Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Ni baada ya kufanikiwa kuvuka hatua ya Nusu Fainali katika Mashindano hayo ya Kusaka Vipaji ya ambapo sasa watashindana na Washiriki wengine ambao ni The 82nd Airborn Division All American Chorus...
13 Reactions
46 Replies
4K Views
Mtanange huu unawakutanisha warembo hawa ambao wametikisa mziki wa U.S.A na duniani kwa ujumla. Hapa tunatazama ni msanii gani anapaswa kupewa taji la malkia wa mziki kwa ukali wa ngoma...
6 Reactions
93 Replies
4K Views
Msanii wa vichekesho toka Cheka Tu ajulikanae kwa jina la Boss Martha afariki dunia. Martha amefariki Asubuhi ya leo baada ya kuugua ghafla kwa kipindi kifupi. Inaelezwa kuwa alikuwa akiugua uti...
2 Reactions
87 Replies
23K Views
Habari zenu wadau wa jukwaa hili. I hope mko njema kabisa hapo. Mimi ni mmoja kati ya raia ambao nafuatilia sana aina mbalimbali za muziki duniani. Nafuatilia Bongo Fleva, Hiphop, Afro Beat...
19 Reactions
126 Replies
28K Views
Kupitia kwenye kipindi cha RECAP & MANDO @el_mando_tz ameizugumzia kauli ya Harmonize akilinnganisha na mahojiano aliyoyafanya Ibraah na SNS kuhusu kutokulipwa ndani ya miezi 6 ambapo ilipelekea...
5 Reactions
35 Replies
3K Views
Huyu bwana mdogo ambae ni marehemu kwa sasa amefariki mwezi huu wa tisa. Nimejaribu kufuatilia chanzo Cha kifo ila sikupata muafaka naona tu waigizaji mchwara walikuwa wakimficha mama yake kifo...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Achana na ile kirikuu yake [emoji3][emoji3], jamaa kwanza nampongeza kwa ule uthubutu. Clouds wana bahati sana ya kuwa na mtu aina ya KP hasa kwenye kile kipindi chao cha ‘powerbreakfast’. Huyu...
34 Reactions
70 Replies
6K Views
Miaka kadhaa iliyopita, kwa mara ya kwanza Tanzania ilipata mwakilishi kwenye ligi bora ya kikapu duniani; NBA kupitia Hasheem Thabeet. Wapenda michezo na maendeleo kwa ujumla walifurahia...
23 Reactions
264 Replies
20K Views
Msanii maarufu wa kimarekani, Celine Dion ameahirisha shoo zake zote kwa mwaka 2023-24 akisema hayuko imara vya kutosha kutokana na ugonjwa unaomkabili kwenye mfumo wa neva. "Nimekuwa...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Nipo hapa makumbusho anapiga show na band yake ya Bogos Musica!! Kuna wazungu wamejaa hapo mbele then anawapongeza wazungu kwa kucheza mziki wake then anasema “nyie waswahili mmekaa tu hata...
13 Reactions
68 Replies
5K Views
KARIBUNI OLD SCHOOL HAPA. Kabla hujawaza kuhusu Sir Nature, Dully,Q. Chief,T.i.d, Paulina Zongo, Mr Paul n.k. Linapokuja suala la Chorus. Hivi uliwahi kumfikiria malikia Lady Jaydee linapokuja...
8 Reactions
26 Replies
3K Views
Wafuatao ni watangazaji wa Radio Free Africa (RFA). Nilikuwa shabiki mkubwa wa RFA kwa maana ilijitahidi kuziba mapungufu ya RTD! Sasa hivi sera za radio hii zimebadilika sana na kukosa mwelekeo...
51 Reactions
318 Replies
88K Views
MATONYA___SIAMINI. Aiseee hii beat ya ROY🔥🔥🔥🙌🏻🙌🏻 Aisee, Rest easy Roy huu mdundo...🙌🏻🙌🏻🙌🏻
4 Reactions
16 Replies
1K Views
Vicky Kamata Afunga Ndoa na Dk. Likwelile Dk Servacius Likwelile. Dar es Salaam, Geita-Tanzania. Mbunge wa Viti Maalamu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Vicky Kamata amefunga ndoa na Katibu...
13 Reactions
279 Replies
108K Views
Sina Maneno meengi Mkiambiwa huwa HAMSIKIII.. ===== Mtu yeyote atakaekuja kuniskia nasema nampenda mwanamke yeyote basi mtu uyo kama nipo naye karibu yani uso kwa uso basi naruhusu anipige ata...
12 Reactions
100 Replies
8K Views
Mwigizaji wa Bongo Movie, Irene Uwoya anasema huwa anaogea maziwa ili aweze kulinda na kutunza ngozi yake ili iendelee kuwa na mvuto. Ameyasema hayo akiwa kituo cha radio cha Clouds Fm. Nini maoni...
10 Reactions
79 Replies
5K Views
Habari. Kwanini mtumishi wa Mungu Boniface Mwamposa 1. Hafungishi ndoa? 2. Hafanyi ibada ya mazishi? 3. Hasaidii watu wenye shida maalum kanisani mwake hasa za kifedha?
13 Reactions
69 Replies
6K Views
Kwenye uandishi na kurap/flow, kati ya Nikki Mbishi na Stereo nani mkali zaidi?
1 Reactions
7 Replies
745 Views
Sijawahi jaribu kufuatilia historia ya maisha yake, lakini nilisikia eti alikufa kwa kufungiwa chumbani kwa siku 12, Mke wake siku ya 8 harufu ndani ikazidi na alipofungua mlango akakutana na...
6 Reactions
36 Replies
6K Views
Rapa na muimbaji wa Marekani Desiigner yupo kwenye kifungo cha nje na uangalizi kwa miaka miwili, kufanya kazi za kijamii na kulipa faini ya Tsh Milioni 12,525,000 kwa kosa la kujichua...
9 Reactions
51 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…