Wakuu, Tumekuwa Tukiona Wasanii Wa Tanzania Wakisign Deals na Kampuni mbalimbali ya Kuwa Mabalozi wa kampuni husika na Kujiingizia Kipato kikubwa kwenye Mifuko Yako, Hii inatokea hata kwa Wale...
Ili uwe msanii mkubwa inahitaji uwe na uwezo mkubwa tu wa kuimba, wafuatao ni wasanii wenye uwezo mkubwa zaidi wa kuimba na kuperfom live hapa Tanzania...hii ndiyo Top 5....
1) Chistian Bella...
Ukweli usemwe Msanii Lava Lava ni mmoja ya wasanii chini ya WCB waliokuwa wanapitia kipindi kigumu sana tangu ajiunge ndani ya WCB!
Lava lava amekuwa na bahati mbaya sana kutoka kwa mashabiki...
Msanii Clayton Chipando maarufu kama Baba Levo amesema kupitia ukurasa wake wa Instagram kuwa ametunukiwa "Phd" ya heshima ya Afya, Siasa, Sanaa na Burudani na Chuo cha City College of Health and...
Stori: Jelard Lucas
HILI ndiyo Risasi bwana! Sikia, kama ulikuwa hujui ni kwamba msanii mkongwe katika filamu za Kibongo, Ruth Suka Mainda ameibuka na kueleza mengi ikiwemo kutoa mimba ya mpenzi...
Najua kuna mpishano kidogo wa eras,lakini hawa wote kwa kipindi fulani walishawah kuwa kwenye peak ya Bongo fleva
Kwa mtazamo wako yupi alikuwa mkali zaidi?
Mb Dogg aliwahi kutamba na hits kama...
Wana JF
Ukisikia nyota kung'aa huwa ina msukumo wa dodoki, hii imetokea mwigizaji nguli Ray ambaye akiweka sana miaka 8 iliyopita kwa mgongo wa Kanumba, ambaye alitokea kupanda sana kutokana na...
WCB wameharibu mziki wa Bongo ,hakuna contents za maana wanazoimba ni matusi tu, Kila wimbo wanaotoa ni matusi.
Kwanini hata BASATA wasiwaangalie kwa jicho pevu? Huwezi kuwasha TV unapokaa na...
Wakuu sishabikii ,ila I predict nyimbo zote zinazokuja za Diamond Platnumz hazitahit tena,Katoa wimbo unaitwa Kitorondo,nimesikiliza but kaimba rubbish ukifananisha na ''My number one''
count on...
Mwaka umeisha tayari hivyo hatuna budi kuangalia yale ya nyuma pia.
Kwa sekta ya burudani dj ni muhimu Sana hivyo ni vyema kutambua mchango wao kwa kuwataja popote pale walipo..
Kwangu mimi ni...
Nikiwa kama shabiki kindaki ndaki wa Diamond Platnumz since kamwambie hadi leo hii, nauona mwisho wa msanii huyu kuwa hauko mbali.
Diamond wa miaka miwili iliyopita siyo huyu wa sasa. Kila...
Mwanachama wa bendi ya afro-pop nchini Kenya Sauti Sol amejitokeza kama mpenzi wa jinsia moja.
Tamko la hadharani la Chimano lilikuja alipokuwa akielezea wazo la wimbo wake mpya, Friday Feeling...
hakutatokea tena msanii mkali, mwenye kipaji cha kueleweka na watu wa lika zote kama 20%...
kipindi hicho anatoka ili msanii ukubarike ni lazima ubane pua au uwe na sauti ya kumtoa nyoka pangoni...
Ngoja niwasaidie kuelewa MUZIKI na Aina yake naongea Kama mwandishi wa MUZIKI .. changamoto ata sisi waandishi tunapitia mtu anakupa beat ya amapiano au ya bolingo af anakwambia niandikie isound...
Hivi Diamond akiwa peke yake sebuleni akasikia ngoma kali ya mwaka huu "UTU" ya King Kiba ikipigwa kwenye home theatre kali za sony anajikiaje, ni anapitia kwenye wakati gani maana lile jiwe ni...
Naelewa Muziki ni biashara lakini kwa upande mwingine ni tunu na utambulisho wa jamii.
Wasanii wetu wamekuwa wanatukosea saana na wanaukosea utamaduni wetu. Tumekuwa ni watu wa kurukiarukia...
Nimetokea kuvutiwa/kunogewa sana na hii style mpya ya Harmonize ya kukohoa kohoa kwenye beat wakati akiwa anaimba, kweli huyu jamaa ni teacher kama anavojiita.
Kudos kwa hilo.
A beautiful love song from the Goddess #RosaRee and as always she never disappoints. In this amazing love story she has featured singer songwriter and violinist #AbbyChams and it’s a MUST WATCH...
Diamond Platnumz msanii namba moja Africa ameendelea kuonyesha ubabe wake kwenye kila kona kuanzia muziki mpaka uwekezaji.
Ametambulisha rasmi biashara yake mpya ya Wasafi betting.
Ama kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.