Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Mtume na Nabii Josephat Mwingira wa Kanisa la Efatha amemuombea mabaya Mchungaji Ambikile Mwasapile anayetoa tiba ya magonjwa sugu katika eneo la Samunge, Loliondo kwamba anapaswa kulaaniwa hadi...
0 Reactions
144 Replies
19K Views
Jamaa alikuwa mfalme wa Mitaa kuanzia miaka ya 2003 kwa ngoma zake maarufu Kama, Elimu mitaani.com, Sauti ya Gharama, Bomoa Mipango, Kitu Gani N.k Yupo wapi huyu mwamba!? Hata Instagram Hana account
23 Reactions
127 Replies
16K Views
Vijana walikua wanavaa masuruali makubwa makubwa kama mifuko ya mashineni 😁🤣🤣🤣🤣🤣 Kuna kitu cha kujifunza, wasanii wakubwa wa mbele wanaimba nyimbo zinazo survive decades, nyimbo kama hii ni ya...
8 Reactions
31 Replies
4K Views
Nice P yuko wapi huyu jamaa siku hizi? Alikuwa producer mkubwa
1 Reactions
1 Replies
874 Views
Msanii wa muziki wa Bongo fleva Ali Kiba alisema hayo alipoulizwa kama na yeye ana mpango wa kufungua kampuni ya betting kama msanii mwenzake.
7 Reactions
97 Replies
11K Views
Hii habari haijatrend, I bet ni kwasababu ya kinge. Nimeshtushwa kidogo maana nilijua Master J ana uzungu uzungu kumbe mataptap tu
11 Reactions
230 Replies
24K Views
habari ndugu. Mwaka ukiwa unaishia sasa tumeona tangu mwanzoni wasanii chipukizi wengi walichipua na ngoma zao za moto na kusumbua sana, Wapo waliotoa ngoma moja na kupotea wapo walio maintain...
4 Reactions
35 Replies
5K Views
Wadau Majuzi nilikuwa naangalia Tanzania Film Festival 20202021 kule Tughimbe Hotel Mbeya ....Kwa kweli nilishangazwa sana na wengi ya wasanii wakiume waliochukua Tuzo walikuwa wanalia lia...
4 Reactions
11 Replies
1K Views
Mama Mzazi wa Luludiva amefariki. Mama Mzazi wa mwanamziki (Msanii wa Bongo fleva) Luludiva amefariki dunia desemba 19, 2021. Kwa mujibu wa Lulu diva alisema mama yake aliugua kwa muda mrefu na...
10 Reactions
99 Replies
11K Views
Nikiri wazi mimi ni mmoja wa watu wanaompenda na kumfuatilia kwa karibu sana muimbaji wa Injili Paul Clement, Toka enzi zile akiwa na glorious mpaka sasa akiwa solo artist.. Kwa hakika kijana...
5 Reactions
23 Replies
4K Views
Msanii wa Bongo Fleva Lulu Diva amesema hajawahi kuhongwa, wala kujihusisha na kimapenzi na mtu ajipatike kipato, ila amesema hawezi kuwa na mwanaume ambaye hawezi kumuhudumia. Lulu Diva ametoa...
1 Reactions
27 Replies
7K Views
Jana ilikuwa ni Siku ya Furaha Nchi Gambia, Ikiwa ni Maadhimisho ya Kumbukumbu Ya Siku waliyo Pata Uhuru Nchini Gambia. Kwa Kutambua Ukuwa wa Msanii Diamond, Serikali Ya Gambia Iliamua Kumualika...
3 Reactions
38 Replies
4K Views
Baada ya mkali wa bongofleva Africa na duniani kwa ujumla kuachia ngoma ambayo ilionekana kupondwa Sana na wadau wa muziki hapa mjini Tanzania. Lakini usichokijua ni kwamba ngoma hi # UNACHEZAJE#...
7 Reactions
44 Replies
4K Views
Star wa muziki kutoka nchini Guine Grand P amuonya mwanaume ambaye anashutumiwa kuwa na ukaribu na mpenzi wake Grand P alinukuliwa akisema kuwa "Kaka yangu Roga Roga nina kuheshimu sana na...
8 Reactions
19 Replies
2K Views
Aliyekuwa producer wa kundi maarufu la Mambo poa,Castrol Ponella. Ametoka jela miezi 5 iliyopita kwa msamaha wa rais,toka 2004 hadi mwaka huu. Alipelekwa jela kwa kumchoma kisu mwanamuziki Steve...
3 Reactions
66 Replies
23K Views
Life goes on.[emoji385][emoji386][emoji383][emoji383]
0 Reactions
0 Replies
970 Views
Kutana na Juliana Shonza kwenye website ya UDSM kama alumni of the month. Hakika ana historia ndefu ya kiuweledi licha ya umri mdogo na wasifu unaoweza kuwa inspire vijana. Hongera dada. NB...
3 Reactions
35 Replies
4K Views
The 28-year-old, whose real name was Darrell Caldwell, had been scheduled to perform at the Once Upon a Time in LA festival on Saturday night. His publicist confirmed his death to several US media...
0 Reactions
1 Replies
826 Views
A.k.a Field marshal, Sauti ya umeme, Toka NYC beibi. Mzee wa Noah Mzee wa mabebez. Huyu puto aliwai kuwachangisha matajiri wa dar wote(anavyodai)ili akaoe. Mpk leo kimyaaa. Alikua mwenzetu...
8 Reactions
28 Replies
3K Views
Zikiwa zimebaki siku chache kufanyika kwa tamasha la Afro Vasha nchini Kenya, huku wasanii kutoka Tanzania Alikiba na Harmonize wakiwa kwenye orodha ya wasanii watakotumbuiza siku ya tarehe 11 na...
5 Reactions
20 Replies
4K Views
Back
Top Bottom