Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

CEO wa kondegang harmonize amemsaini msanii scales kutoka nchini Nigeria katika label yake ya konde music worldwide. Source; harmonize Instagram page
8 Reactions
54 Replies
8K Views
Hawa ni Mastaa wa bongo wasio na skendo chafu yeyote 1.Hemed PhD 2.Vicent kigosi 3.Tino (bongo movie) 4.Daxx Cruz (Model) 5.Ommy Dimpoz (music) 6.Benny Kinyaiya 7.Prience fey (team...
0 Reactions
206 Replies
48K Views
Habari wakuu. Kipindi hiki cha janga hili la COVID-19. Kimesababisha watu wajifungie ndani (lock down). Hivyo hata maeneo ya starehe yamepungua watu. MaDJ wakubwa wakaamua kuanzisha group...
4 Reactions
33 Replies
4K Views
Msanii maarufu wa Kenya kwa jina Papa Shirandula amefariki dunia jumamosi asubuhi leo baada ya kupatwa na matatizo ya upumuaji. TV actor and comedian Charles Bukeko popularly knows as "Papa...
4 Reactions
34 Replies
5K Views
Miaka ya 90 mwishoni na 2000 mwanzoni kuliibuka vichwa hatari sana kwenye muziki wa Rap/Hiphop, hiki binafsi nakiona kama kizazi cha dhahabu kama ilivyokuwa timu ya Barcelona iliyomtetemesha SAF...
4 Reactions
41 Replies
7K Views
Wakuu kama kichwa kinavyooleza hapo ugomvi wa Komando huyu wa kike kwenye tasnia ya burudani ya Muziki wa Bongo Fleva umezikwa, leo tangu asubuhi bandika bandua ni ngoma tu za Lady Jay Dee...
2 Reactions
21 Replies
3K Views
Nashauri kundi la Diamond Platnumz-Wasafi wamuondolee nyazfa zote ndugu Paul Makonda. Hana msaada wowote na anaweza kuanza kuomba posho maana sasa ni jobless anakaa vijiweni tu Nashauri nafasi za...
7 Reactions
33 Replies
4K Views
Hii inashangaza sana kweli Mhe. Makonda kupewa MIC kama mzungumzaji kwenye harusi ya Dada wa Diamond, jamaa wamekata matangazo Hii kitaalaam tunaitaje?
5 Reactions
55 Replies
7K Views
Jide ameonyesha kuipenda na kufurahia tweet ya shabiki mmoja asiyejua muziki. Ni wazi 'like' aliyotoa Jide inaonyesha chuki aliyonayo kwa Zuchu ambae ni kama mtoto wa kumzaa kwake. Maoni ni mengi...
1 Reactions
196 Replies
19K Views
Wakati huu wa maisha magumu na pesa imekuwa ngumu kupatikana, Nikawaza zile millioni mia tano za yule aliyekuwa mshindi wa shindano la Big brother Afrika, bwana Idriss Sultan ni kwamba ametumbua...
5 Reactions
129 Replies
17K Views
Wanajamvi leo hii kila kona kumezagaa skendo ya Diamond ya kufanya utapeli baada ya kupokea advance kutoka kwa promota na kutotokea kwenye shoo huko Arusha, promota anadai alimlipa Diamond advance...
1 Reactions
79 Replies
13K Views
Aman iwe juu yenu Kama kichwa cha habali kinavyosomeka hapo juu Nina shida sana na huyu ninja mtu mpambanaji sana kidbwoy Je office yake iko wapi hapa mwanza Na huwa anapenda kukaa wapi na...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Mwanamuziki Robyn Rihanna Fenty (32) maarufu Rihanna kwa mara ya kwanza ameingia kwenye orodha ya Wanamuziki tajiri wanaoishi Uingereza na kushika nafasi ya 3. Amehamia London mwaka 2019 Rihanna...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Hawa vijana ni kutoka rFa Redio free Africa ni watangazaji wa michezo wazuri Wanafaa sana wakiungana katika kipindi cha sport arena wasafi fm Michael Noel Gwamaka Francis Exalioth Machinga...
2 Reactions
37 Replies
12K Views
Nimesikiliza wimbo wa Harmonize, nyimbo ya maombolezo. Kwa kweli asante sana kijana wetu, wimbo wako una hisia kali na umenitoa machozi. Kwenye wimbo Kijana kamlilia mzee, anasema kama siyo...
3 Reactions
36 Replies
5K Views
Wasalaam wana jamvi! Baada ya msiba wa Rais mstaafu tulitegemea wasanii wetu ndio watoa faraja wakuu katika kipindi cha maombolezo kwa tungo nzuri zenye mantiki na maana kuu. Baada ya msiba...
4 Reactions
47 Replies
5K Views
"Huyu huyu gavana wa benki yetu balali eeh, mamaa eeh, Alishiriki wizi akakimbilia mbalii yoo, mamaa ooh Eti wakatupasha habari, kwamba amefariki dunia, aaah aah.........[emoji445] Wasaalam...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Ni takribani wiki na ushee sasa Master Jay kakaa kimya sana na page zake za mitandao ya kijamii zipo kimya zaidi ya wiki. Master Jay ni msomi mwenye degree ya Uingereza katika fani ya uhandisi na...
5 Reactions
70 Replies
10K Views
Rapa wa kike nchini mwenye muonekano wa kiume Chemical akiongea na Times Fm amekiri kuwa ana mimba ya miezi saba ya mwanaume ambaye sio wa Dar ndio maana amekuwa kimya kimuziki na pia hapost picha...
11 Reactions
117 Replies
22K Views
Kama ambavyo Watanzania wengi tulivyoguswa na msiba huu mzito wa Kitaifa, wasanii wetu pia wameguswa.
3 Reactions
22 Replies
3K Views
Back
Top Bottom