Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Kama kawaida jini mkatakamba gundu bado linaendelea kuwanyemelea lebo ya WCB ambao wameuanza mwaka huu vibaya kwa kugombana na Clouds media kitendo kilichosababisha nyimbo zao kusikiliza na...
11 Reactions
100 Replies
14K Views
DJ Amo Blaze Mmoja wa Ma DJ wa Mwanzo East Africa Radio Wakati Inaanza Enzi za Mutie Mengi afariki Dunia. Apumzike kwa amani.
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari wadau, Wale wanaume wa mikoani mkae mbali na huuu uzi.............Maanake nyie ndo mnasema Elimu bure ni kitanda kilichotandikwa kuongea maongezi ya kawaida......Sasa mi nawaambia...
2 Reactions
55 Replies
23K Views
Wakuu Huyu jamaa sijamsikia kitambo.. kaacha music au vipi? Kama kuna mtu mwenye info zake anijuze tafadhali.
5 Reactions
99 Replies
12K Views
Wasalaam wana jamvi. Bila shaka kila mtu amepata wasaha wakupitia na kusikiliza Album ya Msanii Rayvany basi utakubaliana nami na utaungana na wengi ni mmoja ya wasanii waliotoa album mbovu kwa...
2 Reactions
53 Replies
7K Views
Wakuu habari, hopeful mko poa wote, Mmoja kwa moja kwenye mada, nikiwa nikiangalia television ya taiga la Zimbabwe ya burudani inayokwenda kwa jina la JIVE TV kwa muda sasa, cha ajabu na kupendeza...
5 Reactions
10 Replies
1K Views
Wako wapi hawa watu hawaonekani kwenye mitandao kama zamani 1. Dudu Baya 2. Mchungaji Mashimo 3. Deo Nalimi Kisandu 4. Harmo Rapa
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hello JF, Mimi nimeona kama Ray vanny hajafanya vizuri kwenye album yake mpya. Moja nyimbo nyigi ameshirikisha wasanii wengine wakubwa which is good strategically ila wamemfunika,lol. Second...
7 Reactions
28 Replies
4K Views
Kuna zile animation za music wanatengeza wale wanaija wanajiita poka kwa kweli ni nzuri sana wanatengeneza kwa kiwango cha juu Waliwahi tengeneza video animation jeje ya diamond mpka mwenyewe...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Wiki inayoelekea ukingoni huenda ikawa wiki bora kuliko zote kwa vijana baada ya matajiri vijana wa kitanzania kufanya mazungumzo kwa zaidi ya masaa 13. Lemutuz ambaye anatwaja kama muajiri...
21 Reactions
75 Replies
11K Views
JASON DERULO🙌 Get Ugly Ridin Solo Want to want me Other Side Stupid love🙌🙌🙌 Talk Dirty Try Me ft Jlo🙌 Kiss the sky Swalla. Jason Derulo alikuwaga hatari Sana.....Siku za karibuni jamaa amepoa...
3 Reactions
33 Replies
3K Views
Ni ngoma flani laini iko fresh tu lakini nimechoka pale Jux ule mstari anasema: "Vanessa wanini we don't talk talk, sitaki shobo nishablock block"... Hapa naona kama hakutumia hekima kwa maana...
1 Reactions
31 Replies
4K Views
Ishu ya @diamondplatnumz x @hamisamobetto na @zarithebosslady yazidi kuvuka Border... Na sasa Billionaire wakike kutoka Kenya ambaye pia amewahi fanya kazi na Diamond Yamemfika hapa... Aandikia...
17 Reactions
59 Replies
10K Views
Huyu kaka anajua kuimba kuliko hata kina harry styles lakin sio popular kabsa. Instagram ana followers 400k na Twitter pia ana 400k. Youtube hana namba za kushangaza sana kwenye videos zake...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Ni siku kadhaa sasa clouds Tv haionekani kwenye kingamuzi za Azam. Wenyewe wapo kimya hakuna updates wala taarifa yoyote kama kuna tatizo ama lah. Sio kawaida kwa Tv station kama Coluds kua na...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
JAMBO ambalo unaweza kuwa na uhakika nalo kwa asilimia 90 kabla ya mechi ya Barcelona kuanza ni kumuona Lionel Messi akiingia uwanjani akiwa amevaa jezi namba 10 mgongoni. Hiyo ni sawa na ambavyo...
12 Reactions
62 Replies
9K Views
Nimeipitia hii albumb,binafsi nyimbo mbili au tatu tu ndo nimeziona kidogo ziko vizuri,Zamani, Mama na Lala ft Jux kiasi,..nyingine zote hazina maajabu,watoto wa mjini siku hizi wanaita "utopolo"...
2 Reactions
21 Replies
3K Views
Japokua she is not one of my favorites , ila ukweli usiopingika Hamisa Hassan Mobetto , ndiye mrembo anayekubalika kwa sasa na mwenye mvuto kwenye jamii ukilinganisha na mastaa wenzake wa kike...
10 Reactions
118 Replies
15K Views
Msanii wa Muziki Kenya, Freshley Mwamburi amesema kuwa amemsamehe Stellah wake ambaye alijitolea kwa ari na mali kumsomesha Udaktari miaka 5 nchini Japan. Baada ya Stellah kuhitimu udaktari nchi...
3 Reactions
47 Replies
7K Views
Wahenga wanasema vya kale dhahabu,mavi ya kale hayanuki,na uzee dawa lakini hali ni tofauti kwenye upande wa bongo fleva,ya kale yamekua kokoto za Kunduchi,wazee wetu pumzi zimekata,mistari...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…