Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

- Jamani heshima mbele sana, naomba kuwashukuru sana Jamiiforums I mean JF nimetoka nayo mbali sana na imenifikisha mbali sana na wala sio siri leo ninafahamika kila kona ya Tanzania kwa sababu ya...
22 Reactions
187 Replies
19K Views
Katika Hali Ambayo kila mmoja hakutegemea, Rosa Ree Leo ikiwa ni Siku Ya Kina Mama Duniani, Ameamua Kuweka wazi Kuwa Alikuwa Mjazimto na akafanikiwa kujifungua mtoto wake ambaye anamlea hadi sasa...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Jumba la kifahari la muigizaji John Travolta lenye gharama ya dola milioni $10 huko Ocala, Florida si tu nyumba ya kifahari ya vyumba vitano, lakini pia ni uwanja wa ndege wa binafsi. Nyota huyo...
1 Reactions
8 Replies
919 Views
Wakuu hii dunia kuna watu wanafaidi asee, hii pesa yaani mane,mavumba au madafu yanatunyima vingi sana. Cheki huu mjengo ambao ameureview Supercarblondie.
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Kuteleza sio kuanguka, baada ya Lemutuz mara kadhaa kula hela za michango ya harusi yake kwa bahati mbaya hatimaye gwiji la mitandao ya kijamii ukanda huu wa maziwa makuu limefanikiwa kuvuta jiko...
15 Reactions
88 Replies
12K Views
Wafatiliaji wa soka wanafahamu ule utatu ambao haujawai tokea mpaka leo pale Galacticos mpaka leo. Ilikuwa huku Ronaldo de Lima, kule kuna Luis Figo alafu kuna kipara mwenyewe Zinadine Zidane...
9 Reactions
79 Replies
4K Views
Mapema wiki hii, imetrend habari imuhusuyo aliyekuwa Rapa Maarufu nchini Kenya, Colonel Mustafa baada ya kuonekana akifanya kazi za Ujenzi. Katika mahojiano rapa huyo alikiri kuwa amelazimika...
12 Reactions
36 Replies
4K Views
Petitman huyu ni Bilionea toka Congo DRC anaeishi TZ kwa muda mrefu sasa. Inasemekana yeye ndo anamfadhili kijana wetu Dangote kifedha ili kuendesha ofisi na kufanikisha shoo zake ikiwemo hii ya...
10 Reactions
196 Replies
35K Views
Kuna tetesi mwanamuziki A.K.A kutoka South Africa amepigwa risasi huko Durban, South Africa A.K.A aliwahi kushirikiana na mwanamuziki Diamond miaka ya nyuma wakachia kibao kinaitwa 'Make Me Sing'...
17 Reactions
381 Replies
42K Views
Hello!! Msanii wa singeli Dulla Makabila anatimiza ahadi yake leo aliyoitoa wakati akifanya interview na Dozen Selection kuwa haitafika Jumatatu lazima amuoe mpenzi wake Naira wa Juakali...
2 Reactions
24 Replies
5K Views
Hiki ndio chuo kikuu cha hiphop hapa bongo kwani tangu waanze harakati zao wanatoa vichwa vinavyofanya kweli kwenye kila angle. Hawa ni baadhi ya waliopitia University of tamaduni music wakatoka...
6 Reactions
39 Replies
2K Views
Twende kazi! Hawa wote ni storytellers Rapcha-lisa, Kontawa-Dungamawe Rapcha ana bars, ana flow na anaimba hiphop/trap Kontawa ana melody, bars kwa mbali,na anaimba hiphop/Bongo fleva Nani mkali??
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Wasanii wa Muziki kutoka #Nigeria wanaendelea kushika nafasi nyingi na za juu kwenye kiwanda cha Muziki Afrika na Nje ya #Afrika ambapo katika orodha ya nyimbo 10 zilizosikilizwa zaidi kupitia...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Robert De Niro ni mwenye asili ya Italia ingawa alizaliwa katika kitongoji cha Manhattan, New York City. alizalwa mwaka 1943. Kwa sasa anafanya shughuli zake uigizaji Hollywood nchini...
7 Reactions
22 Replies
2K Views
Japo kuna maneno kwa mwamba mziki umemshinda ukweli ni kwamba lavalava hapewi push kama artist wengine WCB. Kina harmonize,Rayvanny,zuchu,mboso hawa wote wamepewa sana push wametoa nyimbo nyingi...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Mwanamuziki huyo wa miondoko ya Hip Hop amefariki dunia ghafla usiku wa kuamkia leo akiwa nyumbani kwao Salasala Jijini Dar, mwili umehifadhiwa Hospitali ya Jeshi Lugalo. Atakumbukwa kwa vibao...
18 Reactions
473 Replies
108K Views
Mshiriki huyu wa American Idol mwenye umri wa miaka 19, Benjamin Glaze, anatoka katika familia yenye maadili sana. Majaji wanamuuliza kama ameshawahi ku-kiss. Benjamin anasema kuwa hajawahi...
11 Reactions
64 Replies
3K Views
Hii guys Haya mambo ya mjini Daslam socialite Faiza na asieshiwa vituko amelipuliwa na kashfa za utapeli Kwa Baadhi ya watu waliompa Pesa awaletee mzigo kutoka China Ukimbukwe miaka kadhaa...
16 Reactions
141 Replies
9K Views
Albert Mangwair ft Lady Jay Dee__MAPENZI GANI. AISEEEEEEE[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
4 Reactions
11 Replies
585 Views
Naomba anayemfahamu Christina shusho anifahamishe historia yake ni mtanzania au mkongo? Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
10 Reactions
164 Replies
20K Views
Back
Top Bottom