Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Ukisikia "kizungu-chefu chefu" ndio cha huyu Bwana mdogo nguli wa bongo fleva. Huyu Bwana mdogo wa Tandale sijui katoa wapi hii kizungu ya kimarekani? Sijui ndio kuwa NIGGA? — Bado sijamuelewa...
56 Reactions
158 Replies
14K Views
Baaada ya hii post nimeona wasanii wa Kenya wamemjia juu na kumtukana sana,binafsi naona kaongea ukweli Muziki wa Kenya wa siku hizi ni Dead beast, sio kama miaka ile 2000s wakina Prezoo, Nonini...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Now kuna Battle ya hawa Wasanii kati ya Rayvanny VS Marioo. Let discuss here do they deserve to be in Bongo Flavor Battle. Rayvanny Marioo
1 Reactions
137 Replies
14K Views
Hivi ndivyo Diamond na Rayvanny walivyowaachia gap kubwa la kuuza muziki wao duniani. Siku zote kelele hazishindani na number. Namba hazidanganyi. Uwa tunawaambia Diamond na Ray ni level...
5 Reactions
30 Replies
4K Views
:: Karibu [ Mgeni ] Maskani Tanzania Michezo Makala Siasa Uchumi Kimataifa Sayansi Maisha na Jamii Safu Maalum Uchambuzi wa Habari Mijadala ...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
G.morning everyone, Me ni big fan wa hip-hop ya bongo, na katika research nlioifanya hii ndo list yangu ya MA mc bora wa muda wote waliowahi kutokea hapa Tanzania 1) Professor J, Huyu jamaa...
5 Reactions
126 Replies
20K Views
Ebana mimi binafsi sio shabiki wa msanii yeyote isipokua mziki mzuri. Naamini kuwa Harmonize ni msanii mwenye kipaji kikubwa sana cha uimbaji ila sasa baada ya kusikiliza hii album yake mpya...
8 Reactions
38 Replies
3K Views
Bilionea huyu tofauti na wengine ana roho ya kipekee katika kusaidia Wasanii (wanamuziki na waigizaji) pia amekua akisaidia watoto wenye matatizo ya kiafya kupitia taasisi yake (Foundation)...
3 Reactions
111 Replies
14K Views
Baba yake alikuwa Brigedia Jenerali tena mshauri wa Rais masuala ya siasa. Yeye akasoma Mzumbe na masomo ya juu zaidi India. Akawa mkuu wa Wilaya, katibu itikadi na Uenezi CCM kisha akawa Mbunge...
0 Reactions
7 Replies
910 Views
Nyimbo inaitwa what if I was gay kazi ya Eminem akishirikiana na Joyner Lucas ni kazi iliyotoka mwaka 2019. Uhalisia ni kuwa hip hop ni miongoni mwa sign za umwamba(kiumeni) na inaonekana ni...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Huyu ni mchekeshaji raia wa Kenya Eric Omond na hiyo picha nyingine ni mtoto ambaye amemkana kupita social networks akidai sio wake mpaka pale watakapopima DNA. Wanaume wakati mwingine tuonage...
7 Reactions
70 Replies
6K Views
Majina ya wanaowania tuzo za Africa Entertainment Awards (AEAUSA) zinazotolewa huko marekani yimetoka. Moja kati ya vipengele katika tuzo hizo ni kipengele cha BEST NEW ARTIST ambapo to my great...
1 Reactions
42 Replies
5K Views
Enzi hizo ulikua ukisikia "Wapeeeenzi watazamaji ndugu zangu wapendwa, mukandara rufufu videotek iliyopo katika jiji la daresalama inakuletea muvi ya Masokorindo (Deadly Prey)" Kinachofuata hapo...
27 Reactions
58 Replies
6K Views
Akihojiwa na Salama Jabir katika kipindi cha Salama na kinachorushwa Dstv, msanii wa bongofleva Khalid Mohamed maarufu TID amesema ishu ya kutajwa katika scandal ya matumizi ya madawa ya kulevya...
28 Reactions
55 Replies
6K Views
Pisi kali with brain inapendeza sana. Wale wa tuma na ya kutolea jifunzeni kwa mwenzenu. Mitihani ya CPA sio ishu ndogo. Mrembo anastahili pongezi
4 Reactions
22 Replies
5K Views
Oviemuno oriero A.K.A Muno ni Msanii na Mwandishi kutoka Nigeria Ambaye mwaka huu 2021 December Amepanga kufanya Media Tour yake Afrika Mashariki ikiwemo Tanzania ,Media Tour yake itaambaatana na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Haya basi mwanasoshaliti na mjasiriamali Zari Hassan ameweka wazi kwamba aliolewa mara moja katika maisha yake. Kulingana na Zari akiwa kwenye mahojiano na Bizz alisema kwamba ndoa yake ilikuwa...
1 Reactions
42 Replies
6K Views
Genius Kadungure aka Ginimbi ni raia wa zimbabwe ambaye alizaliwa tarehe 10 October 1984,Mwaka 2000 alianza kujishughulisha na uuzaji wa mitungi ya gas na kuanza kusupply majumbani,alifanya...
11 Reactions
297 Replies
72K Views
Msanii MalkiaKaren ambaye ni mtoto wa mtangazaji nguli hapa Tanzania, Gadner G Habash ana ujauzito mkubwa tuu ambao hata ukisikia kajifungua kesho wala usishangae. Mwenye mzigo inasemekana ni...
14 Reactions
132 Replies
21K Views
NUKUU YA SHILOLE: Anandika shilole katika ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Instagram. “Hapana kila siku nakosewa nitaka kuongea washauri wangu wanasema nikae kimya. Hili nimekosewa siwezi...
14 Reactions
253 Replies
23K Views
Back
Top Bottom