Denzel Washington: smooth operator He's one of Hollywood's heaviest hitters, who's played everything from cult figures to cold killers. On the eve of his latest film, the Oscar-winner talks...
Im a single boy!
Perfect boy.....
...........karibu chama la
bachela..ukinipenda
tunamalizana leo leo tuu
Siku hizi kwa
kudanganyana.. mvulana
msichana ishakua poa poa
tu
Hakunaga mapenzi...
Wanajamvi wenzangu habari zenyuuuu!Leo napenda kupitia uzi huu kumpasha dada yangu IRON LADY, NIMESIKITISHWA SANA NA MWENENDO WA TWANGA. mimi ni mdau mkubwa sana wa muziki wa dansi haswaa bendi ya...
MSANII wa filamu ambaye pia anangara kwenye muziki kwa sasa, Zuwena Mohamed Shilole ameuanza mwaka 2012 kwa kulinadi penzi lake akidai, anayetaka kuwa mume wake awe na mkwanja wa kutosha.
Tamko...
MAKUBWA! Pamoja na umri mdogo wa miaka 18, Elizabeth Michael Lulu, ameacha watu midomo wazi baada ya kusema kuwa amemsahau mwanaume wake wa kwanza aliyevunja naye amri ya sita katika vitabu...
Ebu Sikiliza hizi nyimbo kwanza:
Timbulo-Domo Langu Zito
x-maleya--Yelele(Domo langu zito remix)
Timbulo-Wa leo wa kesho
x-maleya--Tchokolo(wa leo wa kesho remix)
My Take:Wasanii umizeni...
HIKI ni kituko! Msanii wa muvi, Kajala Masanja amezua gumzo kufuatia kila anapokwenda kuwa na kufuli kwenye mkoba ambalo mwenyewe anadai ana matumizi nalo.
Chanzo chetu ambacho ni rafiki wa...
Macaulay Culkin stepped out in New York yesterday looking extremely thin and scruffy in exclusive photos obtained by ET that are likely to spark rumors about the former child star's health...
Alivuma sana akiwa na Sahara communication ltd akiwa anatangaza vipindi vya Roving DJ na miziki ya zamani ktk Star Tv na Radio Free. Ameadimika kwa kweli na binafsi ninamiss sana ladha zake...
Yuko wapi mchungaji wetu Max? Siku nyingi sijamuona jamvini. Tunamiss baraka zako baba mchungaji. Ni kati ya member wa jukwaa la dini mwenye uwelewa mkubwa wa dini zote 2 (islam and xstian)...
Nasikia mke mdogo wa gwiji la muziki wa taarabu kama siyo vidole juu nchini mzee yusufu amepata ajali alipokuwa akiendesha gari la mumewe kwa kugonga mwenda kwa miguu ambaye amevunjika...
KAMA MTAKUMBUKA MIAKA YA 2000 KUNA HAWA MABINTI WAWILI WAIGIZAJI KWENYE KUNDI LA SANAA LA KAOLE ENZI HIZO WAKIUZA SURA ITV JE WAKO WAPI HAWA DU! WALIUZA SANA MAGAZETI YA AKINA SHIGONGO A.K.A...
SIJUI WAKE WA VIONGOZI WA AFRICA KAMA WANAWEZA HATA KWENDA PUSH UPS MBILI,HATA WAUME ZAO SINA UHAKIKA KAMA WANAWEZA KWENDA PUSH UPS KAMA HUYU MAMA,
CHEKI HII CLIP
Michelle Obama has been...
Leo nikiwa napitia chapisho lisemalo "the last days of JMKariuki" nimekutana na jina la Peter Kinyanjui alias Mark Twist. Kwa wale vijana wa zamani watakumbuka jinsi huyu Mark Twist alivyokuwa...