Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Wana JF wale waliokuwepo enzi za wanamuziki hawa. Kama wangepambanishwa nani angekuwa zaidi? Najua kila mmoja alikuwa na kipaji chake tofauti na mwingine na uanamuziki wao ulikuwa tofauti pia...
0 Reactions
73 Replies
33K Views
"Huyu jamaa anachojua saizi ni kusema "and stuff like that" basi 😁 " Nimekuta caption hii huko twitter, aisee watu wa twitter wamefunguka mambo mengi sana kuhusu Mtangazaji Lil Ommy. Kiufupi...
4 Reactions
36 Replies
4K Views
Napenda rege na miondoko ya Caribian beat nk. Nakumbuka miaka ya 2007 hawa jamaa walikua 🔥 sana, Alikuwa Cosmo mwenyewe na Dj alikuwa Bula na jamaa mwingine sikumbuki jina lake. Niliipenda sana...
1 Reactions
3 Replies
721 Views
Steflon Don; ni staa mkubwa wa muziki nchini Uingereza ambaye hivi karibuni amezua sintofahamu baada ya kudai kuwa ex wake ambaye ni staa muziki nchini Nigeria, Burna Boy hana uwezo wa kumridhisha...
31 Reactions
176 Replies
18K Views
Watanzania kwenye suala la kuweka kumbukumbu na takwimu tuna tatizo kubwa sana, kuanzia mtaani Hadi serikalini. Leo nimekaa nimejiuliza he ni msanii Gani wa Bongo Fleva anayeongoza Kwa kurecord...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Tunavyoishi tunajifunza na kuona mambo mengi kila siku. Katika kujifunza kuna mengine tunatamani na kuiga kutoka kwa watu mbalimbali. Japokuwa hatuwezi kufahamu maisha ya watu kwa undani lakini...
8 Reactions
46 Replies
3K Views
Kuna wakati utawasikia baadhi ya Wasanii wa Bongo fleva wakifikia hatua ya kuwashutumu wale waliojitokeza na kukaa katikati yao na soko. Wanachosahau Wasanii wengi ni kuwa kuwa na kipaji ni...
4 Reactions
19 Replies
1K Views
Star wa gospel music Rose Muhando aweka wazi kutokewa kwake live na Yesu kristo.
4 Reactions
31 Replies
3K Views
1. Youssou N'Dour Youssou N'Dour ni mwanamuziki wa Senegal, mtunzi wa nyimbo na mwigizaji wa mara kwa mara. Yeye pia ni mfanyabiashara na mwanasiasa, aliyezaliwa Oktoba 1959. Mwanamuziki mkongwe...
5 Reactions
60 Replies
25K Views
Wasanii wakubwa tena wakongwe wanalalamika mziki wa bongo fleva haulipi k.v Chidi benz, Veemoney na Dudubaya, Diamond amewezaje kupata hela hadi ya kununua rolls royce na kulipa bodyguards...
3 Reactions
38 Replies
5K Views
Wadau kwa muda wa miaka mingi nimesikiliza muziki wa RnB, Soul na Pop hasa wa wasanii wa kike ila mpaka sasa sijapata wa kumfikia WH! Huyu katika wasanii hakika alikuwa msanii na sidhani kama...
13 Reactions
129 Replies
19K Views
Mzuka wanajamvi! Genge la vijana waliokulia udogoni na kiungo wa zamani wa Manchester united na Sasa mchezaji wa Juventus Italia wanadai fadhila ya kulipwa hela na Paul Pogba kwa nguvu. Marafiki...
23 Reactions
65 Replies
7K Views
Billnass amesema “Mimi wakati mke wangu anajifungua nilikuwepo hospitali na nilimuona process zote ni kitu ambacho kilinitesa sana niliona ni nusu ya kifo, nililia sana kuna muda mwingine unaona...
17 Reactions
141 Replies
9K Views
Msanii Zuchu kutoka Zanzibar amesema anafurahi sana kutimiza moja ya ndoto zake za utotoni kwa kufanikisha kujenga msikiti maeneo ya Paje. ''Msikiti huu utakuwa msaada kwa wakazi wa maeneo hayo...
2 Reactions
30 Replies
3K Views
Mwanamuziki wa Nyimbo za Injili kutoka Nigeria aitwaye Sis Osinachi Nwachukwu maarufu kwa wimbo wake “Ekwueme” amefariki dunia. Osinachi alishirikishwa na Prospa Ochimana katika wimbo huo...
20 Reactions
81 Replies
11K Views
Mwanamuziki Henry Zamani maarufu kama Ice Prince anashikiliwa kwa tuhuma za kumpiga na kumteka nyara askari wa barabarani aliyekuwa amemkamata kwa kuendesha gari iliyokuwa haijasajiliwa Msemaji...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwenye ukurasa wake kaandika kitu ambacho ni tata je? Anataka kutoa wimbo mpya au hayupo kwenye mahusiano tena...
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Mwandishi wa habari maarufu wa magazeti pendwa nchini, kupitia kampuni ya global publishers, Shakoor jongo Kupitia ukurasa wake wa instagram aliandika; Tanzia Ndugu zangu, rafiki zangu napenda...
1 Reactions
94 Replies
8K Views
Zifuatazo ni tuzo za vipengele mbalimbali vya muziki wa Hip hop Tanzania. Naombeni tupige kura baada ya wiki moja tutatoa tuzo. MSANII BORA WA HIP HOP WA MUDA WOTE 1. Professor jay 2. Afande...
2 Reactions
35 Replies
6K Views
Back
Top Bottom