja wanatekeleza.

Serikali itabidi wamwangalie kwa ukaribu maana ana potential kubwa ya kuleta maafa makubwa huko mbele ya safari.

View attachment 2561243View attachment 2561244
Aisee! This sounds weird! Kuna kitu gani amewapa hawa watu mpaka anawafanya hivi na wanakubali?
 
Kila siku mnaambiwa kwamba raia wa nchi hii hasa wasukuma wana IQ ndogo Sana.

Nilidhan hiyo ni fursa ya kuwatumia kupiga hela Kama anavyofanya Zumarid.

Unamshangaa Zumarid Kwa kuwa hujui kwamba ameamua kugeuza changamoto ya akili ya watz kuwa fursa

Kwangu Zumarid ni akili kubwa
 
Ona wafuasi wake wanavyosujudu kwa kubong'oa mungu wao akipita [emoji15]

Hawa akiwaambia wanywe sumu ili waende mbinguni kama Jim Jones alivyofanya kule Guyana au wajichome moto kama Kibwetere wa Uganda mara moja wanatekeleza.

Serikali itabidi wamwangalie kwa ukaribu maana ana potential kubwa ya kuleta maafa makubwa huko mbele ya safari.

View attachment 2561243View attachment 2561244
Ila hii nchi ina watu wajinga wengi sana. Yaani hapo juu kuna pisi kali za kutosha tu, lakini kichwani hamna kitu.
 
Back
Top Bottom