Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Yes ni kweli nyimbo ya buga ni hakunaga iliyoboreshwa wengi watapinga ila ndo ukweli Imeboreshwa kwenye kugha vinanda kidogo ila beat na maudhui ni yale yale Kiufupi nyimbo zetu zinaibiwa sana...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Msanii wa kimataifa Rayvanny anaeiwakilisha Tanzania kwenye matamasha makubwa ya kimataifa kwa sasa. Ameendelea kuonyesha nguvu yake kubwa ya kuuza muziki wake mtandaoni baada ya kufikisha...
6 Reactions
26 Replies
4K Views
Wasalaam wana jamvi! Kama mnavyojua kuwa Alikiba ni mmoja wa wasanii wenye kibri na chuki ambazo zimejificha lakini kama utakuwa una mfatilia mwenendo wake kwenye sanaa utagundua kuwa Alikiba ni...
28 Reactions
208 Replies
26K Views
Angela Simmons ni binti wa Rev Run, Rapper mkongwe wa kundi la Run DMC. Angela Simmons ndo celebrity wa marekani anayevaa shanga nyingi za kimasai kiunoni kama wanawake wa kiafrika. Binafsi huwa...
3 Reactions
26 Replies
3K Views
Diamond analalamika watu hawana shukrani wakati huo huo yeye aliwekeza na amepata faida kwa uwekezaji wake, hizo shukrani anazitaka za kazi gani!. Rayvanny na Harmonize wanalalamika walikuwa...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Nimeona interviews kadhaa za YouTube za kina Mwijaku na vipindi kadhaa vya Wasafi tv.. Mara Sijui S2kkizzy kafuta nyimbo ya Tetema ya Rayvanny youtube eti hajalipwa haki zake kutengeneza nyimbo...
5 Reactions
13 Replies
2K Views
"God is Good, I bought me a helicopter today"
6 Reactions
91 Replies
6K Views
Hakuna kitu kinaitwa "Unyonyaji" kwenye dunia ya mabepari. Umepewa mkataba, unapewa muda ukausoma na kutafakari, ukaona unafaa, ukatia saini. Hakuna la ziada hapo. Nitaamini Wasafi ni wanyonyaji...
16 Reactions
43 Replies
5K Views
Ukija kwenye Tasnia ya mziki wa Afrika Mashariki basi kati ya vijana ambao wanaimba ule mziki ambao ni wa viwango vya juu na hawatumii nguvu basi Marioo na Otile Brown wa Kenya hiyo sifa...
2 Reactions
13 Replies
4K Views
Usiku huu Harmonize amemuwekea dhamana msanii mwenzie wa Nigeria aliyekuwa akishikiliwa na Jeshi la Polisi la Tanzania. Harmonize ameweza kumdhamini Kizz Danièl na kuondoka naye kutoka kituo cha...
8 Reactions
34 Replies
5K Views
Haiwezekani bana yaani tupo group moya, alafu nyinyi mnaenda kulala kitanda kimoja, huu ni usengenyaji wa wazi wazi. Group la kwanza walikuwa Pah One, embu vuta picha jinsi ambavyo wale member...
5 Reactions
10 Replies
2K Views
Alihit sana na trucks za ukweli, rnb moto moto za Gospel zisizo chosha wala kuchuja. Ghafla kikatokea kimya kizito hadi najiuliza ni nini kimempata?
6 Reactions
64 Replies
17K Views
Sina chuki na Huyu Bwana Diamond, huwa napenda sana nyimbo zake, ni burudani tosha. Ni takribani mwezi sasa toka huyu Bwana na bint Zuchu watoe wimbo wao walioupa jina 'Mtasubiri sana'. Ni wimbo...
34 Reactions
137 Replies
11K Views
"Naomba Mumkumbushe Fred kua walikuwepo wauza nguo kama yeye walikuwa na hela kuliko yeye, walikuwa washamba wa mademu wa mjini kama yeye na wakafilisika na hawapo tena, so na yeye kwa ushamba huo...
22 Reactions
233 Replies
32K Views
CEO wa Next level music ambaye pia ni msanii wa lebo namba moja Africa ya Wasafi, Rayvanny aka Chui amejenga nyumba kisha kuiteketekeza kwa moto ili kupata uhalisia wa video yake mpya ya wimbo wa...
11 Reactions
71 Replies
9K Views
Nimeona video ya kaoneka akilalamika Mandonga kupata pesa licha ya kuwa alimtwanga. Haya ni malalamiko ya kitoto sana kwa Bondia aliyeshinda pambano muhimu kama lile. Wanamichezo na wasanii wa...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Jarida kubwa huko Nigeria limemtaja Tuerny kama mwanamke mwenye mvuto zaidi nchini Tanzania na kwa africa akiwa namba 7 yaani yupo top 10. Hivo kwa sasa mrembo mwenye mvuto na muonekano wake TZ...
15 Reactions
262 Replies
26K Views
Kuna siku niliweka thread nikisema Rayvanny ndio Mangwea wa kizazi cha sasa, wakatokea watu wakanishambulia sana. Sasa niwaambie movement za sasa za Ray ndio standard tunayopaswa kwenda nayo kama...
8 Reactions
39 Replies
4K Views
Awali nilijua Amon ndiye mume wa upendo Kilahiro ila leo nimesikia Amon Kilahiro amemuoa mke wake Annet. Naomba kujua iwapo nilijua tofauti au upendo aliachana na Amon?
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom