Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Mkali wa muziki Bongo Barnaba Classic amesema anaona amefanya kitu sawa kwenye maisha yake baada ya kuonekana akitrend mitandaoni kwa kuvaa sketi ya kike. Barnaba Classic anasema haitaji kuelezea...
2 Reactions
23 Replies
3K Views
Hivi karibuni Babu Tale alizungumza juu ya sanaa kwa mapana yake, alidai kuwa watanzania tuwe mstari wa mbele kuwapongeza wasanii kwa kazi zao vilevile wasanii wajikite zaidi kwenye muziki na sio...
5 Reactions
24 Replies
4K Views
Staa wa filamu Bongo Jacqueline Wolper anasema hawezi kumuacha salama mpenzi wake Rich Mitindo 'Baba P' kama atamuumiza na kumpiga matukio kwenye mahusiano. Jacqueline Wolper ameongeza kusema...
3 Reactions
16 Replies
3K Views
Nimesikia haya Mambo kuwa Rayvanny anaongoza mauzo katika digital platform, ni kweli lakini mi sioni kama ni hoja. Sawa anauza sana hata Zuchu anauza sana lakini kuna hasara yake kwa upande mmoja...
22 Reactions
132 Replies
18K Views
Mzee Bozi Boziana amevaa track suit ya Christian Dior lakini Bill Gate, Mark Zuckerbergs hata Jeff wa Amazon huvaa nguo za kawaida sana.
7 Reactions
49 Replies
7K Views
Salute!! Habari wakuu ebwana Leo nipo na morali kabisa nakuletea orodha ya matajiri wakubwa zaidi Africa. = Mabilionea 25 matajiri zaidi Afrika Utajiri wa Dangote unakadiriwa kuwa jumla ya...
3 Reactions
31 Replies
6K Views
Nawasalimu JF kwa salamu ya Hi Five...GOOD! Niende kwenye point. Ninaweza kusema naongozwa sana na hisia zang tu (Emotion), hata akili natumia pia., na kwa bahati mbaya sana sikuwa mshabiki...
5 Reactions
27 Replies
3K Views
Baada ya Super dupa staa Diamond kuingiza Cadillac escalade nyingine kwa ajili ya wasaidizi wake kwenye msafara ataokuwa akienda kwenye matukio mbalimbali. Mji umesimama kila mtu anasema la kwake...
10 Reactions
85 Replies
11K Views
Hatimaye albamu mpya ya mwanamuziki Wilson Radido almaarufu kama Willy Paul itaachiliwa wiki ijayo baada ya kusubiriwa kwa kipindi kirefu. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, nyota huyo wa muziki...
4 Reactions
6 Replies
2K Views
Kila mmoja ana mtizamo wake kuhusu harmonize kuondoka WCB baada ya kuvuna fadhila nyingi alizopewa na Diamond kama rais wa WCB pamoja na timu nzima.Kila mmoja yupo busy kumlaumu Harmonize kuhusu...
18 Reactions
71 Replies
11K Views
Nimeikuta instagram kwenye page ya politikstz Kwa maelezo yake anadai Resty kajiwish birthday kupitia account ya mumewe ili aonyeshe mambo ni moto,mapenzi ni bambam alafu akajisahau akakoment...
8 Reactions
146 Replies
16K Views
Katika kusherehekea birthday yake msanii davido katoa challenge kwa wasanii na makampuni mbalimbali aliowasaidia ku push nyimbo na brand zao kuwa maarufu Nigeria na Africa, akiwataja kwa majina...
10 Reactions
41 Replies
4K Views
Tunapozungumzia Mtumba Man, wengi wanamfahamu kama mwanamume ambaye anauza mitumba akiwa anaimba na kuvalia mavazi ya wanawake nchini Kenya Je uewahi jiuliza kwa nini watu mashuhuri au vijana...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Huyu jamaa nimemuona mara kadhaa akitajwa kama mjasiriamali mkubwa wa mavazi. Pia anatajwa kama mdau wa masuala ya burudani hususani mziki wa Bongo Fleva. Nimemuona akiwa katikati ya kundi la...
25 Reactions
404 Replies
80K Views
[Chorus – Fundi Samweli] Nikumbatie I’m ready to fly Ready to fly Oh oh, I’m ready to fly Nikumbatie I’m ready to fly Ready to fly Oh oh, I’m ready to fly [Verse 1 – Joh Makini] Tupae tukaishi...
2 Reactions
3 Replies
17K Views
Kwanza nichukue fursa hii kama watanzania wengine kukupongeza ndugu yetu Rayvany kwa kupiga show moja matata sana kwenye tuzo za MTV zilizofanyika Budapest nchini Hungry. Kwa ufupi ile show...
10 Reactions
18 Replies
1K Views
Jamani kwa wale wapenzi wa muziki wa bongo flevaa hebu tujikumbushie matukio, bifu yaliyowahi kubamba miaka ya nyuma ENZI za bongo FLEVA kitambo hiko yaliyowahi kuhit. 1.moja kati ya matukio...
8 Reactions
326 Replies
56K Views
Wakuu naombeni CV ya huyu kibopa wa zamani wa Standard Chartered Bank, then Vodacom na sasa NMB ni mtaalamu wa IT na amehusika katika kuchakachua kura kwa kutumia utaalamu wake uliobobea wa IT kwa...
2 Reactions
23 Replies
13K Views
Wakuu Hivi chanzo cha ugomvi wa mapacha hawa waliounda kundi la muziki la P Square, yaani Peter na Paul. Kiliwakumba nini mpaka wakaamua kutemana na kila mtu afanye kazi kivyake (solo)? ...
11 Reactions
125 Replies
22K Views
Mchekeshaji Stan Bakora ameingia kwenye trend baada ya kuonekana kwenye video akiwa na Sonara akitoboa kitovu chake na kuweka kipini. Kitendo hicho kimezua mjadala kwa watumiaji wa mitandao ya...
7 Reactions
95 Replies
10K Views
Back
Top Bottom