baraka bb
JF-Expert Member
- Mar 20, 2016
- 2,691
- 3,884
wangenyimwa posho na kupeqa mahahara wa laki mbili na nuau ndio wangeelewa zaidi kwa nini wananchi wanalalamika.
umeandika nn[emoji15][emoji15]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wangenyimwa posho na kupeqa mahahara wa laki mbili na nuau ndio wangeelewa zaidi kwa nini wananchi wanalalamika.
ipo youtube mkuu,kuna uzi wake pi umenzishwa hapa JFNimeimiss hiyo nimesikia dakika tano za Jenerali Ulimwengu imebidi niishiwe kabisa yaani.Ni bora aruke vihunzi akubaliane na wengine
Mbunge wa Ilala Azzan Zungu ameunga mkono kodi ya makato kwenye mihamala ya simu na kusema serikali inapoteza mapato makubwa sana, amedai makampuni yana lobby kuwa wananchi wataumia kumbe watakoumia ni wao, amewataka wananchi kuacha kulalamikia kodi kwani serikali inategemea kodi kufanya shughuli zake.
Pia amezungumzia fedha zinazopotea kwenye madini kwa makampuni ya madini kudanganya thamani ya mzigo, na wasimamimizi kukosa uelewa, amesema serikali imepoteza trilioni 18 kutoka 2002 mpaka 2011 kutokana na kudanganya bei na ameshauri hiki ni chanzo kingine kikubwa ambacho serikali inaweza ikatumia kama ikisimamiwa vizuri.
Hiyo kodi anayoongelea ilikuwepo toka zamani hamna kipya hapo, tatizo ni hili la 280 kwa kila 1000 ambalo tunahisi Zitto alijichanganya. Kama mtandao utaendelea kula 7000 kwa kila milioni serikali ikakata humohumo hakuna ubaya. Ila huwezi kata laki tatu kwenye milioni ni upuuzi hata kim jong eun hawezi fanya hivo na ugumu wake wote. Tilioni 50 transactions haimaanishi serikali ingepatamo 10%, hizo ni transaction tu sio income ya kukaba tax.
Huyu anataja matatizo bila kutoa solution, hiyo serikali wanayosema iangalie ni ipi hasa? Ndio maana akina Zitto wakiongea bunge linatetemeka, wakitaja matatizo wanataja na solution ambayo imekaa na kufikiriwa vizuri. Huyu hizo hadithi utasema kaambiwa jana kwenye dinner leo anakuja kumwaga.
Acha dharau. Labda wewe solution ulizotoa ni zipi
Nasikitika sana hata ma Prof Vilaza wetu wanaandikiwa upuuzi kama ule! Kweli njaa isikae kichwani! Daaa unakuwa hopeless kama Prof na Dr mmoja BungeniKaandikiwa cha kuongea.
Umekosa kazi?
Mkuki kwa ngururuwe mtamuTukateni na ninyi mkatwe, unashangaza wewe ni Zungu huyuhuyu? Kweli hela zinabadilisha mtu tabia. kwa nini uiwaambie wabunge wanaolia kukatwa kodi kwenye mafao yao watulie hela ni kwa maendeleo ya nchi hii?! Acha kuchangia upande mmoja Zungu waambie kina Lugola nao pesa inahitajika waombe radhi kuwa walifanya kosa kulalamika kutaka kuinjima serikali mapato.
mkuu inaonekana unapenda sana breed hadim ya Sungura Chinchila. Ndio Sungura pekee maskio yao yamelalaKweli mkuu
Napenda makoti yaliyotengenezwa kwa manyoya yao...lainiiiiimkuu inaonekana unapenda sana breed hadim ya Sungura Chinchila. Ndio Sungura pekee maskio yao yamelala
basi had unapenda hayo makoti hela unayo halaf unaish mamton! Nimedanganya? Wapi iyo?Napenda makoti yaliyotengenezwa kwa manyoya yao...lainiiiii
Well said mkuuSawa sisi tunakubali kulipa japo kishingo upande kutokana na kuminywa kwa demokrasia, basi na nyie wabunge mkubali kukatwa ile kodi kwenye mafao yenu.
Mkuu na wabunge nao ni sehemu ya chanzo kimojawapo, mbona wao wanaliliaPoor advice. Kuna pesa nyingi sana zaidi ya hizo za wabunge kiinua mgongo. Kuna madini kodi hazikusanywi kama inavyotakiwa, vitalu vya uwindaji wanyama wanawindwa kwa bei ya kutupwa, ufisadi wa kutisha kwny uuziji wa vitalu, makusanyo hafifu mazao ya baharini etc
uchama ukiwa mwingi akili zinapoteaZungu sa'nyingine ana akili.
Ila aliwa CCM sjui zinaendaga wapi!