Naomba kujua nini kibaya Diamond Platnumz anakosea tofauti na wasanii wengine?
Nini afanye ili iwe sawa naonaga watu wanamshambulia ila sijawahi sikia mtu yeyote akisema makosa anayofanya tofauti...
Mwanamfalme wa Saudi Arabia Mohamed bin Salman katika kuufanya ufalme huo kuwa wa kisasa (modernization) amamua kumkaribisha entertainer mwanadada wa Marekani mwenye asili ya Mashariki ya kati...
Ni kweli, ni kweli kabisa nimefurahi Diamond kukosa tuzo za MTV. Mnaweza kushangaa lakini huo ndio ukweli wangu. Na ninampongeza kwa dhati kabisa Wizkid kwa kupata tuzo. Lakini kwa nini nafurahi...
Akielekea kuachia album yake mpya msanii wa kitambo Ali Saleh Gentamilan au Ali Kiba, amemdiss Mfalme wa Afro Pop duniani Diamond Platnumz.
Lakini wadau wameusisha diss yake na promotion ya album...
Habari zenu,
Kwakweli kama wote mnavyojua kijana Diamond Platnumz ni moja ya vijana wapambanaji sana katika nchi hii,ni wale vijana waliotoka from the bottom huko chini kabisa na wakafanikiwa...
Nyota ya msanii wa kimataifa kutoka ktk ardhi ya Tanzania Diamond Platnumz, aka Chibu, aka Simba Yazidi kung'ara mwaka huu 2020.
Baada ya taasisi mbili kubwa za kijamii kumwandalia tuzo ya (TUZO...
Vijana wa zamani kama mnakumbuka miaka ya mwishoni 80. Kulikuwa na mchezo wa kuigiza wa redio RTD kila jumapili usiku yani watu hawakosi ikifika tu saa mbili usiku jumapili watu wameshajikusanya...
Huyu nae Kila Siku hajifunzi tu, kila siku mastaa wenzie wanamkimbia kwenye shughuli zake , ye kutwa kushoboka na za wenzie. Hizo pesa za kufanyia sherehe bora ungeenda kula na watoto yatima...
Ndugu zangu leo katika pita pita zangu nikakutana na video ya mwana dada maarufu hapa mjini Giggy Money akigombana na mjumbe nyumbani kwake. Kilichonistua ni mwonekano wa hajabu, yaani mbaya...
Habar wana JF
Mimi cha kwanza kabisa sina team kwenye mziki wetu kibongo bongo ila napenda mziki mzuri. Nimeutafakari mziki anaofanya Rajabu kahali maarufu kama Harmonize nikagundua kwa sasa...
Wakuu Taarifa Zilizopo Ni Kwamba, Baraza La Sanaa Tanzania (BASATA) wanasaka Kwa Udi na Uvumba Msanii Linah Sanga Kwa Kupiga Picha Ambazo Sio Nzuri Kwenye Jamii.
Je Linah Sanga amekosea Kupiga...
Aisee hali ilipofikia kwa sasa ni mbaya .
Yani Msondo ngoma licha ya ukubwa wa bendi lakini kwa show wanalipwa laki 2 mpaka nne tu tena mbaya zaidi kiingilio vinywaji tu.
Msondo wameshatimuliwa...
Hiii ni post maalum kwajili ya watu wenye wivu na chuki ambao mafanikio ya Diamond yamegeuka kuwa mwiba kwao, Kila anachofanya sasa wanakilinganisha na nje ya nchi maana hapa ndani kakosa...
Naona kina baraka prince, Nay wa mitego na wengine wmetoa kazi zao ila kwa hizi fujo zinazofanywa na WCB, Konde ganf na kiba wasanii wengine wanapata wakati mgumu sana kuvuma.
Rapcha kutoka bongo...
Tukumbuke kwamba kwa sasa mziki wa bongo ni kama vile siasa za mpira wa Simba na Yanga,hata ije Azam au Gwambina fc au Namungo bado mashabiki wa hizi timu watakua ni wale wale tu watokanao na...
Pichani ni Mwanamuziki Diamond Platnumz akimfariji Mfalme wa Social Media , Le Mutuz Nation .
Wito kwa wana jf wenzangu tumuombee rafiki yetu huyu
Naomba kuwasilisha
Mwanamziki nguli wa Afrika bwana Chameleone amenunua gari la kifahari pengine kuliko wanamziki wote BARANI AFRIKA, GARI HILO LIMETOKA KIWANDANI LIKIWA NI BRAND SPECIAL YA JINA LAKE
Habari wanabodi,
Ushauri kwa ndugu yetu Diamond Platinum naona sasa taa nyekundu kwake imeanza kuwaka ni kiashiria kwamba mwisho wa muziki wake umekaribia au kama sivyo basi anatakiwe akaboost...
AKA’s newly engaged fiancee Nelli Tembe has reportedly died after allegedly jumping out of a building in the early hours of Sunday, 11 April.
Police were on Sunday morning called to investigate...