Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Naomba kuuliza wanajanvi wenzangu hivi huyu mwanadada wa Simba, Barbara Gonzales ni mtu wa kutokea nchi gani. Ni hayo tu wanajanvi na kaolewa!!?
5 Reactions
94 Replies
55K Views
Kuna watu wamekuwa wakimsema sana sadala kwamba anatakiwa sasa aoe, huwa siwaelewi hawa watu wanamtakia nini jamaa yetu. Yani kijana ana watoto 4 wanaofahamika tayari, ana mali zake za kumwezesha...
4 Reactions
20 Replies
2K Views
Kufuatia uchapa kazi wa Bongozozo hatimae leo bungeni amebatizwa jina la kisukuma ambalo ni Masanja ili kuenda kasi ya uchapakazi na uzalendo wa wasukuma nchini Tanzania. Huwezi kuona msukuma...
3 Reactions
37 Replies
6K Views
Mke amfanyia ‘kitu mbaya’ staa wa soka ByMtanzania Digital November 1, 2021 PRETORIA, Afrika Kusini MPACHIKAJI mabao wa zamani wa Orlando Pirates, Tendai Ndoro, amejikuta akipoteza mali zote...
4 Reactions
42 Replies
4K Views
Mwanamuziki Tory Lanez pengine akatupwa jela kwa muda usiopungua miaka 23 ikiwa atakutwa na hatia juu ya kesi inayomkabili ya kumpiga risasi rapa wa kike kutoka nchini Marekani Megan Jovon Ruth...
0 Reactions
0 Replies
743 Views
Kutoka EATV facebook wall, Kwa mara nyingine tumebarikiwa kusherehekea siku ya kuzaliwa ya mfanyakazi mwenzetu mwenye umri mrefu zaidi hapa ofisini. Jina lake halisi ni Emsly Smith maarufu kama...
24 Reactions
118 Replies
20K Views
Namkubali sana mwamba sijawahi kumuona akiwa na ndevu asew. Ana sauti ya kipekee sana Nani kamfahamu???
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Vijana wa kileo tunapenda sanaa ushabiki bila facts. Ila hili la nani ana miliki WASAFI TV TCRA walishalitolea ufafanuzi zamaniii (tokea 2018) Ukifupi mmiliki wa WASAFI TV ni Kusaga Kwanini...
25 Reactions
225 Replies
34K Views
Mwanasosholaiti Risper Faith amemwanikaTanasha Donna kwa madai ya kukosa kulipia pesa za upasuaji wake. Jumbe zilizopakiwa kwenye ukurasa wa Instagram wa Edgar Obare, Risper alidai kuwa Tanasha...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Katika mtandao wa Twitter umeibuka mzozo mkubwa kati ya baadhi ya wanaharakati na wanachama wa upinzani dhidi ya Tuzo zilizoanzishwa na kijana aitwaye Kennedy Mmari. Wengine wamefikia hatua hadi...
0 Reactions
2 Replies
927 Views
Kituko ninachokikumba ni cha rafiki yangu wa shule ya msingi Theresia, yeye alikuwa anaishi karibu na shule lakini alichokuwa anakifanya anaamka mapema anakuja nyumbani kunifuata kisha tunaenda...
3 Reactions
4 Replies
952 Views
Ni matamanio na furaha ya kila mwanandoa kubarikiwa na watoto wenye afya, baada ya safari ndefu ya ujauzitoMwaka wa 2021, tumeona na kushuhudia baadhi ya watu mashuhuri ambao wamebarikiwa na...
6 Reactions
31 Replies
4K Views
Last weekend nikiwa na washkaji zangu kiwanja flani hapa mjini,ghafla akatokea mtu mmoja kwenye meza yetu akajitambulisha kuwa yeye anaitwa Uchebe akawa anatuomba tumnunulie bia, tukamuuliza yeye...
4 Reactions
38 Replies
5K Views
Leo twitter kuna ndoa ya taifa ni baina ya Guru wa mauzo mitandaoni Gillsant Mlaseko na mwanadada mjasiliamali bibie Lucy Hii ni harusi ya kitaifa sababu kwa level ambazo Gilsant anazo ni wazi...
13 Reactions
276 Replies
27K Views
Natafsiri: Je, Abby Chams ni Vee Money (Vanessa Mdee) ajaye? Tunakumbuka Vanessa wakati anaanza muziki, alikuwa anajitafuta sana hadi akajipata. Aliingia kwenye game na uzungu mwingi (no pun...
4 Reactions
32 Replies
4K Views
Mcheshi asiyepungukiwa na utata maishani Eric Omondi kupitia ukurasa wake wa Instagram siku ya Jumapili alitoa wito kwa wanamuziki wa Kenya watie bidii zaidi kazini huku akidai kuwa sekta ya...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Mzuka Mwanajamvi! Ajali ya ndege binafsi (Private jet) iliyosababisha Kifo cha mwanamziki wa country music kutoka Brazil imepelekea mshtuko mkubwa sana Brazil na nchi za Latin. Marilia Mendonca...
12 Reactions
35 Replies
3K Views
Lengo la kila msanii ni kuburudisha hadhira yao kupitia ufundi wao. Walakini, kazi yao lazima ifanane na mapato yao ambayo huamua mtindo wao wa maisha. Tanzania inajulikana kama nyumba ya muziki...
6 Reactions
155 Replies
21K Views
Inabid Diamond amuajiri Mama yake kama mmoja wa ma manager wake, Naona ma ma manager wake hawajui kazi yao , ila huyu bibi ana kisebengo Jaman , kujikurupusha huko kumvaa shilole vepee wakati hiyo...
5 Reactions
60 Replies
9K Views
Back
Top Bottom