Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Wamaasai wanaotengeneza umashuhuri kwa kasi sana Ulimwenguni, lakini hapa Bongo kama watu hawana habari nao kabisa, Wanaweza kutoboa kimaisha mambo yakiendelea kama yalivo, ila huyu kijana...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
WCB bado wanaendeleza tabia yao mbaya ya kuiba mahadhi ya nyimbo za wasanii wengine ndani na nje ya nchi na hivyo kuvunja sheria mbalimbali zinazohusu inshu za hati miliki katika sekta ya Music...
4 Reactions
43 Replies
10K Views
Kuna kipindi huyu mtayarishaji wa mziki aliwika sana baada ya kutengeneza ngoma kadhaa za Belle 9 kama Masogange, Nilipe Nisepe, n.k. Hakuishia hapo alitengeneza ngoma kibao zilizowika sana enzi...
6 Reactions
43 Replies
6K Views
Wimbo ulio Bora 3 :4 Kitambo kidogo tu nikiisha kuwaondokea, nikamwona mpendwa wa nafsi; Nikamshika nisimuache tena, hata nilipomleta nyumbani mwa mamangu, chumbani kwake aliyenizaa. Pastor Lucy...
3 Reactions
84 Replies
13K Views
Bado anaendelea kutoa video akiwa-tag wababe wa muziki wa bongo WCB ili iwe rahisi kuwafikia watu wengi. Kiukweli kufanya muziki bongo bila support ya WCB hauwezi kutoboa.
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Emsley "Baba T" Smith Picha: Ukurasa wake wa Facebook Miaka kadhaa iliyopita nilipata fursa ya kuonana na Baba T pale East Africa Radio. Tulishikana mikono. Alikuwa ni pande la mtu, na kiganja...
45 Reactions
69 Replies
7K Views
Msanii wa Injili na Hit Maker wa 'Utamu wa Yesu' Rose Muhando anasema anaomba apate mume mzungu mwenye pesa. Rose Muhando ameshea hilo kwenye Instagram yake akiipa promo wimbo wake mpya huku...
13 Reactions
112 Replies
12K Views
Wakuu mnamkumbuka huyo dada mwenye blauzi pink?
2 Reactions
142 Replies
104K Views
Kutoka kwenye insta story ya Rapa Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ ameandika; “Yani kujifanyaga mnawapa magari ooh label kubwa alau mkishindwana mna wapokonya magari yenyewe tena wasanii kwa...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Mwanamuziki nyota wa Uganda Jose Chameleone ametoa maagizo ya wazi jinsi atakavyozikwa kifo kitakapomjia. Chameleone haogopi kifo hata kidogo, ikiwa kuna chochote, angependa kufaidika na kifo...
4 Reactions
13 Replies
4K Views
Muigizaji wa tamthilia pendwa zaidi kwa sasa ya Uturuki ya Ertugrul, bwana Ayberk Pekcan maarufu kama Artuk Bey amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 51. Ayberk ambaye amecheza kama, Artuk Bey...
5 Reactions
7 Replies
3K Views
Rayvanny ni moja ya wasanii wa Bongo Fleva wanaokuwa wanafanya vizuri sana kwenye kiwanda chetu cha muziki. Nakung'ata sikio Ray muziki unaoimba sasahivi unakupoteza, umetoa nyimbo zaidi ya tano...
4 Reactions
27 Replies
4K Views
Mwanamuziki wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo François Lulendo Matumona, maarufu General Defao amezikwa leo Jumamosi katika mazishi ya kitaifa. Defao alifariki mwezi Disemba mwaka jana katika...
8 Reactions
77 Replies
8K Views
Muigizaji mkongwe na gavana wa zamani wa California, Arnold Schwarzenegger mwenye umri wa miaka 75 amepata ajali jijini Los Angeles. Mmoja akijeruhiwa lakini Schwarzenegger alitoka akiwa na...
3 Reactions
53 Replies
4K Views
Je, ni kwamba hawa jamaa bado wana bifu kubwa dhidi ya Diamond Plutmumz na menejiment nzima ya WCB. Kwasababu kuna nyimbo nyingi kali zilizotoka hapo lkn hakuna hata wimbo mmoja wa member kutoka...
2 Reactions
103 Replies
9K Views
arehe kama ya leo mwaka 1968, ulimwengu ulishuhudia kuzaliwa kwa mwanasiasa na mwanasheria nguli Mheshimiwa mbunge Tundu Antiphas Lissu. Nitumie nafasi hii kumtakia miaka 100 zaidi na kila la...
14 Reactions
43 Replies
5K Views
Heri ya kuzaliwa kwako Mh. Tundu Antipas Lissu. (Kawimbo) Happy Birthday to youuu, Happy Birthday to youuu Happy Birthday Deat Lissuuu, Happy Birthday to youuuuuuuuuu! Unapoanza mwaka wako wa 54...
13 Reactions
15 Replies
2K Views
Leo nimecheka wanazengo nikabaki tu namuonea huruma huyo mtoto aliyezaliwa na Masha na Kumbuka kama ni kweli. Hivi hawa ni kweli au ndio kutafutia Kiki mjini , lol... Ila nakumbuka kipindi cha...
3 Reactions
44 Replies
11K Views
  • Closed
Kuna video inasambaa mitandaoni ikimuonyesha Meena Ally, mtangazaji wa Clouds Fm akiwa ananyonywa sehemu za siri na mwanaume ambaye sura yake haijaonekana. Video hiyo kwakuwa haina maadili hivyo...
10 Reactions
300 Replies
61K Views
Steve Nyerere amedai kuwa kupigania Bongo movie dhidi ya maharamia wa filamu feki ni batili na za kujitafutia umaarufu kwa kuwa hilo ni suala la kitaifa linalotakiwa kuratibiwa nchi nzima na wakuu...
0 Reactions
75 Replies
8K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…