Pre GE2025 Zungu: CHADEMA inaenda kuleta mgogoro kati ya raia na polisi

Pre GE2025 Zungu: CHADEMA inaenda kuleta mgogoro kati ya raia na polisi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

McLaren

Member
Joined
Feb 19, 2025
Posts
53
Reaction score
78
Akiwa anachambua kauli ya No Reforms No Election, Zungu ambaye ni mchambuzi maarufu wa siasa nchini amesema na mtangazaji wa kipindi cha Morning Bantu cha ST Bongo amesema:

"Kama walichokizungumza CHADEMA kitaenda kufanikiwa basi inaenda kuleta ugomvi kati ya raia na vyombo vya dola,kwasababu njia pekee ya kuzuia uchaguzi ni maandamano hivyo ilikuzuia uchaguzi inamaana raia wanatakiwa kwenda barabarani"




 
Muulizeni Je Wanaoiba Uchaguzi wanatengeneza mgogoro kati ya nani na nani?

Muulizeni pia dola ikiwatisha wananchi wasiandamane kwa akili yake anaona tafsiri ya hiyo ni wananchi hawaiungi mkono Chadema?
 
Hivi Maandamano yaliyofuata utaratibu yanakatazwa na KATIBA??..ila nafurahi namna agenda ya NO REFORMS, NO ELECTION inavyopewa air time..Go go CHADEMA
 
Akiwa anachambua kauli ya No Reforms No Election, Zungu ambaye ni mchambuzi maarufu wa siasa nchini amesema na mtangazaji wa kipindi cha Morning Bantu cha ST Bongo amesema:

"Kama walichokizungumza CHADEMA kitaenda kufanikiwa basi inaenda kuleta ugomvi kati ya raia na vyombo vya dola,kwasababu njia pekee ya kuzuia uchaguzi ni maandamano hivyo ilikuzuia uchaguzi inamaana raia wanatakiwa kwenda barabarani"



Sometimes kama huna la kuongea nyamaza huyu jamaa hajui kwamba maandamano ni haki ya kikatiba??
Je! Hajui kuwa hakuna haki inapatikana kwenye sahani ya dhahabu??? Nyerere mwenyewe alifungwa. Serikali ya Zanzibar yenyewe ipo kwa sababu ya Mapinduzi yaliyohusisha vifo vya watu wengi sana.
Nashauri arudi shule au awe anasoma topic husika kwa undani kabla ya kwenda hewani.
 
Akiwa anachambua kauli ya No Reforms No Election, Zungu ambaye ni mchambuzi maarufu wa siasa nchini amesema na mtangazaji wa kipindi cha Morning Bantu cha ST Bongo amesema:

"Kama walichokizungumza CHADEMA kitaenda kufanikiwa basi inaenda kuleta ugomvi kati ya raia na vyombo vya dola,kwasababu njia pekee ya kuzuia uchaguzi ni maandamano hivyo ilikuzuia uchaguzi inamaana raia wanatakiwa kwenda barabarani"



Uchambuzi mbuzi sana
 
Ni fedheha sekta ya mawasiliano kwa umma hususan vituo vya radio, stesheni za televisheni, online media kukosa weledi wa kutambua kinachoendele katika mazingira yao kwa mfano hali halisi nzima ya kisiasa nchini Tanzania :
  • Mtangazaji Zungu East AfricanRADIO - " ugomvi baina ya dola *(Polisi), No Reforms No Election na Wafuasi wa CHADEMA" wakati ukweli siyo ugomvi bali CHADEMA wanadai haki
  • Mwandishi jukwaa la wahariri Paschal Mayala " Tundu lissu akiwa anaumwa Rais Samia alimtembelea Hospitali Nairobi" wakati ukweli ni kuwa Tundu Lissu hakuwa anaumwa bali alikuwa hospitali akitibiwa majeraha na siyo mgonjwa.
Hii tabia ya waandishi habari kushindwa kuona hali halisi kuwa fulani ni mgonjwa au kikundi kina dai haki ya kikatiba na siyo ugomvi.

Je misemo hii ya kutumia maneno yasiyo sahihi ni matatizo ya kushindwa kufafanua jambo lilivyo katika uhalisia wake au ni nia ovu kufunika matendo mabaya yanayofanyika kwa kutumia vyombo vya dola kunyima haki ya kikatiba inageuzwa ni ugomvi na mtu kujeruhiwa kwa kushambuliwa inageuzwa ni ugomvi.

Ni wakati waziri wa habari na michezo *( wizara ya ukweli). *kuwafunda waandishi, wahariri na watangazaji kuacha kupotosha ukweli, na wachukuliwe hatua za kinidhamu za Maudhui ya Habari kwa kusema uongo katika vyombo vya habari kwa kujifanya wanachambua vitu serious labda watuambie kwa uwazi walikuwa wanafanya propaganda kwa ajili ya manufaa ya chama tawala na dola.

View: https://m.youtube.com/watch?v=pSumg8yOqMk
Pascal Mayala mwandishi guli msomi aliye mwanasheria wa Mahakama Kuu - " Samia alikutembelea Tundu Lissu ukiwa unaumwa hospitalini Nairobi Kenya..."


TOKA MAKTABA :
Profesa Palamagamba Kabudi kuongoza Wizara ya Ukweli - Wizara ya Habari Propaganda

Serikali ya CCM inahagaika sana kujisafisha baada ya uchafuzi uchaguzi TAMISEMI 2024. Hii inakumbusha kazi ya mtunzi wa riwaya George Orwell na kitabu chake maarufu duniani kiendacho kwa jina 1984 ambapo kuna wizara ya ukweli.

Mfano Ni nini kinashangaza kuhusu jina la Wizara ya Ukweli? (ya CCM) itakayowaleta waziri Kabudi, katibu mkuu SG balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, Mzee S.Wassira, Prof. Kitila Mkumbo, CPA Amos Makalla n.k kwenu wananchi wapenzi mubashara kila mara kupitia TBC ikijiunga na kituo huru cha Channel Ten siku ya jumapili usiku muda kuanzia saa 3 usiku kuzungumzia HAKI

Wizara kubwa na muhimu kupita zote ni Wizara ya Ukweli. Hapa ndipo Winston (kinara waziri Prof. Kabudi ) anafanya kazi.

Kinachoshangaza ni kwamba, Wizara ya Ukweli imejikita katika kuunda uwongo. Wafanyakazi katika idara ya Winston na kule mtaa wa Lumumba ofisi ndogo ya CCM kupitia UVCCM hutumia siku yao kubadilisha rekodi za kihistoria ili ziakisi chochote kinachotokea wakati huo, ikiwemo ya mwendazake aliyoiacha katika miradi ya vitu n.k .


Je, kazi ya Winston kada wa chama katika nukuu ya Wizara ya Ukweli ni ipi?

Winston anaenda kufanya kazi katika idara ya kumbukumbu ya Wizara ya Ukweli. Anakaa kwenye meza yake, akiangalia maandishi yake, mashine ambayo huandika kile anachozungumza ndani yake.

Kazi yake profesa itakijikita zaidi kusasisha taarifa zozote za maandishi ambazo zimethibitishwa kuwa si sahihi au zenye madhara kwa Chama - George Orwell 1984



Je, Wizara ya Ukweli inatumia msemo gani? Wizara ya Ukweli ina kauli mbiu tatu: "Vita ni Amani," "Uhuru ni Utumwa," na "Ujinga ni Nguvu." Mistari hii mitatu imeandikwa nje ya jengo ya Ofisi Ndogo ya Chama mtaa wa Lumumba . - George Orwell


George Orwell :

Je, ni nukuu gani kuhusu ukweli na uongo George Orwell 1984?
"Na ikiwa wengine wote walikubali uwongo ambao Chama kiliweka - ikiwa rekodi zote zilisema hadithi moja - basi uwongo huo ulipitishwa katika historia na kuwa ndiyo ukweli wote.

'Ni nani anayedhibiti yaliyopita' aliendesha kauli mbiu ya Chama, 'anadhibiti siku zijazo: ni nani anayedhibiti sasa anadhibiti yaliyopita. ni mwanazuoni mkubwa ...'” - George Orwell

'The Ministry of Truth: A Biography of George Orwell's "1984"
 
Akiwa anachambua kauli ya No Reforms No Election, Zungu ambaye ni mchambuzi maarufu wa siasa nchini amesema na mtangazaji wa kipindi cha Morning Bantu cha ST Bongo amesema:

"Kama walichokizungumza CHADEMA kitaenda kufanikiwa basi inaenda kuleta ugomvi kati ya raia na vyombo vya dola,kwasababu njia pekee ya kuzuia uchaguzi ni maandamano hivyo ilikuzuia uchaguzi inamaana raia wanatakiwa kwenda barabarani"



Kwanini kila mtu anatafsiri kua ni ugomvi? Tujiulize hoja za CDM ni za kweli au uzushi? Kama ni kweli kwanini hakuna anaeongelea kuisihi serikali na vegetables kufanya reforms za kweli ili kuepusha shida nakuleta haki? Tumejijengea kamfumo kakuishi kwakujipendekezanpendekeza ili maisha yaende nikamfumo kakijinga kabisa kosa la CDM ni lipi kwa kuvunja sheria gani?
 
Muulizeni Je Wanaoiba Uchaguzi wanatengeneza mgogoro kati ya nani na nani?

Muulizeni pia dola ikiwatisha wananchi wasiandamane kwa akili yake anaona tafsiri ya hiyo ni wananchi hawaiungi mkono Chadema?
Maswali yako mbona ni off point? Lissu alisema atawaambia wananchi wazuie uchaguzi. Zungu anatafsiri maana yake ni wananchi kuingia barabarani kupinga. Hapo hakutatokea uvunjifu wa amani? Nani atabaeba lawama?
 
Maswali yako mbona ni off point? Lissu alisema atawaambia wananchi wazuie uchaguzi. Zungu anatafsiri maana yake ni wananchi kuingia barabarani kupinga. Hapo hakutatokea uvunjifu wa amani? Nani atabaeba lawama?
Na mimi nimemuuliza maswali ili apime uzito wa hoja yake?

Kabla hujawaza hilo ilibidi ajiulize wanaoiba uchaguzi na kuchafua uchaguzi wanataka kutengeneza nini?

Before hajaenda kwa Lissu alitakiwa aanzie kwao ili apime mantiki ya hoja ya Lissu.
 
Mgogoro huo upo tangu miaka mingi sana baada ya hao polisisiemu kutumika kuteka raia,kufanikisha wizi wa kura na mengine mengi hata kabla ya Chadema.
 
Amejiita Zungu kwa sababu ipi?...labda kwa sababu ya hiyo rangi akifikiri yeye anafanana na Wazungu kumbe ni vitu viwili tofauti!
Mbingu na Ardhi....
 
Akiwa anachambua kauli ya No Reforms No Election, Zungu ambaye ni mchambuzi maarufu wa siasa nchini amesema na mtangazaji wa kipindi cha Morning Bantu cha ST Bongo amesema:

"Kama walichokizungumza CHADEMA kitaenda kufanikiwa basi inaenda kuleta ugomvi kati ya raia na vyombo vya dola,kwasababu njia pekee ya kuzuia uchaguzi ni maandamano hivyo ilikuzuia uchaguzi inamaana raia wanatakiwa kwenda barabarani"



hakuna kibaka yeyote wa siasa atakae achwa salama hata kwa sekunde moja tu kuleta fyokofyoko siku ya uchaguzi gentleman,

chukua hiyo point na umwambie na mwenyekiti wa chama chako eneo ulilopo 🐒
 
Na mimi nimemuuliza maswali ili apime uzito wa hoja yake?

Kabla hujawaza hilo ilibidi ajiulize wanaoiba uchaguzi na kuchafua uchaguzi wanataka kutengeneza nini?

Before hajaenda kwa Lissu alitakiwa aanzie kwao ili apime mantiki ya hoja ya Lissu.
Anyway, to cut the story short; ratiba ya Uchaguzi Mkuu utaenda kama ilivyopangwa na tutaona huyo "mwananchi" atakayezuia huo Uchaguzi Mkuu.
 
Uchaguzi ushabuma CCM waelewe hilo.
 
Dunia Uwanja Wa Fujo,,,Wala Asiogope Vurugu Ni Sehemu Halali Ya Maisha Yetu
 
Back
Top Bottom