Kifo cha msanii kanumba kimegubikwa na utata mkubwa.
Riport ya postmoterm (iliyosomwa na daktari kwenye hearing ya kesi ya Jamuhuri v/s Lulu) haioneshi kama Kanumba alikutwa na aina yeyote ya...
Kesi ya kuua bila kukusudia inayomkabili muigizaji wa filamu bongo Elizabeth Michael, (Lulu) imeendelea leo katika mahakama kuu jijini Dar es salaam, ambapo upande wa utetezi umeshindwa kuendelea...
Mel B na Eddie Murphy walibahatika kupata mtoto wa kike Angel mwenye umri wa miaka 10 sasa. Miaka tisa iliyopita walifikia makubaliano Eddie awe anampa Mel B £21,000 kwa mwezi kwa malezi ya mtoto...
Kautafiti kadogo nilikofanya chinichini kanaonyesha kuwa watu wengi maarufu hapa nchini ni "pipiro" aka andunje... yaani ni wafupi wa kimo.
Ukianzia kwa wasanii wetu wa muziki, bongofleva...
Huyu mwanamke sijui ni stress ama ni nini...
Katika hali inaonesha kupanick au kutojiamini na anachokifanya, amekuwa akijibu tena kwa kejeli kila comment ya mtu anayemcriticise, hii ni baada ya...
JINA lake kamili anajulikana kama Happiness
Millen Magese. Ni mshindi wa Shindano la Miss
Tanzania Mwaka 2001.Happiness Magese (35),
alikuwa akifanya kazi zake za uanamitindo
nchini Afrika Kusini...
Kwa muda mrefu nimekuwa nikifuatilia Eat Africa radio na Tv, wamekuwa ni walimu kwa watangazaji wanaotoka pale yaani watangazaji wanatoka wamekwiva ki maadili hadi utendaji.
Lakini ni kama swali...
MFAHAMU KWA UFUPI DONNIE YEN
"wale wa season mtupishe kidogo"
Donnie yen mcheza sinema maarufu katika tasnia hii ya filamu Duniani.
Mcheza sinema huyu ambae amezaliwa 27/7/1963 jimbo la...
Nashangaa sana,tena nashangaaa sana,kila shughuli ya serikali huyu mzee ndio anakuwa Mc,hivi mikoani hakuna watu wa kufanya hizi kazi mpaka awe anasafirishwa na serikali?
Au ameajiliwa na...
=========
Jordan Strauss/Invision/AP
Chadwick Boseman, star of “Black Panther,” died on Friday after a four year battle with colon cancer, his rep confirmed to Variety. He was 43.
Before he...
Wakuu
Wasanii wa Nigeria ni watu wenye akili sana ukitaka kujua hilo angalia muziki wao unavotamba dunia nzima.
Angalia nyimbo zao hata hapa Tanzania zinavopendwa hata club zinachezeka tofauti...
Je huu ni uzuzu, uzezeta, au ulimbukeni? Kwani umaarufu mpaka utoboe masikio na kuvaa heleni? Haya, hiyo haitoshi sasa wasuka twende kilioni na mkorogo wapaka.
Acheni hizo bana, mnatudhalilisha...
Habari zenu wakuu wa humu jamiiforums
Picha hapo chini ni mwana mama Zamaradi Mketema (Kushoto) pamoja na Sonia binti wa Monalissa Cherrie (Kulia).
NB: Mimi Infantry Soldier sio msomaji sana...
Naona jamaa hataki utani amemuwashia kweli moto mwanamuziki wa hiphop kutoka Nigeria Blackbone. Na ninachoona mpaka sasa mchezo keshautawala yeye
#Respect OGs, wanigeria lazima waelewe tu...
Umofia Kwenu wana JF,
Imeniladhimu nimuandikie waraka mfupi ndugu yetu Tonny Aka Tbway360 ili watu walio karibu nae au yeye akipitia humu JF aweze kuusoma.Nimeshawahi kukutana na Huyu jamaa mara...
Elton John na Renate Blauel walifunga ndoa mwaka 1988 iliyodumu kwa miaka minne. Wakati wana achana walikubaliana kuwa kila mmoja hataongelea tena ndoa yao hiyo na walifunga mjadala.
Mwaka 2019...
Muimba taarabu anayezid kujiwekea rekodi mbalimbali
Juzi amefikisha subscribers laki 5.
Amefikisha watazamaji MILLION 55 YouTube.
Amekuwa ontrending said ya mwezi sasa.
EP yake inaongoza kwa...
Hivi huyu jamaa ni nani wana habari wanamhoji sana sioni ata cha maana anachozungumza mara kalewa
Hivi waana habari wanakoswa kweli vitu vya kuhoji kwenye taifa hili hususani kwenye kipindi hiki...
Hivi hakuna uwezekano wao wakenya tubadilishane watupe msanii wao masauti..
Sisi tuwape lavalava,hamisa,harmorapa,
Maana sioni wanachokiimba..
Huyu masauti ukimsikiliza anasound kama mbongo yaani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.