Elections 2010 Zyansiku: Bashe ametumwa na Mungu!

:frusty: iweje achakachue uraia? (mbona majaribu?)

"achakachue" contextually linamaanisha kughushi, kuficha uhalisi, kuchanganya (kama ilivyo kwa mafuta ya taa na dizeli); hapa likimaanisha kuchanganya utz na usomali...just a few to mention.
Dah! Sawa mkuu japokuwa bado nina maswali kichwani, ila nimechanganya na za kwangu nimekufahamu. ahsante kwa kunifahamisha,
 

hakuna waziri hapo mganga njaa huyo anaogopa akisimama kwenye ukweli atampinga bosi wake anayetekeleza matakwa ya mwanae
 
Viongozi "vijana" tuliowataka, waziri anakula "jinzi" kazini, tena siku anayoenda kukutana na waandishi mbele ya hadhara ya nchi.

Mazee nimeiona hiyo nikasema au ni wikiendi wamemshtukizia Rose Garden nini? Kuangalia tarehe si wikiendi wala nini. Nikasema huu umagharibi hata wa kuwashinda wamagharibi wenyewe unatoka wapi?

Vitu kama hivi ambavyo wengine wataviona vidogo vinaonyesha mtu kama Masha anavyojali muonekano na hata utendaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…