Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Kwa mujibu wa orodha iliyotolewa na mtandao maarufu duniani. Msanii namba moja Afrika Diamond Platnumz ameshikilia namba mbili kwenye bara ili lenye nchi zaidi ya 50 na wasanii zaidi ya million...
4 Reactions
39 Replies
8K Views
Part one: Kwanini Juma Nature hujibu baadhi ya maswali tofauti na anavyo ulizwa? Juma Nature ni akili ya kesho. Unahitaji kutumia akili nyingi sana kumuelewa Juma Nature. Ukijaribu kumuelewa...
19 Reactions
32 Replies
3K Views
Denis Kasia a.k.a Lokasa ya Mbongo, mpiga gitaa la maarufu nchini DRC asie na mpinzani, leo ni miezi mitano tangu amefariki na bado hajazikwa. Inasemekana kuna mgogoro azikwe wapi. R.I.P mchawi...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Nimepiga hesabu za Cuba nikaongeza ujuzi wa mjini, Wote mnamjua wema alivo karibu na mama yake ni nini wema asingekijua kuhusu maoni hasi ya mama yake? Angelien ile video vyema utagundua...
2 Reactions
20 Replies
3K Views
jamani naombeni kufahamu taaluma ya Babuu wa Kitaa, Nimeshituka sana kuambiwa kuwa naye ni miongoni mwa TV presenters ya TV station fulani hivi hapa mjini na tena analipwa pesa ndefu sana kuliko...
6 Reactions
70 Replies
23K Views
Huyu binti amekuwa tunamuona wakizurura duniani na Rais mstaafu Baraka Obama. Leo nimekutana na picha zake mtandaoni, ni amejizeekea kabisa. Mwili umefumuka, hafanyi mazoezi kama mama yake...
17 Reactions
62 Replies
9K Views
Naweza nikasema orodha ya watangazaji wa redio hizi ambazo ziko jiji la Mwanza walinikosha hadi kutamani kusomea uandishi wa habari, enzi hizo kulikuwa hakuna mitandao nilitamani sana kuwafahamu...
3 Reactions
114 Replies
25K Views
Habari Wana JF. Jana taifa la Nigeria na wapenzi wa muziki (Afrobeats) tuliingiwa na simanzi baada ya kupata taarifa Za kifo cha mwanamuziki kutoka Nigeria Mohbad (27). Chanzo cha kifo bado...
6 Reactions
62 Replies
9K Views
Leo pitapita yangu nimekutana na sijui ni muweke steji hipi kama zile steji tunazopitia. Nimepiga hesabu zangu kwa nini maharage yameshindwa kuchacha serikalini ni Kawa na jiuliza kwa kundi kubwa...
5 Reactions
20 Replies
2K Views
Hii PERFUME ya Joslin, Producer gani alitengeneza. Aisee nani? Studio gani?
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Albert Mangwair__Mida mibovu ft Feroouz,Nature,Rah P,Dark Master🔥🔥🔥🔥 Albert Mangwair ft TID__Beef na Mangwair.. Flow iliyotumika humu, Chorus ya Tid aisee. Rest Easy Cowbama.
0 Reactions
0 Replies
268 Views
Hii hapa ni list ya wasanii wa bongo hiphop, kizazi cha zamani kilichoshine wakati wote.. waasisi wa Bongoflava. Kipindi hicho Tanzania kukiwa na radio tatu tu na TV moja ya burdani, yes...
20 Reactions
77 Replies
6K Views
Taarifa za kifo cha muigizaji huyu Sir Michae Gamboni maarufu kama Professor Albus Dumbledore kilitangazwa na familia yake jana tar 28/9/2023. Mwigizaji Sir Michael Gambon amefariki kwa amani...
2 Reactions
11 Replies
918 Views
Wanangu wa udaku, Wema Sepetu kupitia kipindi chake cha 'Cook with Wema amezua balaa.' Msikilize hapa:
3 Reactions
56 Replies
7K Views
Kwa yeyote aliyekuwa akifuatilia mchezo huu wa redio atufahamishe wale jamaa siku hizi wako wapi? Akina Zodwa, Ray, Sadik, Dulla na Tausi pia kama kuna mtu anaweza kutusaidia picha za waigizaji wote.
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Naona tunajifunza kwa kasi kutoka #Kenya[emoji1254][emoji1241] #BURUDANI Mkongwe wa mziki wa HipHop Bongo Mr II Sugu @therealjongwe ametamba kuwa msanii kwanza Bongo kuwa Milionea na sasa ni...
15 Reactions
143 Replies
12K Views
https://www.instagram.com/reel/Cxuu2Oesp7c/?igshid=NTc4MTIwNjQ2YQ== Anayefahamu hii movie yenye hiki kipande kwenye link naomba anitajie nipakue
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Producer Roy ambaye ni mdogo wake Bukuku pamoja na Enika alikuwa producer mkali sana. Ukasikiliza sound za maproducer wengi kama Manecky, KGT, Bob Jr na wengine wengi ni sound ya mziki alikuwa...
17 Reactions
222 Replies
47K Views
Nimegundua miaka hii tunasikiliza mziki mbovu kuliko wazee wetu. Tunasikiliza mziki kutokana na umaarufu wa mwanamuziki na si talent yake. Na kama tujuavyo, umaarufu ni kujitangaza tu. Huyu msanii...
2 Reactions
27 Replies
8K Views
Back
Top Bottom