Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Jana tulisikia alitaka kuitisha kikao aoe shombe shombe, leo tena kuna mtangazaji kajitokeza ana mimba ya miez 4, sijui wengine tena watajitokeza kama marehemu Kanumba? RIP Sharo Millionea...
0 Reactions
30 Replies
6K Views
Mwimbaji mashuhuri hapa Tanzania, Ray C, ametangaza kupona na matatizo ya yaliyokuwa yakimsumbua. Ametangaza hayo akiwa Ikulu baada ya kupata msaada mkubwa kutoka kwa Mh. Rais Kikwete. RAY C...
8 Reactions
418 Replies
40K Views
Uganda's song bird Juliana Kanyomozi has released a christmas song. It is so touching and really rocks. Has any one listened to it yet?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Most kids would be thrilled by a trip to Disney World. But for Suri Cruise a trip to the Magic Kingdom isn't complete without a night in the invitation-only suite at Cinderella's Castle. And...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Sugu amekuwa akiwachezea na kuwatema kina dada zetu wa kitanzania.....je hii ni sawa kama kiongozi wetu kufanya ivyo..??vijana ambao ni washabiki wake wanaiga nini kutoka kwake?? mifano hai...
0 Reactions
54 Replies
11K Views
Jana jarida la Forbes limetoa orodha ya wasanii 25 duniani wanaolipwa fedha nyingi zaidi duniani. Hawa ndio walioingia kwenye orodha hiyo. 1. Dr Dre ($110million) 2. Roger Waters ($88 million)...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Hivi ni kweli mapenzi ya rihana na chriss brown yako sawa na yale ya wema sepetu na diamond?
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Nimeonana naye wakati nikitokea maeneo ya ifm kuja ikulu,yeye yupo na vogue nyeusi yenye plate number ya MO.(Mohammed Dewji)
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Jamie has two kids with two different women, how can he be gay? Well, stranger things have happened. There were people who actually believed the world would end today...lol Gay rumors have...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Mwenye profile la huyu mtangazaji wa power mix east africa televisio ADRIAN HILLARY atuambie sababu jamaa simuelewi
0 Reactions
1 Replies
910 Views
Mwigizaji wa filamu nchini, Sajuki alidondoka jukwaani juzi wakati akijaribu kuwasalimia mashabiki wake waliofurika kumtazama kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abedi, Arusha. Sajuki ambaye jina lake...
0 Reactions
24 Replies
6K Views
Gwiji wa vichekesho wa Uingereza Rowan Atinkson or Mr Bean hivi karibuni ataachana na uchekeshaji ili kuanza kuishi kama mtu wa umri wake. Kinachosikitisha ni kwamba kuigiza mambo ya kitoto na...
2 Reactions
10 Replies
4K Views
Kusema ukweli mimi huwa navutiwa sana na salim kikeke pamoja na charles hilali wakitangaza BBCSWAHILI Tv kupitia Startv hawa jamaa hasa salim ana rafudhi fulani ya mvuto inayotengeneza attention...
2 Reactions
27 Replies
17K Views
Tanzanite, msanii aliyeibuka na kusikika zaidi katika masikio ya fans wengi wa bongo fleva baada ya kutoa wimbo wa ‘Uchawi na Wanga’ ambao ulifanana melody na ‘mbagala’ wimbo uliomtoa Diamond...
2 Reactions
30 Replies
10K Views
nilipata kusikia kati ya wa2 masharo baro wa magomeni na kinondoni huyu jamaa alikuwapo miaka hiyo ya 90's ila kwa kweli mi sijui huyu jamaa sifa yake ilikuwa ni nini hasa,kwa wanaomjua tunaomba...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Earlier this year she purchased a brand new five bedroom home in Barbados, and gave it to her mother Monica Braithwaite. Now, Rihanna has added to her property portfolio by buying a $12million...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
The massive 12-12-12 concert held on Wednesday night in Madison Square Garden was filled with musical royalty, from Mick Jagger and Bruce Springsteen to Billy Joel and Paul McCartney. But the...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Two days ago on her show, Wendy made a comment about Beyonce that some of the singer's fans aren't happy about. Wendy said Beyonce sounds like she has a fifth grade education... Wendy was...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Inafurahisha kinoma kuona taifa ninaloishi mimi limejaa vipaji kiasi ambacho hadi wasanii wengine wanaambiwa wawe washabiki. ila ajabu iliopo sasa kila wimbo utakaotoka lazima uwe umeiga wimbo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau habari za jpili, jana viwanja vya leaders kulikuwa na shoo ya mkali Koffi je alipiga fresh au ilikuwa magumashi tujuzeni sie watu wa mikoani ambapo wahandaaji hawataki kuleta wasanii...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Back
Top Bottom