Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Siku saba sasa zimepita tangu huyu binti menina ambaye ni msanii, mc, mwalimu wa madrasa na mchekeshaji lakini pia ni professional commercial Hawks, kutupia mitandaoni picha zake za uchi akiwa...
5 Reactions
358 Replies
74K Views
Ni ya muda kidogo ila ndicho kilichopo kwenye ubongo wake.
2 Reactions
62 Replies
12K Views
Leo jumatano ya tarehe 29 July 2020 watz tumemzika Rais mstaafu wa Awamu ya 3 Hayati BW Mkapa. Lakini wanamuziki kutoka Label ya WCB hawajaonekana kokote, either Masaki kwenye makazi ya Marehemu...
1 Reactions
32 Replies
4K Views
Wazee nimepita sehemu nikakuta haters wa Diamond wanasifia kishenzi kwamba Asley kanunua gari kali kuliko msanii yoyote hapa bongo, Sasa mimi huwa sipendi ujinga nikaingia chimbo nikafanya...
2 Reactions
48 Replies
11K Views
Hili ndo gari aina ya BMW ambalo Diamond alizawadiwa na Menejement yake Fella alikula keki kwa niaba ya mameneja wake Meneja wa Diamond, Babu Tale amesema party hiyo iligharimu...
1 Reactions
210 Replies
48K Views
Wajumbe?! Nimeguswa kuandika hii thread, ukizingatia leo tunampokea Tundu lissu niliyempa jina la "Muujiza unaoishi". Natambua sana kuwa wanawake ni wavumilivu sana sana hasa kwenye shida ngumu...
11 Reactions
27 Replies
4K Views
Nimeona makada mbalimbali wa CCM wakiwemo wasanii wakiripotiwa kuchukua fomu za ubunge katika majimbo mbalimbali na viti maalumu. Katika wasanii ambao nilitarajia kukutana na picha ama taarifa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwa wakazi wa Kinondoni, Tunaomba Mtukumbushe kadri mtakavyoweza, Uwezo na Matukio Aliyoyafanya Juma Ngedere, Kipindi chote Alichovuma Katika Michezo ya Kujihami... Historia yake na Alipo sasa...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Jioni hii kwenye TBC aridhio nimemwona mtangazi Spensa Lameck akiripoti kutoka Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam . Je, itakuwa amerudi TBC akijiandaa kukiwasha kwenye kampeni tena kunako mwezi ujao...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Quest in 2014 BornRichard Austin Quest 9 March 1962 (age 57) Liverpool, Merseyside, England NationalityBritish EducationAiredale and Wharfedale College University of Leeds Vanderbilt...
2 Reactions
91 Replies
20K Views
Huyu jamaa nakumbuka kipindi kile ITV alikuwa fundi Sana wa kuvaa uhusika aling'aa Sana na kina dokta cheni, sijui siku hizi yupo wapi na Kama ameachana na Mambo ya Sanaa maana hata kwenye movies...
2 Reactions
47 Replies
12K Views
Mmeyasikia fezzakessy anayo yasema uko insta kwamba yeye ni mzuri kuliko beyonce,beyonce kamzidi pesa na kuimba ila kwa uzuri ata subiri sana Fezzakessy anadai yeye ni mzuri kuliko wanawake wote...
3 Reactions
158 Replies
23K Views
Juzi Diamond Platnumz alikuwa Guinnea Bissau akipiga show , Wimbo wa mdogo mdogo ulipopigwa uwanja wote ulizizima na ikawa shangwe kila Kona chek video, video ni fupi ya dk moja
6 Reactions
34 Replies
6K Views
  • Closed
Sikiliza Wimbo wa Rosa Ree Ambao Harmonize Alitumia Beat Yake Bila Ruhusa na Kusababisha Rosa Kumshtaki youtube, Harmonize siku ya jana alipandisha wimbo katika Youtube channel yake wimbo wa Amen...
3 Reactions
17 Replies
4K Views
Jacqueline Obeid ‘Poshy Queen’ BAADA ya madai kusambaa kuwa mrembo anayetingisha jiji kutokana na umbo lake namba nane, Jacqueline Obeid ‘Poshy Queen’ ametengeneza umbo nchini Afrika Kusini na...
0 Reactions
101 Replies
29K Views
Leo asubuhi nikiwa katika pitapita zangu nimekutana na mtu akimpongeza Mboni kwa kujifungua mtoto wa kiume. Hii imekuja kama suprise kwangu kwani wakati wote wa ujauzito alikuwa kimya tofauti na...
1 Reactions
64 Replies
32K Views
Zuhura Kopa ajulikanaye kama ZUCHU, juma moja lililopita alifanya show Mlimani City hall, ilikuwa mbaya lakini kwa kuanzia siyo mbaya kwakuwa kila mtu huanzia chini na kupanda polepole. Vijana wa...
1 Reactions
24 Replies
5K Views
Pamoja na kwamba uhusiano wako na majirani haukuwa muhimu sana kwako, kwani una vijihela na connection, ulitumia pia ushawishi wako kuzuia nyumba yako isibomolewe kupisha ujenzi wa barabara wakati...
20 Reactions
44 Replies
7K Views
#KimKardashian has finally broken her silence about her #husband #KanyeWest's recent rants on #Twitter. == Kim Kardashian has finally broken her silence about her husband Kanye West's recent...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Kuna wakati huwa nawaza, kwa nini mtu ni maarufu halafu bado anaishi kwa wazazi? Kwa mfano, Mlelwa kwa umaarufu wako hustahili kuishi kwa mama, Baraka wa 69 records kwa nini bado upo kwa mama...
4 Reactions
134 Replies
16K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…