Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Hivi huyu bwana mdogo anaelewa kweli maana ya hiyo sign aliyoweka?.,kuna picha nyingine ilisambaa sana last week akiwa amepiga na mzungu wameweka sign hiyo ya "waashi-huru" akasema alipokuwa...
0 Reactions
20 Replies
7K Views
kweli Wasanii wa Bongo hamnazo: KUFUATIA mafanikio alinayoyapata hivi sasa kwenye anga ya muziki wa kizazi kipya Bongo, staa wa muziki huo Naseeb Abdul ‘Diamond' ndiye mkali aneingiza...
0 Reactions
36 Replies
7K Views
Mwigizaji ‘five star’ kutoka tasnia ya filamu Bongo, Jacqueline Wolper Masawe, amenyang’anywa ‘mkoko’ (gari) wa kifahari aliokuwa akitanua nao katika mitaa ya mbalimbali ya jiji la Bongo. Habari...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Kuna tarifa ya kwamba yule gwiji wa kundi la original comedy ambaye alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa kushambuliwa kwa kichwa amelejea kimya kimya nchini kwa talifa ambazo nimezipata katika...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Yupo wapi miss T aliyekuwa mtangazaji wa clouds fm kipindi cha total request?, alikuwa mkali sana yule mtoto
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Uchungu wa mama wema kwa wema,nauliza mbona kama wema ndio wa kwanza kuwaita waandishi ili atoke kwenye magazeti sasa mama wema kwa kuwasema wa magazeti tu pila kumuonya na wema itasaidia kweli?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
- Safari ya kurudi Dar from Dom... SOURCE FACEBOOK
0 Reactions
51 Replies
6K Views
  • Poll Poll
"Ningependa kujibu shutuma zilizoandikwa kuhusu uhusiano wangu na swahiba wangu A.Y. Ningependa ifahamike kwamba mimi na A.Y kwa kipindi cha miaka 4 tumefanya kazi za muziki kwa karibu pamoja...
3 Reactions
25 Replies
6K Views
Mama wema jana kaongea kwa uchungu sana kuusu magazeti yanavyo mwandika mwanae na kupata faida kubwa kupitia mgongo wa wema,uku wakimwashia sifa mbaya sana mwanae, lakini je ni kweli wema nae...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Siyo vyema kumsema marehemu, hivyo name sikusudii kumsema bali kueleza nitakachomkumbuka nacho. Lakini kwa desturi ya makabila ya Wajita, Wakerewe na kabila la Wajaruo ambalo ninaamini marehemu...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Haya mashindano mbona mwaka huu yamejaa ubabaishaji? Eti Lissa Jensen ndiye mwakilishi wa nchi, wakati wawakilishi wa mikoa bado wanatafutwa!
0 Reactions
22 Replies
3K Views
. Rapper mdogo kutoka A town Dogo Janja aliekua akisoma na kuishi Dar es salaam amerudishwa kwa wazazi wake Arusha jana kutokana na kufanya mambo mbalimbali ambayo uongozi wa Tiptop Connection...
0 Reactions
32 Replies
13K Views
Kwa kweli hawa wanakwaye na watumbuizaji wanajiharibia wenyewe. Kwa mtu yeyote aliyebahatika kununua VCD ya huyu jamaa ni mategemeo yangu haukujifunza ukitoa wimbo mmoja tu uliobeba jina jingine...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
That night, glass was everywhere when Drake threw a bottle at Chris Brown leaving the Look At Me Now star with a gash on his chin. Allegedly the fight started when Chris Brown sent a bottle over...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
nIMEONA vinega wametoa review ya track zitakazokuwamo kny antivirus volume three kupitia swahilioriginal.com: The Leading Swahili Original Site on the Net ingia humo ndani usikilize hizo ngoma...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
http://m.youtube.com/watch?desktop_uri=%2Fwatch%3Fv%3DCIFEfCmxqlA%26feature%3Dyoutu.be&feature=youtu.be&v=CIFEfCmxqlA&gl=US
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Kuna tetesi kuwa madee alimtumia dogo janja kujinufaisha http://djfetty.blogspot.com/2012/06/dogo-janja-huu-ndio-ukweli-mtupu-kuhusu.html?spref=tw&m=1
0 Reactions
15 Replies
3K Views
YAH: SABABU ZA MWANA F.A & A.Y KUACHA KUREKODI B HITS Husika na Kichwa cha Habari;Ningependa kutoa ufafanuzi wa habari iliyoandikwa na blog yako kufuatia mahojiano yako na mwana F.A. Nirejee...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Tulisa crowned 'Sexiest Woman In The World' Bust looking girl ... Tulisa FHM Last Updated: 03rd May 2012 TULISA Contostavlos has been crowned FHM mag’s ‘Sexiest Woman In...
0 Reactions
31 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…