Ni muda sasa umepita toka 2pate taarifa kutoka vyanzo tofauiti vya habari isipokua nyie kua mwenzenu ni mgonjwa(JOSEPH SHAMBA). Kupitia picha zilizowekwa hapa kweli mwenze2 uyo alioneonekana kua...
Saleh J (real name: Saleh Jaber) from Tanzania was the first rapper in East Africa to release an album with raps in Swahili. Although he wasn't the first to pick up the mic in Tanzania, his tape...
Ok guys nadhani tunawajua rick ross na jeezy hawa watu naamini ndio wanasemekana
wana pesa sana maana wana miliki vituo vingi vinavyo supply cocaine na bangi nchini marekani
jeezy akishikilia...
Hemed,
kamuita jaji kuwa ni mbeya tena mshamba, teana akaajiriwe mashambani na kuwa mkulima.
Akaendelea kuponda kuwa Ian hana single wala movie.
Huyu dogo must be mad.
A portrait of late singer Whitney Houston made up entirely of pills has been created by mosaic artist Jason Mecier. In the past, Mecier has made similar portraits of Amy Winehouse, Michael Jackson...
:embarassed2: Helow....................................Wasanii Tanzania mnatakiwa kushindana kwa maendeleo na si mavazi,simu,starehee na mengine mengi yanayopoteza mda msije...
kama ilivyo ada ya jukwaa hili la maceleb
ni kuwaanika hapa na kujua michango yao mbalimbali so far ya kiuchumi;kijamii na kisiasa ikibidi........
naomba kupat ainfo za huyu mdada...namzimikia...
Jamani nimemkumbuka sana First Lady wetu Salma Kikwete........sijamuona siku nyingi sana na si kawaida yae kutong'aa habarini kwa muda wote huu........ama badu kuna tetesi za hapa na pale mjini...
Kny link ifuatayo hapa chini ni wanamuziki mamilionea bongo mwaka 2008 kutoka katika blogu ya kaka Michuzi
Anaongoza Lady Jay dee Mil. 500 na wa kumi ni Mwana FA Mil. 50 duuu
MICHUZI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.