Zumaridi ni mungu asiye na mbingu yake hadi anaenda kwenye mbingu ya Mungu mwingine

ngoja niendelee na harakati zangu yakukaa kwa hili goma, halafu nilishawishi tufunge kanisa tuhamie zetu mbinguni.....
 
Aisee! This sounds weird! Kuna kitu gani amewapa hawa watu mpaka anawafanya hivi na wanakubali?
 
Kila siku mnaambiwa kwamba raia wa nchi hii hasa wasukuma wana IQ ndogo Sana.

Nilidhan hiyo ni fursa ya kuwatumia kupiga hela Kama anavyofanya Zumarid.

Unamshangaa Zumarid Kwa kuwa hujui kwamba ameamua kugeuza changamoto ya akili ya watz kuwa fursa

Kwangu Zumarid ni akili kubwa
 
Ila hii nchi ina watu wajinga wengi sana. Yaani hapo juu kuna pisi kali za kutosha tu, lakini kichwani hamna kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…