Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Ebanaaa hii ndio picha inayotrend hivi sasa ya wasanii harmonize na alikiba wamepiga wakiwa ndani ya ndege, hii imepostiwa kwenye ukrasa wa instagram wa harmonize inaelezwa na leo watapaform ndani...
3 Reactions
28 Replies
4K Views
Nimeskiliza ngoma zote za album ya Alikiba ngoma zimepoa sana. Kati ya nyimbo zote nimependa nyimbo mbili tu *Niteke *Let me Nyimbo zingine zote hamna kitu na marudio tu ya ngoma zake...
2 Reactions
60 Replies
8K Views
Habari zinasema kwamba PJ, Abel Onesmo na Gerald Hando watapigwa chini kuanzia mwezi April mwaka huu. Kwa kawaida, Clouds wana utaratibu wa kutoa mikataba mipya kila ifikapo April 1. Katika...
3 Reactions
342 Replies
79K Views
Happy Birth Day: Bob Marley. Robert Nesta Marley , maarufu zaidi kwa jina la Bob Marley au alizaliwa nchini Jamaika tarehe 6-2-1945 kwa mama Mjamaika--Cedella Malcolm Booker, mwenye asili ya...
5 Reactions
26 Replies
10K Views
Mods tafadhalini msiwe mnaunganisha uganisha thread zetu kwenye nyuzi za zamani, Kiutani utani sanaa yetu naenda kufutika katika ramani ya Africa, Sanaa yetu ya muziki ilikuwa inapaa kwa kasi ila...
4 Reactions
23 Replies
3K Views
Huyo ndio simbaa Hiyi hapa isikize[emoji116]
0 Reactions
53 Replies
4K Views
Mtandao wa MTO News umeripoti kuwa Rapper Rick Ross yupo kwenye mahusiano mapya ya kimapenzi na msanii wake ambae pia ni rapper Pretty Vee. Mapema mwaka huu, Rozay alimsaini Pretty Vee katika...
7 Reactions
49 Replies
6K Views
Nakumbuka alipewa kipindi cha kutangaza hip hop Clouds FM, huwa ni siku gani na saa ngapi!?? Nampenda huyu dada ni mzuri jamani, natural lakini hatari na nusu!
9 Reactions
69 Replies
11K Views
Hatimae msanii Harmonize rasmi ameachia wimbo alioshirikishwa na kundi la mabantu remix inaitwa Utamu, katika wimbo huo wa utamu remix Harmonize amesema kuwa ukimletea mambo ya kabwili unapunguza...
5 Reactions
43 Replies
6K Views
Mercedes' British F1 driver Lewis Hamilton poses with his medal after being appointed as a Knight Bachelor (Knighthood) for services to motorsports, by the Britain's Prince Charles, Prince of...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Wadau wa mandombolo na rhumba. Mzee wa tukunyema ,wa zamani amelaMbwa kichwa miaka 18 huko France. Kesi ya yule dancer mahiri wa zamani sijui ilikuwaje wakatofautiana ndio aliemshtaki.. Miaka...
6 Reactions
40 Replies
4K Views
Usiku wa tarehe 10 December wadau mbalimbali wa burudani na michezo waliweza kushuhudia uzinduzi kabambe kwa WASAFIBET. Katika uzinduzi huo C.E.O na boss wa wasafi media alionekana akiwasili...
2 Reactions
33 Replies
6K Views
yule dada mpambanaji alimaarufu Joyce kiria ambaye kwasasa ameolewa na kupata mtoto wa kiume. Anatarajiwa kurudi na ujio tofauti kabisa kwenye luninga moja wapo za bongo ukiachilia mbali vipindi...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Mohamed El Mazem (Arabic: محمد المازم‎) is an Emirati singer Among the festivals in which he participated are the Palmyra Festival 1999 in Syria and the Festival of Love and Nusra 2008 in...
1 Reactions
0 Replies
437 Views
Hivi karibuni ukurasa wa Hamisa Mobetto Instagram umedhihirisha kuwa mwanamtindo huyo yupo karibu sana na Rick Ross. Hamisa Mobetto amekuwa akichapisha picha na video fupi zikionesha wawili hao...
3 Reactions
36 Replies
5K Views
Hamisa Mobetto amekuwa mama wa ajabu, dada na mtu maarufu kwa watu wengi wanaounga mkono maisha yake ya watu mashuhuri. Ingawa amekuwa akikejeliwa na wengi kuhusu jinsi Diamond Platinumz...
6 Reactions
35 Replies
5K Views
Mwigizaji maarufu Bongo Hamisa Mobetto amepuuzilia mbali madai kwamba amekuwa akionekana sana na watu mashuhuri duniani kwa sababu anajaribu kumkomoa aliyekuwa mpenzi wake Diamond Platnumz. Akiwa...
3 Reactions
14 Replies
3K Views
Katoto ka dozen wa clouds fm kamekuaaa... Very handsome mwenyewe...naona kajitoa copy...
6 Reactions
88 Replies
23K Views
Wakuu huyu mtoto ana jicho tamu walahiii, jicho likikuangalia kidogo tu unatoa PIN za Mpesa. Huyu mtoto amekuwa akinifanya kuhama naye kila kituo anachohamia ili nikimfuata. S asa hivi niko TBC...
6 Reactions
36 Replies
5K Views
Samahani wadau mwimbaji wa nchini Uganda aliyetamba Sana na wimbo wa TINDATINE Kuna mtu kaniambia alikufaga ni kweli au? Naomba msaada mwenye kujua Sent from my TECNO B1f using JamiiForums...
6 Reactions
53 Replies
11K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…