Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Huyu mdada wa Kikenya Ameolewa au? Maana namuelewa Sana kuanzia sura, mguu hadi kule eneo pendwa la Mitetemo.. Mwenye taarifa zake tafadhari
3 Reactions
43 Replies
8K Views
Mwanadada Wastara amethibitisha kuwa yuko kwenye hatua za mwisho mwisho za maandalizi ya harusi yake hapo mwezi wa 11. Kila la Heri.
2 Reactions
20 Replies
2K Views
'Baba' wa Diamond Platnumz Abdul Juma Anasema Alisononeka Baada ya Familia Kumkataa: Abdul Juma amefunguka kuhusu familia yake kumkana. Mnamo 2021, mamake Diamond Platnumz, Sanura, alisema...
4 Reactions
23 Replies
3K Views
Habari wadau,kama ww ni mfuatiliaji wa muziki bila shaka utakuwa unawajua wanamuziki hawa.Je kwa mtazamo wako nani ana kipaji kuliko mwenzake?mimi kwa mtazamo wangu naonal Whitney houston ana...
4 Reactions
293 Replies
24K Views
Siku chache baada ya mazishi ya mwanasiasa mkongwe Augustine lyatonga Mrema mke wake aliyefunga naye ndoa siku za karibuni amefunguka mbele ya wanahabari mambo mbalimbali ilkiwa pamoja na...
2 Reactions
42 Replies
4K Views
Angalia alivyovaa na kujiachia! Lakini ni huyu huyu Zuchu aliyekataa kufanya tangazo la pombe (siyo kunywa pombe) kwa madai kuwa ni kinyume cha matakwa ya dini yake. Kungwi Sexless hajafurahishwa...
14 Reactions
81 Replies
8K Views
Binafsi huwa namkubali sana mwanamama Alicia keys nakibao chake cha fallin. Moja kati ya vibao vikali mno kuwahi kutoka kwake. Je wewe unamkubali msanii gani na kibao chako pendwa?
10 Reactions
431 Replies
18K Views
Kiukweli DJ Khaled ni kati wa wadau wachache wa mziki wa rap wanaoitendea haki hii tasnia. Kama wewe ni mpenzi wa rap ile style ya miaka ya 90s hadi early 2000s basi utakubaliana na mimi. Jamaa...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Tunapenda kupeleka shutuma hii kwa waigizaji wa bongo movie hasa episode za ndoa/mahusiano/mapenzi. Waigizaji hawa wamekuwa wakiingiza ubaya, ubabe, ufedhuli, kiburi, umalaya, wizi, utapeli...
4 Reactions
9 Replies
2K Views
Hatimaye jana katika kupenya penya huku na huko katika jiji la dar, nikapata kisa cha ule mwiba kwenye lile tango pori. Iko hivii yule mkulima aliyepanda matango yake na hatimaye kugeuka matango...
6 Reactions
55 Replies
9K Views
Ameandika Romantic Aloyce. "Daimond aache kulialia, yeye mwenyewe alisaidiwa ila alipoona amekuwa akaachana na waliomsaodia tena kwa kuwasema vibaya mfano Ruge Mutahaba. Diamond anasaidia...
6 Reactions
17 Replies
3K Views
Wanaodaiwa kuwa Wapenzi, Mwanamitindo na Mwingizaji, Hamisa Mobetto na Mfanyabiashara Fred "Vunja Bei" wanadaiwa kumwagana. Ikumbukwe kuwa Mobetto na Vunjabei hawajawahi kutangaza wazi wazi kuwa...
7 Reactions
93 Replies
18K Views
UTANGULIZI Wengi na vijana hasa wa kike kwa ujumla wanamtazama vanessa mdee kama role model wa maisha yao kutokana na umaarufu wake mkubwa alioupata kupitia muziki na maisha yake kwa ujumla kwa...
44 Reactions
51 Replies
13K Views
Baada ya kusikia jina Vunja bei kwa muda mrefu mitandaoni ikabidi na mimi nigoogle, nikafaikiwa kukutana na podcast moja ya vunja bei. Jamaa ameongea mambo mengi sana na moja amewataka wateja waje...
9 Reactions
174 Replies
30K Views
Jamani mshahesabiwa huko? Wandugu Kama mjuavyo penye msiba hapakosi kilio... huyu hapa chini ni mke wa hayati Mrema akimlilia mumewe kwa uchungu... Wanazengo wengi wametoa maoni yao kwamba hiki...
5 Reactions
34 Replies
5K Views
Kuna habari kuwa aliyekuwa mke wa Mengi ameshinda kesi hivyo amekabidhiwa urithi wote ulioachwa na Mengi. Mwenye taarifa zaidi atujuze kulikoni!
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Habari wadau. Nimejaribu kukumbuka hii love triangle ya Lord eyes, Ray c, na mwisho mwampamba, na naona angalau Hawa wawili Ray c na Lord eyes wanaonekana mahali walipo. Huyu ndugu yetu...
7 Reactions
125 Replies
25K Views
Natoa pongezi kwa msanii namba moja Afrika kwa sasa Diamond Platnumz kwa kununua vyombo vya anga. Biashara yake mpya anayokuja nayo ya Wasafi airlines itafungua milango ya ajira nyingi sana...
16 Reactions
105 Replies
8K Views
Yes, eminem kuna muda anasifia kwamba kuna marapa weusi flani walikuwa anawasikiliza, wanampa morali, n.k lakini hii haiondoi ukweli kwamba yeye ni mfalme, Messi anaweza kumsifia Maradona alikuwa...
10 Reactions
60 Replies
4K Views
Back
Top Bottom