Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Kwenye mashindano ya mbio za Marathon nchini Denmark Mwanariadha Sune Mushendwa baada ya kumaliza mbio zile alichukua bendera ya CHADEMA na kuamua kuipeperusha uwanjani hapo huku akishangiliwa...
17 Reactions
31 Replies
3K Views
Habari za asubuhi wanajamvi Siandiki waraka huu kuharibu Biashara ya mtu au kwa chuki ila kwa nia njema kuepusha wanajamvi wenzangu kutokewa na yaliyonitokea.Na hata kama itatafsirika vibaya ila...
23 Reactions
140 Replies
10K Views
MWISHONI mwa wiki iliyopita, mwanadada Hamisa Mobetto kwa mara nyingine ali-make headline kwenye mitandao ya kijamii, baada ya kuanza kuvujishwa kwa taarifa zake za ndani na mmoja kati ya wasiri...
2 Reactions
33 Replies
10K Views
Fred Fidelis aka Fredwaa Kipindi cha Powe breakfast kimepwaya sana kama sio kupoa, kwa muda wa alfajiri kuanzia saa11 mpaka 12, amsha amsha za Fredwaa hazipo, Utabiri wa Hari ya hewa hamna, Paza...
32 Reactions
313 Replies
50K Views
Hiki kitendo Alichofanyiwa Manara na Hamisa Mobeto Sio kizuri, Ni Kama Manara anajaribu Kumsemesha Hamisa Ila Hamisa akawa anampotezea na Kuweka mdomo Kama Vile Manara ananuka Mdomo...
5 Reactions
63 Replies
10K Views
kumlinganisha diamond kiuchumi na wasanii ambao wengi wao hata linapokuja swala la usafiri wanavimba na toyota crown za miaka kumi iliyopita, inakuwa sio fair Sote tunajua ya kwamba kuanzisha...
4 Reactions
12 Replies
3K Views
Diamond sio mmiliki mkuu wa makampuni kama wasafi tv, wasafi radio, wasafi bet, Diamond karanga (r.i.p), yeye nafasi yake huwa ni co-owner, anachofanya ni kuwekeza tu jina lake na kuchukua...
20 Reactions
85 Replies
12K Views
Zari amefichua miongoni mwa sababu zilizomfanya kumwacha staa wa bongo Diamond Platnumz ni kwa sababu ya kutokuwa mwaminifu mfululizo. Anasema wasichana walikuwa wengi na katika baadhi ya...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Hamisa Mobetto hana furaha hii baada ya kupitia kwenye mtandao wake wa kijamii kuwakashifu watu wanaomhusisha na hadithi ambazo hajui chochote kuzihusu. Anasema kwamba wale wanaomhusisha na...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Mimi nashangaa sana, hivi mtu unaanzaje kuwa fan wa mtu kama Hamisa Mobeto au Wema Sepetu? Watu wenyewe hawajulkani hata wanafanya kazi gani kuendesha maisha yao. Wao kazi yao kubwa ni ku-edit...
21 Reactions
41 Replies
7K Views
Mwanasoshalaiti na mjasiriamali Zari Hassan amewakemea watu ambao wamekuwa wakimkosoa baada ya video inayoonyesha chupi aliyovalia kusambaa mitandoni. Kwenye video hiyo ambayo ilirekodiwa wakati...
2 Reactions
13 Replies
5K Views
Jina la kuzaliwa: Moussa Sanguiana Kaba Mwaka wa kuzaliwa: 1990 Umri: Miaka 31(mwaka huu 2021) Kuzaliwa: Sanguiana (Guinea) Raia: Guinea Kipaji: Mwimbaji, muigizaji, mtu wa mitandao ya...
12 Reactions
89 Replies
17K Views
Juzi niliona kwenye global online Hajis Manara akimshkuru huyu shemeji yake kwa kumpatia mke. Hajis anasema bi Zainab Abdalah alienda na mumewe Mh. Waziri wa Maji kujitambulisha kwamba hao ni...
5 Reactions
83 Replies
20K Views
Nianze kwa kukiri wazi kuwa, Tangu Nianze kufuatilia Matamasha ya Wasanii wanayo yafanya kwenye Jamii, Nimeona WASANII WA KITANZANIA wanaongoza Sana Kufanya PERFORMANCE zao Kwenye...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jionee mwenyewe.
7 Reactions
171 Replies
21K Views
Kuna tetesi kuwa mwanamuziki diamond platnum amenunua hummer aliyokuwa akitumia mchungaji gwajima ambapo inasemekana kauziwa kwa bei ya kutupwa(haijajulikana bei gani). Tunasubiri tu baba ubaya...
0 Reactions
72 Replies
15K Views
Muigizaji aliopata umarufu kupitia filam ya chausiku ameolewa leo na chidi pamenzi. Ikumbukwe aliwayi kua mpenzi wa Ney wa Mitego wakashindwana. Hongera sana Chidi kwakupata jiko.
10 Reactions
167 Replies
35K Views
Mwanadada Sanchi ameamua kuwajibu wanaomsema kwamba yeye ni Malaya na amejirekodi picha za uchi kwa makusudi ili atangaze biashara yake. Sanchi amewajibu kwamba atagawa sana papuchi kwani ni yake...
8 Reactions
84 Replies
21K Views
Naona mwisho wa Mwaka ndani ya Mwezi mmoja WCB wanaachia pini juu ya pini zaidi ya Nne ambayo sio kawaida. Lavalava ft Diamond Rayvanny ft Diamond Baba Levo ft Diamond Diamond ft Koffi Olomide...
8 Reactions
48 Replies
8K Views
Katika pita pita zangu huko Insta, nimeona Paula Kajala yuko uturuki kimasomo. Hivi huyu form 4 si alifeligi au kaenda kusomea mambo gani huko uturuki?
2 Reactions
78 Replies
9K Views
Back
Top Bottom