Elections 2010 Zyansiku: Bashe ametumwa na Mungu!

Elections 2010 Zyansiku: Bashe ametumwa na Mungu!

:frusty: iweje achakachue uraia? (mbona majaribu?)

"achakachue" contextually linamaanisha kughushi, kuficha uhalisi, kuchanganya (kama ilivyo kwa mafuta ya taa na dizeli); hapa likimaanisha kuchanganya utz na usomali...just a few to mention.
Dah! Sawa mkuu japokuwa bado nina maswali kichwani, ila nimechanganya na za kwangu nimekufahamu. ahsante kwa kunifahamisha,
 
Kinachonishangaza si aache kusema lolote... Mtu anasema "uraia wake hauna utata" Hii ni sentenso tata. Maana unaweza jiuliza hakuna utata ni mtanzania au msomali. Yeye anakwambia hivo tu...

Kama anasubiri mbayuwayu aseme si angejibu "no comment" kuliko kuchanganya umma namna hii. Hawa ndo vijana wa mbayuwayu...

hakuna waziri hapo mganga njaa huyo anaogopa akisimama kwenye ukweli atampinga bosi wake anayetekeleza matakwa ya mwanae
 
masha2.jpg
Viongozi "vijana" tuliowataka, waziri anakula "jinzi" kazini, tena siku anayoenda kukutana na waandishi mbele ya hadhara ya nchi.

Mazee nimeiona hiyo nikasema au ni wikiendi wamemshtukizia Rose Garden nini? Kuangalia tarehe si wikiendi wala nini. Nikasema huu umagharibi hata wa kuwashinda wamagharibi wenyewe unatoka wapi?

Vitu kama hivi ambavyo wengine wataviona vidogo vinaonyesha mtu kama Masha anavyojali muonekano na hata utendaji.
 
Back
Top Bottom