Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Ndo ukweli, I kwamba ni yake kwa asilimia 100, sema hawasemagi ukweli, c angesema ameingia ubia na kampuni ya Kenya kwani Nini mbaya. Hongera kwa platinum, Ila natafuta karanga zako na pafyum...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Wana JF, Kama ulikuwa hujui, kundi pekee la kibongo lilioanzoshwa chini ya Juma Nature na Chege Chigunda ndilo kundi pekee lililokuwa linashambulia jukwaa, kiasi kwamba kwenye kiti linahakikisha...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Huyu Ex wa V nae siku hizi kashaanza kuwa mdangaji, huyu si nasikia kwao pesa zipo, hata music anafanyia hobby tu sio kama Ana njaa sana kama akina Domo Au ndo fix tu na yeye njaa tu kama wasanii...
16 Reactions
519 Replies
123K Views
MAJOR ALEX GWEBE NYIRENDA, SHUJAA ALIYEPANDISHA MWENGE WA UHURU JUU YA KILELE CHA MLIMA KILIMANJARO SIKU YA MKESHA WA UHURU WA TANZANIA BARA, HATUNAYE TENA. HABARI ZILIZOINGIA SASA HIVI TOKA KWA...
0 Reactions
45 Replies
12K Views
Mondi azidi kuonyesha kwamba yeye ndiye mfalme wa East africa 🌍 kutokana na kuwa namba moja kwenye list ya watu walioangaliwa zaidi mjini YouTube ....... Ushauri wangu watanzania tuhamasishe...
7 Reactions
67 Replies
7K Views
Huyu Mwana HipHop alitamba sana na ngoma kama Matusi, Watu Buu, Nauza Kura Yangu. Muda sana sijamsikia kwenye gemu kwa mwenye taarifa zake wadau au ameacha mziki?
10 Reactions
60 Replies
9K Views
Song: Nimekata ringi Artist: Montra The Future ft Ruby. Yaeaah Aaah Verse 1 (Montra) Siku hizi sikai home, navunga mageto/ Nimechoka maisha ya kihome, kutishiana beto/ Pocket money ni...
3 Reactions
27 Replies
6K Views
Romy Jones amewaacha wanamtandao wakimpongeza kwenye mitandao ya kijamii kwa mara nyingine. Hii ni baada ya kushiriki chapisho hili kuhusu maadhimisho ya ndoa yake ambayo yamesambaa mitandaoni...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Wabongo hatuwezi kuendelea yaani mwenzako E FM amepanga event ya komaa concert Clouds nao wamepanga kumleta Rick Ross. Nakumbuka Lady Jay Dee alitangaza show Clouds waka andaa show na kumleta...
8 Reactions
46 Replies
6K Views
Leo nimepata sehemu nimekuta watu wanamuongelea bdozen ila nilikuwa na haraka sikuelewa story nzima Huyu mtu ni nan and why watu wanamuongea hivi [emoji848]
5 Reactions
68 Replies
45K Views
Msanii wa filamu bongo Vicent Kigosi (Ray) amesema watu wanakuwa weusi kutokana na shida. Chanzo; EATV
3 Reactions
78 Replies
11K Views
"Nimemuona pia Konde Boy Tembo hapa (kwenye orodha ya Wasanii waliotoa burudani) na kwa kifua kile cha Harmo kweli yeye ni Tembo, Kwa vikundi vyote vingine vilivyopanda hapa jukwaani kwa Burudani...
3 Reactions
42 Replies
6K Views
Mimi binafsi ni binadamu ambaye nikifika mwisho au nikisema inatosha, jua ama zako au zangu. Hakuna suluhu. Tafuta chaka lako la kujificha. Moja ya sifa za msanii King Kiba ni kuhimili...
1 Reactions
31 Replies
5K Views
Wana JF Wasalaam. Nianze kwa kusikitika kwa kumkosa Warumi, ambaye alikuwa anatupa burudani motomoto za vibweka vya wauza nyago Dar, tumekosa vitimbi vingi safari hii. Leo katika viwanja vya...
9 Reactions
24 Replies
5K Views
Ugomvi kati ya mastaa wa bongo kutoka Tanzania, Diamond Platnumz,Harmonize na Alikiba umezidi kuongeza baada ya Harmonize kufichua mambo kadha wa kadha hivi majuzi. Ni ugomvi ambao umeshuudia na...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Picha hii imewekwa kwenye akaunti yao ya Twitter huku wakiweka caption isomekayo Sauti Sol Family. Maswali yameibuka kuwa mbon akuna Mwanaume na Mwanaume je nao ni wapenzi kama hao wa jinsia...
10 Reactions
370 Replies
73K Views
Meneja wa Diamond Platnumz, Mkubwa Fella amesisitiza kwamba mwanamuziki anayewakilisha ndiye kigogo wa muziki nchini Tanzania. Akiwa kwenye mahojiano ya hivi majuzi na Mbengo TV, Fella ambaye pia...
3 Reactions
30 Replies
4K Views
Mashabiki wa Ally Kiba wajumuike hapa kumpa ushauri what is next baada ya mashabiki kuonesha mapenzi yao ya dhati kwa Kiba kwenye Fiesta na kuandika historia mpya Tanzania. Mimi kama Matola...
44 Reactions
18K Replies
991K Views
I don’t know but this pose looks so Gayish to me , Sijui kama ni marketing strategy to grab peoples attention au ndo kashakua ndugu wa bobrisky , what’s your opinion kuhusu hiyo picha ?
4 Reactions
77 Replies
14K Views
Wizkidayo a.k.a Star Boy...Ameendelea pale alipoishia usiku wa kuamkia leo amejaza O2 Arena pale U.K na kufanya bonge la show, Na sikujaza tu baadae alimpandasha mtu mzima Chris Brown. Msimu huu...
18 Reactions
103 Replies
8K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…