Zuwena wa Diamond kioja cha Mwaka, nimempenda bure

Picha yake??
 
Ya mama yangu yanaingilia wapi tena chief??
Taratibu, tusijaribu kuharibiana siku pasi na sababu yeyote.
Umepewa jibu stahiki kutokana na takataka ulizoandika, ukipanda bangi usitegemee kuvuna zabibu.
Kakujibu alivyokujibu ili kukuelimisha na kukunyoosha, I'm sure you're capable of reading between the lines.
 
Hata tu ukimwangalia unaona kabisa ni Tandale type
Yan ukimlinganisha na hata giggy utajua gigiy anaakili sema mjanja mjanja flan anajua jutengeneza umakin wa watu uende kwake ila huyu zuwena dah hapaa naona kama kunauwalakini wa wazi wazi kabisa japo vingine amefundishwa ila pale hamna kituu
 
Hata tu ukimwangalia unaona kabisa ni Tandale type
Yan ukimlinganisha na hata giggy utajua gigiy anaakili sema mjanja mjanja flan anajua jutengeneza umakin wa watu uende kwake ila huyu zuwena dah hapaa naona kama kunauwalakini wa wazi wazi kabisa japo vingine amefundishwa ila pale hamna kituu
 
Ule utafiti kuhusu tatizo la afya ya akili kwa kila watu wanne ulikuwa sahahi
 
Yule manzi slay qeen wa yatapita na exposure yake yote naskia baada ya kushoot na diamond sa hv hapokei smu za boyfriend wake
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Duh.......!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yule manzi slay qeen wa yatapita na exposure yake yote naskia baada ya kushoot na diamond sa hv hapokei smu za boyfriend wake
Enh, ko akitazama video ya Yatapita anajiona ndo kashakuwa really in a relationship with Mond?
 
Yan ukimlinganisha na hata giggy utajua gigiy anaakili sema mjanja mjanja flan anajua jutengeneza umakin wa watu uende kwake ila huyu zuwena dah hapaa naona kama kunauwalakini wa wazi wazi kabisa japo vingine amefundishwa ila pale hamna kituu

We achana na Giggy kuna video nimeiona anatema ngeli imekaa sawa mpaka accent. Giggy usela tu lakini akili anazo yule.
 
We achana na Giggy kuna video nimeiona anatema ngeli imekaa sawa mpaka accent. Giggy usela tu lakini akili anazo yule.
Kwahiyo kuongea kiingereza kwako ndio kipimo Cha kuwa na akili?
 
NDIO UJINGA TUNAOPENDA HUKU RASLIMALI ZA NCHI ZINATOWEKA.


WIZI HADI OFISI YA CAG.

VIJANA WA KITANZANIA HOVYO KABISA SHAME
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…