Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Habari zenu wakuu. Kama sikosei mwaka 2008 kuna tamthilia ya kuelimisha jamii kuhusu Ukimwi, ilirushwa ITV iliitwa Hukumu ya Tunu. Ilikuwa maarufu Sana kwa kipindi kile. Ilikuwa Tamthilia nzuri...
3 Reactions
17 Replies
4K Views
Wanajamvi naomba kujua walipo kwa sasa watangazaji wa zamani wa chanel five.Adamu Mubago(bab kubwa) na pia Abba one na Lil Tk(back 2 back)
2 Reactions
49 Replies
10K Views
Mbona kama wiki mbili hivi sijamsikia Fredwaa redioni .... CloudsFM na hata wenzake hawamtaji taji kama siku Babra labda hayupo au Masoud hayupo ....
2 Reactions
53 Replies
18K Views
licha ya kwamba mimi si msikilizaji sana wa clouds fm ila tangu enzi za Masoud kipanya, Phina Mango na Hando nimekuwa ni msikilizaji wa kipindi cha power breakfast. Sasa shida yangu ni huyu...
9 Reactions
96 Replies
22K Views
Baada ya mume wake kuwa anatoweka ofisini muda wa kazi, Melinda alitaka kujua huwa ana kwenda wapi. Alikodi Private Investigator. Report ya PI huyo imefahamika kuwa jamaa alikua anakutana na...
14 Reactions
37 Replies
6K Views
Na Thadei Ole Mushi. Diamond 💎 Platnumz ni Moja ya wasanii wanaowania Tuzo toka BET Awards kwenye kipengele Cha International ACT. Kwenye category yake yupo na wasanii wengine wakubwa tu toka...
9 Reactions
59 Replies
6K Views
Baada ya kuona kimya, imemlazimu P-Funk aifute tu, huenda ni kuhisi kadharaulika ila pia huenda WCB hawajafurahishwa na dogo Rapcha kuwashisha mara 2. Majuzi kazi ya Rapcha Lisa iliachiwa...
9 Reactions
66 Replies
8K Views
Wasalaam wana JF wote! Leo tarehe 27/01/2018 ndiyo kumbukumbu ya siku aliyozaliwa Mama Samia Suluhu Hassan ambaye ni Makamo wa Rais wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Tunakupongeza...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
''Kwasasa nina miaka 19, natarajia kuolewa nikifikisha miaka 25'' - @luludivatz Celebrities wa bongo hawaishi vituko, halafu eti hawa vichwabox ndio tunaowategemea watupeperushie bendera yetu...
3 Reactions
164 Replies
25K Views
Ukiisikiliza hii ngoma imekaa poa sana kijana kaimba vizuri na beat iko poa sana, na zaidi video yake iko fire sana. Sometimes unafikiria kama chibu au Harmonize wangepewa hii beat basi wangeweza...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Msimamizi wa band ya muziki wa dansi Twanga Pepeta, mama Asha Baraka amemuomba Diamond baada ya kumaliza kuwalipia kodi wananchi 500 wenye uchumi wa chin inatakiwa awakumbuke na Wasanii wa Kibongo...
11 Reactions
40 Replies
5K Views
Meghan amejifungua salama mtoto wa kike aliyepewa jina Lilibet Diana Winsor.
7 Reactions
34 Replies
5K Views
Diamond ametimiza ndoto yake ya kuwa na ndege binafsi. Anakuwa msanii wa pili Africa kuwa na private jet. Mdogo mdogo watakubali tu level za Diamond ni kubwa sana kwa sasa. Kuna swali naona...
10 Reactions
125 Replies
18K Views
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), kwa kushirikiana na Kampuni ya Udalali ya Yono, wameifungia Kampuni ya Benchmark Productions na kuipa muda wa siku 14, iwe imelipa deni la kodi ya Sh bilioni 7.4...
1 Reactions
49 Replies
10K Views
Kumbe mjomba wake Mange sometimes dish linakua active.
2 Reactions
13 Replies
1K Views
MEGHAN Markle's father Thomas Markle warned of further damaging revelations in the trailer for a new interview following the birth of granddaughter Lilibet Diana. The 40-second trailer shows...
0 Reactions
3 Replies
652 Views
Sikuwahi kuwa Shabiki kindaki ndaki korean DRAMAS , Aidha ipambwe na ihit sana mtandaoni hapo ningejisogeza nipate kuangalia Kutokuwa shabiki wa movie hizo haimaanishi hawajui hawa jamaa...
5 Reactions
167 Replies
18K Views
Mtangazaji maarufu wa vipindi vya usiku Diva amejiunga na Wasafi media kwa mujibu wake akifanyiwa mahojiano amesema amesaini mikataba aliyopewa na Diamond ambayo atakuwa analipwa zaidi ya kile...
10 Reactions
69 Replies
10K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…