Rihanna responds to slur in Dutch magazine
Dutch fashion magazine Jackie is facing outcry after publishing an article in which it refers to pop star Rihanna as the ultimate "n****b****."
As...
AT
msanii AT kutoka ZANZIBAR amesema ameshtushwa SANA na kauli ya banda la SANAA la ZNZ kwamba YEYE sio RAIA wa ZNZ.
stori kutoka Zanzibar zinaamplfy kwamba, kuanzia sasa kwa sababu msanii...
hivi kati ya off side trick na bby J waliomba kidudu mtu kumdis ATna yeye akawajibu kwa VIFUU TUNDU, nani unaona amefunika mwenzake kati ya hawa majamaa?????? Japo bifu na malumbano sio issue
Gazeti la Citizen leo hii limebeba habari muhimu kwa wale wanaotaka kustrahe katika sehemu mbalimbali hapa nchini siku ya krismasi.
KuhuZunisha ni kwamba gharama za mahoteli zimeongezwa marudufu...
Jamani hii documentary ya Mkwawa mnaionaje? Mi ninawaponeza sana waandaji kwa kweli wamejitahidi. Lakini walichonikera ni kwenye mavazi walivyokurupuka bila maandalizi. Hivi askari wa mkwawa na...
Wakubwa kwa wale ambao kwa namna moja ama nyingine tume kuwa tukifuatilia vipindi vya original komedi nadhani mtakubaliana nami kwamba huyu sylvester mjuni aka MPOKI amekuwa na misemo ya ajabu...
sijui ni elimu au maisha yakutegemea umaarufu? wapi wazazi wa hawa watoto wetu wanapotea kwa kukosa maarifa maskini?
Haya ndio anaweza kuandika Mwanamke ambae kesho unatarajia awe mama wa...
The famous nollywood actor traditionally married his sweetheart Nneoma Nwajah on Sat 26 Oct 2011 in Imo State Nigeria. Their church wedding will take place in December . Wishing them a lovely...
(LISBON, Portugal) Cesaria Evora, who started singing as a teenager in the bayside bars of Cape Verde in the 1950s and won a Grammy in 2003 after she took her African islands music to stages...
Am wondering if am using the right forum/platform please any who knows the process for an organisation to be awarded what they call ......SUPER BRAND. Wana know the methodology and the criteria...
huyu dogo enzi hizo anaanza rap nilikuwa namfagilia sana. Anajua kwenda na biti. Mistari yake tata ila mizuri. Kila niliposikia wimbo wake niliacha ninachofanya na kusikiliza mashairi. Alijua...
Ni jana tu clouds fm wametunukiwa tunzo na makamo wa rais mh.g.bilal tunzo ya kuwa super brand radio station,kwa mara ya pili wanapewa tunzo hyo na ni radio ya kwanza kupata tunzo hyo kwa hapa...
Wadau wa muziki maarufu kama Bongo Fleva, mmesikia wimbo mpya wa Prof. J? Unaitwa KamiliGado.
Nahisi Profesa Jay ameanza 'kuzeeka' maana huo wimbo haudhihirishi 'uprofesa' wake. Ameamua kuimba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.