Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Cloud amefariki dunia akiwa na miaka 25 kwa kile kilichoelezwa na familia kuwa ni tatizo la Afya ya Akili ikiwa ni wiki 1 tangu atoke kwenye mazishi ya baba yake mzazi. Kupitia tamthilia za...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Wimbo wa Ney wa Mitego 'AMKENI' ukiwa unachanja mbuga za YouTube, Msanii Nikki Mbishi nae ametubariki na wimbo alioupa jina 'KATIBA MPYA', sikiliza toa maoni yako.
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Vita ya maneno imezidi kushika kasi kati ya Diamond na Alikiba Cheki hapo chini
21 Reactions
101 Replies
11K Views
Mwanamuziki huyo wa Nigeria anakuwa msanii wa kwanza kupata Tuzo ya Bilioni ya BRIT inayotolewa kwa Wasanii ambao wamepata zaidi ya mitiririko (streams) ya kidijitali bilioni moja Nchini...
3 Reactions
18 Replies
1K Views
"Ongea na Mwanaoo sema naye, sikio lako ligawe.. Mfungulie account ya busara na nidham, na siyo account ya mtandao Instagram" Anaitwa Maalim Nash. -Kaveli-
14 Reactions
151 Replies
14K Views
Mwanamuziki machachari ambaye aliuza nyago sana kwenye kipindi cha daladala(kipindi cha daniel kijo na bi kiroboto) na pia anauza nyago kwenye Mini-Buzz Toa Hoojaa,Ameachia wimbo wake unaitwa...
9 Reactions
46 Replies
19K Views
Kwenye zile ngoma kali za HIP HOP zenye michano ya kiwango. Chorus akikaa nani inakuwa moto zaidi. Kati ya BEN POL NA BELLE 9. Yupi anapiga sana Chorus kwenye ngoma za Hip Hop... Nani zaidi?
0 Reactions
4 Replies
578 Views
Hivi Marioo na Paula mwenyewe hujiskiaje wanapokuwa wakiona utupu wa mzazi (mkwe)? [emoji116]Hii ni picha mpya aliyochapisha muigizaji Kajala Masanja au mama mzazi wa Paula,Nadhani ifike muda...
17 Reactions
114 Replies
13K Views
Hivi huyu presenter wa zamani wa Clouds fm aliendaga wapi Kwa mwenye kufahamu?
0 Reactions
5 Replies
685 Views
Huu wimbo wake alioutoa juzi unaimbwa kila mahali, hata kama huupendi utajikuta tu unausikiliza kila unapoenda, Ukiamka unaskia jirani anaupiga Ukitoka nje unakutana nao kwenye maduka ya...
4 Reactions
20 Replies
2K Views
Kwa miguu hii kama minazi ya coco beach msanii wenu “Kwevo” anazingua sana kuvaa vipensi “vinjunga”. Kwaufupi anazingua.
10 Reactions
48 Replies
4K Views
Habari wakuu, Napenda kufahamu alipo kwa sasa aliyewahi kuwa Miss Tanzania miaka ya zamani bibie Mbiki Msumi. Ni moja ya ma celebs ambao wamefanikiwa ku-keep low profile.
9 Reactions
48 Replies
6K Views
Diamond na Juma Jux. Wanusurika kifo kwenye lifti siku ya Leo baada ya Lift kukwama kwa Dk 15. Star Wa Muziki Africa [emoji881] diamondplatnumz Ameweka Wazi Kunusurika Kifo Kwenye Lift Akiwa...
4 Reactions
64 Replies
6K Views
Wakuu za muda huu?, Nimeona you tube channel ya Global publishers wakifanya mahojiano na DJ Steve B, aliyewahi kuwa DJ wa clouds FM siku za nyuma, huyu jamaa anaumwa ana matatizo ya figo, please...
8 Reactions
116 Replies
22K Views
Ukiangalia maisha ya le mutuz aliisha vile alivyotaka yeye aliishi kwa kuipa furaha ya moyo wake kwa gharama yeyote Jamaa alikuwa na nyumba nzuri tu Tabata lakini kamwe alikataa kukaa nje ya...
65 Reactions
320 Replies
30K Views
Roma kwenye account yake ya Twitter ameandika haya #YAH: SIHUSIKI KWENYE HILI. Kwenu @BasataTanzania Husika Na Kichwa Cha Habari Hapo Juu, Huyu Kijana NAY Ni Muongo Sana, Mimi Sijamtumia Kitu...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Mpiga picha wa Harmonize na yeye aondoka Konde Gang. @jabulant_ ambae alikuwa mpiga picha wa msanii wa Bongo Fleva @harmonize_tz ametangaza rasmi kuacha kufanya kazi na msanii huyo ambae ni...
2 Reactions
27 Replies
3K Views
Nimesikiliza wimbo mpya wa msanii wa muziki wa kizazi kipya Emmanuel Elibariki almaarufu ‘’Nay wa Mitego’’ unaojulikana kwa jina la ‘’Amkeni’’. Wimbo huo kimsingi una baadhi ya maudhui ambayo...
5 Reactions
163 Replies
15K Views
Huyu bwana Swala wa Wasafi anaetambulishwa leo ni nani?
1 Reactions
39 Replies
4K Views
Ukitaka kujua maana ya halisi ya pesa au mtu anayeishi maisha ya kifahari basi nenda kamtazame Floyd Sinclair Joy Mayweather Jr. Huyu jamaa hakupewa nickname ya "Money" kwa bahati mbaya ana...
3 Reactions
123 Replies
8K Views
Back
Top Bottom