Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Nimeona Vyombo vya Habari vimekula mapesa kibao huku wasanii wakilialia kuwa hawakupata kitu Ni muda muafaka waje na mpango wao sio kutegemea wanyonyaji
0 Reactions
1 Replies
532 Views
Wakuu Kumekucha, Kwanini Mistari Mingi ya Young Lunya kwenye nyimbo zake ni Matusi? Huyu Ndio anamfananishwa na late Ngwear kweli?
2 Reactions
36 Replies
10K Views
Hivi huyu mwamba huwa naona picha yake inatumika sana hivi amecheza movie au series gani nahitaji kufahamu
8 Reactions
61 Replies
8K Views
Ila Aunty nyie mtambo, mtu unadaiwa na bado unakua mkali na vichambo juu , halafu nasikia ndo Tabia yake kutapeli watu ukimdai team yake inakuvamia wanaanza kuzusha unatafuta kiki , ila safari hii...
8 Reactions
54 Replies
8K Views
Waziri wa fedha Dkt. Mwigulu Nchemba amefika bungeni na mke wake pamoja na watoto wake watano. Mwigullu leo anawasilisha Mpango wa maendeleo wa taifa. Spika Ndugai amesema hao watoto watano ndio...
6 Reactions
21 Replies
5K Views
Chile!! IONO how y’all are sleeping, but Drake is apparently out here sleeping like a King!! He already told us he only loves his BED and his MUM, so it’s no surprise that Drake’s mattress...
6 Reactions
124 Replies
18K Views
Poleni na msiba wakuu, na poleni Kwa vifurushi pendwa Mambo ni mengi mda hautoshi, Paula Kajala amezidi kuuthibitishia Umma kuwa yeye ni mtu mzima na anafaa Kwa matumizi yoyote Yale .... Baada...
3 Reactions
71 Replies
11K Views
Niaje mwanangu Niko nimepata kafeeling cha kusikia ngoma Mpya ya mwamba Roma baada ya muheshimiwa ayati Manu kufariki Mange ailaze mahali pema peponi. Nawaza baada. Ya mama kuweka mkwara wa watu...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Afande Sele ni nani? Seleman Msindi au Afande Sele (amezaliwa tar. 24 Aprili 1976) ni msanii wa muziki wa hip hop na Bongo Flava kutoka Mkoani Morogoro, Tanzania. Amewahi kushinda tuzo ya (mkali...
3 Reactions
35 Replies
6K Views
#TATIZO Kwenye Maisha hakuna Kumaliza ama kuyaweza mpaka siku unazikwa chini, Jiulize ni watu wa ngapi umewahi kuwajua walikuwa Maaarufu mpaka ukadhania wamemaliza lakini leo huyakumbuki majina...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Hawa vijana wasanii ndio huku walikofikia mpaka kusuka yeboyebo za wanawake, hawa sio ddio wanaojiita vioo vya jamii?
30 Reactions
106 Replies
10K Views
Kupitia ukurasa wa Instagram wa mkurugenzi wa kituo cha habari cha Efm na TVE, Mbwana Francis Ciza alimaarufu Majizzo ameeleza namna alivyokamilisha taratibu zote za hayati Magufuli kuja...
5 Reactions
37 Replies
4K Views
Mwanamuziki mwenye swaga za aina yake kutoka kwenye kiwanda cha bongo flavor , Lady jaydee , ametangaza rasmi Ujio wa mgahawa wake mpya( BBQ n chill) ambao ataufungua masaki around May this year...
14 Reactions
50 Replies
7K Views
Rapa kutoka pande za Marekani Lil Nas X ameingiza sokoni raba alizoziita ni viatu vya Shetani(Satan shoes). Raba hizo zenye nembo ya Nike zina alama ya nyota yenye pembe sita na msalaba...
2 Reactions
64 Replies
10K Views
Inakuwaje wanaJF! Ginimbi hatarii Aisee. Mungu ampokee kishujaa. Alipangiwa atakufa hivyo pindi tu alipozaliwa haijalishi angekuwa maskini ama tajiri. Nimepiga mahesabu yangu ya haraka tu nadhan...
25 Reactions
216 Replies
32K Views
Kupitia Instagram yake msanii huyo wa WCB ameandika kuwa :- “Happy birthday To Me. Ahsante Mungu leo ni siku yangu ya kuzaliwa, nakushuru maana Kufika siku ya leo si kwa mabavu yangu bali ni kwa...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Jarida la Forbes la nchini Marekani limetoa orodha ya Wanamuziki Kumi(10)Matajiri zaidi Afrika,Nigeria yaongoza. 10: Oliver Mtukudzi (R.I.P) Zimbabwe,Billion 2.3 9: Jidenna,Nigeria billion 2.3...
9 Reactions
85 Replies
58K Views
“Wakati nipo Nigeria nimebakiza siku moja kurudi wakaniemail wakaniambia ‘Mavin Records, Don Jazzy na Dr Sid wangependa kufanya kazi na wewe kama bado upo Nigeria,” Diamond ameiambia Bongo5...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Diamond Platinumz amedai kuwa uhasama kati yake na Ali Kiba ulipikwa na chombo kimoja cha habari kwa lengo la kumuondoa kwenye ramani ya muziki. Bosi huyo wa WCB amefunguka katika mahojiano na...
9 Reactions
64 Replies
20K Views
Baada ya msanii wa mziki wa Dance Ali Choki kupiga stori na eNEWZ wiki chache zilizopita na kusema mwaka 2018 atafanya kazi zake mwenyewe kama Mama Asha Baraka ataendelea kulala, kiongozi huyo wa...
5 Reactions
71 Replies
23K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…