Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Wakuu, nimekutana na hii kitu kwa wazee wa gizmodo, kilichonivutia siyo headphone ya huyu dogo, bali ni comment za wadau kuhusu muelekeo wa RAP na HIPHOP. Binafsi naamini kabisa kuwa rap ya sasa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
taarifa:kwanza poleni na samahanini kwa hali ya sintofahamu iliyotokea leo kutokana na taarifa za ghafla za usuluhishi kati yetu na ruge/clouds fm,ni kutokana na unyeti wa issue yenyewe ilibidi...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
I hear her voice in the morning hours she calls me.The radio remind me of my home far away,and drivin' down the road I get the feeling.That I should have been yesterday.Country road,take me home...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hivi Braza Maradona mzima kiakili au anaigiza kuwa bado kadata kimtindo?! Anasema Morinho anaweza kugeuza coin kuwa rose lakini yeye bado hampendi kama kocha...!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa jinsi inavyoonekana ni kua MAGENGE YA VINEGA(mapacha,adili mkwela,peen lawyer,chief rumanyika mkoloni na wengine wengi) pamoja na SUGU walikua kwenye movement 1 lakin kila mtu alikua na madai...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Ni maajabu kusikia nabii anabaka,bado siamini mbona hajashitakiwa?au ndio mambo ya mwenye kesi ya kuiba kuku kuhukumiwa mwaka mmoja jela,fisadi wa epa anaombwa arudishe mabilioni aliyoiba.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kweli hakuna cha MWANADAMU kisicho na BEI!!!! (Naamini vya MUNGU havina BEI, Mfano KIFO, UHAI nk) TAMKO LANGU KWA UMMA HILI HAPA :::PEEN LAWYER::: February 22, 2012 in Uncategorized ::::SINA...
1 Reactions
22 Replies
8K Views
SIJAKUBALIANA NA MAPATANO YA SUGU NA RUGE/NA KAMA KWELI HIZI NI HARAKATI BASI KINEGA BADO NTAZIENDELEZA. Unajua nini..!iam swahili original,,,na ntaendelea kuwa mimi kama awali…!kazi za...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
huyu jamaa alikuwa anachukua nyimbo za ma underground na kuwapa tmk alikuwa anazarau sana na studio yaki ya mawazo yupo wapi huyu mtu ?
0 Reactions
11 Replies
2K Views
msanii anayetamba na kibao maarufu kwa jina la "NAONGEA NA RIDHI ONE" Kutoka jijini mbeya amekashifu harakati za mh. Sugu alipoulizwa kwanini ameshndwa kuonesha support kwa kushiriki show za...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Eti wanaJF hawa KWAFUJO DJZ n NYUKI DJZ bado wapo mana siwasikii.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
ukitoa track yake ya neila, nyingine zote ni hovyo...nyimbo kama starehe gharama anaendeleza kulialia, jamaa simuelewi!
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Except huyo mwe nye ngozi nyeupe Clouds ni full mapouder khaaa, kila mwanaume anajitahidi kung'aa hebu check hapo
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Wasalaam Wakuu leo tumeshudia kumalizika kwa bifu lililodumu kwa muda mrefu baina ya Sugu na Ruge, kwa mujibu wa wa Sugu na Ruge wao kama wao wamemaliza bifu lao,lakini je vipi kuhusu Vinega wao...
0 Reactions
15 Replies
5K Views
kanumba na aunt ezekiel
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Akiongea na DJ Nico Track(sharp shooter) wa Capital radio, Ney wa Mitego amesema hapendi kuona wanawake wakipigwa na wanaume. Katika wimbo wake mpya unaoitwa Mwanamke Hapigwi, jamaa amesema...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
After the African Cup of Nations finals in Gabon, Chipolopolo the Zambian National Football team have become the newest celebrities on the continent, they have made us proud especially since we...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ibada inaoneshwa CCN live, right now Rev T D Jakes anaongea. Inaumiza na kusikitisha sana, she was too young, shared by the world! Its harder for her daughter too I can't imagine!. She was an...
1 Reactions
77 Replies
11K Views
nakumbuka hawa jamaa walisumbua sana na "bongo.com" na "like that" pia...nani mwenye habari za hawa jamaa mcli na "black twins" waliojitoa?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wana Jf naomba mwenye taharifa za wapi alipo na shuguli anazofanya huyo waziri wa zamani wa mambo ya ndani na mwanasheria mahiri na mwanzilishi wa IMMMA Advocate. Kumekuwa na uvumi mwingi juu ya...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom