Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Sent using Jamii Forums mobile app
16 Reactions
194 Replies
30K Views
Hakuna alieimba wimbo wa maombolezo unaogusa hisia kama Goodluck Gozbert, wimbo unatia moyo sana,wimbo mzuri sana.Big up
4 Reactions
40 Replies
5K Views
Mambo vipi? ......... Label ya muziki Tanzania, WASAFI ( WCB) ni label kubwa sana hapa bongo,lakini pia imekua na matukio mengi mazuri na mabaya Kuhusu management nzima. Leo jamaa Salam SK...
1 Reactions
104 Replies
19K Views
Msanii wa kizazi kipya Zuchu amekuwa akipata Mafanikio kwenye mziki tokea alivyotambulishwa kwenye industry ya Muziki na Jana amesaini kuwa balozi ya kampuni kubwa ya vipodozi ya nchini Tanzania...
4 Reactions
37 Replies
4K Views
Lazima tukubali huu utatu wa mameneja wa WCB wanafanya kazi yao kwa weledi mkubwa. Ni ukweli usiopingika hata wewe unaesoma hapa, mtoto wako akiwa na kipaji kikubwa cha kuimba. Ukiambiwa...
17 Reactions
76 Replies
7K Views
Msanii mkongwe wa muziki kutoka CONGO Koffi Olomide atuma salamu za pole Tanzania juu ya kifo cha hayati Rais John Pombe Magufuli #ripjpm
2 Reactions
4 Replies
1K Views
MMILIKI WA GARI ALIYOPATA AJALI MAREHEMU SHARO MILLIONEA AJITOKEZA na KUSEMA HAIDAI CHOCHOTE FAMILIA YA MAREHEMU MMILIKI wa gari ambalo lilikuwa likiendeshwa na msanii maarufu nchini...
1 Reactions
45 Replies
10K Views
Msanii na mkongwe wa muziki kutoka nchini Uganda 🇺🇬 @jchameleon ameeleza sababu za kutoka Uganda na kuja Tanzania kwa ajili ya kutoa pole na kumuaga hayati Rais Magufuli. Akiongea na kituo cha...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Mkali kutoka nigeria burna boy hii wiki imekua ya neema sana kwake baada kushinda Tuzo ya Grammy,na siku ya Jana mkali justin Bieber ameachia album yake yenye nyimbo 16 moja kati ya ngomq hizo...
10 Reactions
35 Replies
3K Views
Wakuu nimesikiliza baadhi ya nyimbo za maombolezo zilizotolewa na wasanii mbalimbali Kama vile, Rayvan, Konde Boy, Msechu n.k.. Nikarudi kumsikiliza tena Capt. Komba kwenye nyimbo zake enzi zile...
4 Reactions
30 Replies
4K Views
Wadau salaam. Nimekuwa nikisikiliza na kutazama nyimbo za maombolezo kufuatia kifo cha JPM, hakika sijasikia ToT wakitamba kama ilivyokuwa enzi za marehemu John Komba (hata Kama wametunga)...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Achana na yale matukio yake flaniflani machache, binafsi huwa namuelewa sana huyu bwana mkubwa
6 Reactions
35 Replies
4K Views
Watanzania poleni sana kwa msiba huu mkubwa uliotuelemea. Wengi tulimpenda sana rais wetu kutokana na mazuri mengi aliyotufanyia. Mengi yamesemwa na sina lengo la kuyarudia. Lengo la hii thread...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Yaani nowdays wasanii wengi wamekuwa wakitoa nyimbo za maombolezo zinazofanan halafu mashairi cheap sana hayagusi Nimeskia country boy anaimba eti "your my super girl my president" Hivi kama sio...
15 Reactions
26 Replies
4K Views
Alizaliwa katika eneo la kusini mwa marekani Huko Newyork, Jina lake halisi ni Curtis James Jackson III, si tunamfahamu kama 50 cent. Jackson alianza kuuza dawa za kulevya akiwa na umri wa miaka...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Huyu kijana sasa hiv naona ameanza kuvuka mipaka ya Kiki sio mbaya kufanya Kiki lakini fanya Kiki za maana kwa namna moja au nyingine zitakazoweza kusaidia kupush kazi zako lakini hii ya...
19 Reactions
66 Replies
9K Views
Hii imekaaje wadau Maulidi kitenge amekuja na cut kama la Ronaldo 'kibwenzi' kwenye Luninga. Mwaka huu mbona kuna mambo!
1 Reactions
66 Replies
12K Views
Habari wadau, Kupitia Instagram yake ameandika haya:- “Mtangazaji namba 1 wa kike Tanzania niliwahi Piga Picha Na Msanii Namba 1 Tanzania saa Hii na tuna wimbo wetu unaitwa Piga Simu .. so acha...
2 Reactions
59 Replies
6K Views
Saa hizi niko mtandaoni nasikiliza Album ya Burna Boy ya "Twice As Tall" na nimefurahishwa nayo kupita kiasi.Niseme tu, nadhani huyu jamaa ana kipaji kikubwa na kila siku anazidi kukomaa tu. Humu...
19 Reactions
97 Replies
11K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…