Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Wakuu, Yapo mambo hayawezi kupita kirahisi ki JF. Majuzi tumemsikia msanii Linah akilalama kudhalilishwa tena mbele ya public na msanii mwenzake Harmonise lakini ni kama linataka kupita kisanii...
4 Reactions
16 Replies
3K Views
The Rolls Royce musician from east africa aka diamond hatimaye amekamilisha ndoto zake za siku nyingi baada ya order yake ya gari aina ya rolls royce kukamilia na gari hilo liko njiani kuwasili...
3 Reactions
337 Replies
45K Views
Manunuzi makubwa anayofanya Diamond kwa sasa yamekua na Gumzo kubwa mtandaoni kukiwa na pande mbili zinavutana. Wako wanaosifu na wanapata kazi ya kukandia. Kwa namna yeyote ikitokea negative...
8 Reactions
125 Replies
10K Views
Cristiano Ronaldo na mkewe Cristiano Ronaldo dos Santos Aveiro alizaliwa kwenye kisiwa cha Madeira, Ureno, 5 Februari 1985) ni mchezajisoka wa Ureno. Nafasi yake ni ushambuliaji; kwa sasa...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Habarini Wana JamiiForums. Taarifa nzuri kwa WCB Fans pamoja na tasinia ya Muziki wa BONGO FLAVOR Ni dhahiri shauri kuwa diamond and ALBUM Yake itakuwa Ni ya kukata na shoka na hii inaweza ndio...
4 Reactions
199 Replies
11K Views
Habari Wana Jf. Hili alilolifanya Rayvanny naona Yuko sahihi kabisa maana now days Harmonize hasikiki na ndio maana anaangaika mchana na usiku kutafuta Kiki ili aongelewe lakini wapi. Kiukweli...
3 Reactions
106 Replies
12K Views
Prophet T.B. Joshua Lying in State. Earlier, there was a procession conveying the body of God’s servant from The SCOAN Prayer Mountain to the church auditorium at The SCOAN, Ikotun-Egbe, Lagos...
9 Reactions
27 Replies
5K Views
Mwanamziki wa youtube Sadala Anakimbizwa kweli kweli na mfalme wa Bongo fleva huko youtube,. Sadala ngoma ina siku tatu King Kiba ngoma ina siku mbili Kwenye Digtal platform ndo usiseme Sadala...
5 Reactions
39 Replies
4K Views
Nimeona mitandao ikimbeza sana Supastaa wetu mpya wa kike Tanzania mtoto wa Kajala aitwae Paula. Wengi wanamchukulia Paula kama mtoto wa kike aliyeshindikana na amepoteza uelekeo wa maisha...
30 Reactions
165 Replies
13K Views
Kama uzi unavyojieleza. Huwezi zungumzia soka la Africa kwa sasa bila kuzitaja club za Simba na Yanga. Kama unamjua kiongozi au celebrity yeyote shabiki wa Simba au Yanga mposti hapa. Itapendeza...
2 Reactions
37 Replies
6K Views
Kupitia ukurasa wake wa Instagram mtangazaji wa EFM na TV E ameandika kwamba alikuwa anaumwa ugonjwa wa COVID-19 kwa Sasa anaendelea vyema. Mungu saidia afya ya huyu mwamba apone[emoji120]...
4 Reactions
16 Replies
2K Views
Naomba mnisaidie kumfahamu huyu jamaa wa insta anaitwa khaby 00 Mimi sielewi vituko vyake anaemuelewa atuelezee na historia ya maisha yake . Na uraia wake yeye anafanya vitu simpo vya kipumbavu .
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Naomba profile ya huyu mama tafadhali.
2 Reactions
20 Replies
7K Views
Binti ambaye anajihusisha na mitinido. Na fasheni ukimuangalia vizuri kafanana sana na mwanamuziki mwana mitindo anasema anashangaa kwanni wanamfananisha na Hamisa misikilize hapa akihojiwa>>
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Nisiwe mnafiki mimi ni mmoja kati ya watu wenye wivu na mafanikio ya Diamond kwani yeye mwenyewe ana wivu juu ya mafanikio ya wasanii wezake wa kitanzania. Kama na wewe umefurahi Diamond kukosa...
39 Reactions
186 Replies
13K Views
Juma Jux kwenye ukurasa wake wa instagram katupia picha ya mjengo wake pamoja na ndinga zake ikiwemo Mercedes Benz mpya na bmw. Kwa mtizamo wangu naona jux ana maisha mazuri kuliko msanii yeyote...
4 Reactions
116 Replies
19K Views
Kwa heshima ya Mziki wake hapa nchini laiti ningekuwa P Funk (majani) ningeipumzisha Mike aliyokuwa anaitumia Ngwair kuingiza vocal zake pale Bongo Record Ningetafuta site nzuri, Sanduku la kioo...
14 Reactions
43 Replies
4K Views
Lavalava anaimba vizuri sana sasa sielewi tatizo lipo wapi. Lava lava kaanza kuachia kazi zake 2017 may Hata baada ya kutafuta kiki katoa ngoma nzuri ila bado ina sua sua Mbosso - Agosti...
3 Reactions
38 Replies
5K Views
Wadau nimeona Jana Insta kumechafuka. Wema kapewa gari jipya kabisa na Autie Ezekiel zawadi yake ya birthday. Nimejiuliza maswali mengi sana hivi kumbe Wema na Auntie wana urafiki wa kujaliana...
10 Reactions
167 Replies
23K Views
Star wa hiphop kutokea nchini #Ghana Sarkodie amesitisha kuachia album yake No Pressure iliyokuwa itoke julai, 9, 2021. Nyota huyu ametumia ukurasa wake wa instagram kuomba radhi kufuatia taarifa...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom