Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Baba mchungaji huyu amefunguka kuwa hayupo katika ndoa kwa sababu ya kufilisiwa na mwanamke. Amesema kwa sasa yupo na Pacome. Tumuombee arudiane na mkewe.
32 Reactions
340 Replies
27K Views
Huyu kijana mpambanaji alikua kapotea Sasa naona karudi kwenye ubora wake wa zamani kijana katoa ngoma zote Kali kwenye album huyu na harmonize ndio wasanii wangu Bora tanzania milele
0 Reactions
20 Replies
809 Views
Wanaume watatu zaidi wamemshutumu Sean "Diddy" Combs kwa ubakaji na unyanyasaji wa kingono katika kundi la kesi mpya zinazodai mwanamuziki huyo wa rap aliwapatia dawa za kulevya na kuwanyanyasa...
7 Reactions
23 Replies
951 Views
Eric James Shigongo Mwandishi, mwanasiasi na mhamasishaji (alizaliwa wilayani Buchosa, zamani Sengerema, mkoa wa Mwanza, 10 Agosti 1969) ni mbunge wa Buchosa katika Bunge la jamhuri ya muungano...
3 Reactions
46 Replies
11K Views
Miaka yote nimekuwa nikiwafuatilia hawa majirani zetu na sikuwahi kuona with clean heart. Jamaa wamekaa sana Chuki mioyoni na Unafiki.
0 Reactions
10 Replies
952 Views
The music icon says he believes it’s “addictive” and “leads to other drugs” Elton John criticized the legalization of marijuana, saying it’s “addictive” and impairs cognitive thinking. “I...
3 Reactions
32 Replies
1K Views
Anaitwa MUSSA SIMBA aka BLACK MOSES Huyu alikuwa bingwa wa Disco miaka hiyo... Enzi za muziki wa Disco Uko juu sana jamaa alikuwa maarufu sana kwa aina ya uchezaji mpaka disco linapotea kwenye...
14 Reactions
200 Replies
31K Views
Maelezo yasiwe mengi huyo hapo mrembo mmoja anajiita sexy Diva au sio mazee. == Lulu Diva ni msanii maarufu wa muziki Tanzania, anayejulikana kwa sauti yake ya kipekee na uimbaji wake wa...
14 Reactions
192 Replies
8K Views
Taharuki iliyotokea Kenya haina mashiko zaidi ya ujinga Diamond Platnumz ni msanii mkubwa Afrika Mashariki na Afrika kwa ujumla wala haina haja ya kubisha kufanya hivyo ni kukumbatia ubishi...
14 Reactions
21 Replies
2K Views
Habari za wakati huu wadau, naimani mko fresh na mnaendelea vyema kukimbiza gurudumu la utafutaji. In fact comedians wa Kenya wako vizuri sana kwenye tasnia hiyo, yaani si watu ambao wanaforce...
2 Reactions
40 Replies
3K Views
https://www.reverbnation.com/ngomanagwa/song/14421014-mapacha-5050 Hii ngoma ya mapacha - 50 50 ni kati ya ngoma nilizokuwa napenda wayback hiyo miakaya 2006 hivi. Kilichokuwa kinamivutia hasa ni...
8 Reactions
24 Replies
3K Views
Msanii Naseeb Abdul almaarufu Diamond Platinumz, amemtakia heri ya siku ya mfanano wa kuzaliwa Rais Samia Suluhu, na pia amemuahidi kuwa 2025 yeye na wanaom-support watampigia kura kwenye Uchaguzi...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Baada ya chuki kubwa inayoenezwa na wasanii wa Kenya kwa wasanii kutoka Tanzania. Diamond ametia neno lake. Kikubwa cha kuchukua hapa mtu akikuzidi, solution sio kumchukia ni kufata njia za...
17 Reactions
47 Replies
3K Views
Maneno haya sio mageni jijini labda uwe mgeni wa jiji, ni pastor mwenyewe kafunguka kwa kusema.... "Niliolewa nikiwa bado bikira, niliolewa nikiwa msafi sikuwa mchafu". Wana familia wa New day...
10 Reactions
156 Replies
5K Views
ZE AKILI ZANGU ZA ASUBUHI LIVE! WARAKA WANGU LIVE KWA NDUGU YANGU MARKO: Nimeusoma kwa MASIKITIKO MAKUBWA SANA WARAKA WAKO WA Baadhi ya Makundi katika Jamii kutaka KUKUMALIZA NA HASA...
74 Reactions
232 Replies
19K Views
kwa hiyo kukulia hapo kwenu Mburahati basi ndio unajiona wewe mjanja Duh, umejuaje nakaa Mburahati?? Nilijua huna code coz wewe ni wakuja a.k.a mrugamruga,mshamba na limbukeni!
1 Reactions
2 Replies
60 Views
1. Diamond platnumz 2. Marioo 3. Zuchu 4. Jay melody 5. Ali kiba 6. Mboso 7. Harmonize 8. Bilnass 9. Nandy 10. Lavalava Utafiti nimeufanya tangu january.
3 Reactions
26 Replies
978 Views
Mzozo mkali ulivyoibuka baada ya wasimamizi wa jukwaa na timu ya ulinzi kumzuia Willy Paul kutumbuiza kabla ya Diamond Platnumz kwenye tamasha la Furaha City Inaelezwa pia Diamond Platnumz...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Msanii Nasib Abdul, also known as Diamond Platinumz ameondoka uwanjani kwenye tamasha la Furaha Festival bila kutumbuiza baada ya kutokuwa na maelewano kati ya uongozi wake na waandaaji wa Tamasha...
7 Reactions
41 Replies
2K Views
Katika mmoja ya wasanii ambao Tanzania imebarikiwa kuwa nao na wana vipaji vya ajabu ni Rose Muhando hakika hakuna atakaepinga hilo na nyimbo zake kwa miaka mingi zimetubariki na kutusogeza karibu...
17 Reactions
64 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…