Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Tuna wasomi kite duniani hata UN wanatutambua.
1 Reactions
30 Replies
3K Views
Kwa wapenzi wa Mchiriku/Mnanda jina la Division Haji litakuwa sio geni sana haswa kwa ukanda wa Temeke, ni mpiga ngoma hodari hakika ukihudhuria show zake lazima uburudike na ufurahi kwa ufundi na...
1 Reactions
6 Replies
631 Views
Hakuna ubishi Msanii Harmonize au kama anavyojiita Konde boy ni msanii mkubwa si kwa Tanzania tu pamoja na mataifa yote ya Afrika. Ukichukua wasanii 3 Wakubwa na bora Tanzania basi bila shaka...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Ushamba wenu na majikwezo yaishie Afrika tena siyo nchi za Kiarabu kwa wafia dini. Muwe mnasoma mazingira ya nchi unayoenda kama watu wakubwa na pesa zao wamezuiliwa kutumia vilevi na kutangaza...
16 Reactions
50 Replies
5K Views
Najua kuna baadhi ya watu ukitoa sifa kwa mtu hawapendi Mara utasikia umekuja kujipigia promo humu lakini tuwe wakweli this man called Meja kunta ameleta mapinduzi kiasi kikubwa kwenye singeli...
6 Reactions
38 Replies
5K Views
Mkali wa RNB R. Kelly kaachia album yake ya kwanza akiwa gerezani. Jina la album linakwenda kwa jina la I ADMIT IT, kwa lugha yetu ni NIMEKUBALI. Ndani ya album iyo jamaa kakubali kutoka...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari za mida, Watu wengi duniani hutumia pombe kwa sababu mbalimbali zikiwemo kulewa, burudani, kuongeza uwezo wa kujichanganya na watu, kusahau matatizo na hisia hasi, kusherehekea, kuburudika...
8 Reactions
61 Replies
4K Views
"Bila Upevu wa Fikra kung'amua Hii Homa ni Ndoto/ Madaktari , Waganga Wote Cha Mtoto/ Bado Wanaitafuta Pimajoto/ Kwani Dunia Ina Homa Kali Mithili ya Moto/ Wanasayansi Tumelala Maabara/...
13 Reactions
42 Replies
7K Views
Nasikiliza huu ujio mpya wa Mwana FA ft Harmonize. Kweli Mwana FA ni Jay Z tulienae. Punchline[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
11 Reactions
104 Replies
7K Views
Hizi video zilizopostiwa na Afande Sele. Aisee jamaa amechoka, siyo yule aliyesumbua na nguo zake nyekundu.
4 Reactions
65 Replies
9K Views
Harmonize ametoa wimbo unaohamasisha matumizi ya bange lakini cha ajabu mpaka sasa serikali bado haijamchukulia hatua zozote za kinidhamu. Huyu jamaa ulimbukeni na ushamba vinampeleka puta sana...
5 Reactions
40 Replies
4K Views
Nauliza kwa wale wapenzi wa action movies je kuna sehemu mmewahi kumuona huyo martial artist amevua shati? The same apply kwa Salman Khan nae sijui kama wenzangu mmewahi kumuona akimaliza muvi...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Mnyetishaji wetu ametupa taarifa za ndani hali sio shwari ndani ya himaya ya konde Gang. Hii ni baada ya mapenzi motomoto ya boss wa lebo hiyo na mpenzi wake Kajala penzi lao kuingiliwa na ruba...
5 Reactions
31 Replies
5K Views
Kwa wenye kuweza watch EATV now!, Mhe. January Makamba yuko live kwenye kipindi cha Mikasi kinachoendeshwa na Salama Jabir!. Please watch it!, Salama is dam good!.
1 Reactions
29 Replies
10K Views
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu Yule rapa mtata kunako game anyeongoza kujaza viwanja vikubwa ndan ya africa na nje ya africa casper nyovest ndo...
4 Reactions
24 Replies
5K Views
Madam Rita kupitia kipindi Cha Salama Na amafunguka mahusiano yake na Mzee Reginald Mengi. Akimuelezea Mzee Mengi Madam Rita amesema hakuna aliyewahi kumpenda na kumuonesha upendo kama Reginald...
10 Reactions
62 Replies
13K Views
WANAMUZIKI WA TANZANIA WALIOTAZAMWA ZAIDI YOUTUBE NOVEMBA 2022 1. diamondplatnumz 2. @OfficialZuchu 3. @rayvanny 4. @harmonize_tz 5. @mbosso_ 6. @realjaymelody 7. @Marioo_Tz 8. @mavokali_ 9...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Hawa vijana wanajiingiza kwenye maisha ya ushetanini. Kama ushetanini siyo Kiswahili basi tutajua, huwezi ukatoka nje na kipichu tu. Hata kama unakasoro mwilini ni siri ya ndani. Hata kama...
2 Reactions
41 Replies
7K Views
Boss wa Kondegang Music Worldwide @harmonize_tz ametangaza kuchaji Tsh Milioni 100 kwa wasanii watakaotaka kufanya naye Collabo huku sharti lake ngoma iwe kali tu. "Naanza kuchaji Tsh Milioni...
1 Reactions
38 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…