Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Rapper August Alsina akiwa na mbebes Jada,
3 Reactions
62 Replies
9K Views
Nikiwa kama mdau, ambae nimeanza ufatilia mziki wetu kwa muda mrefu sasa. Nanimekua mshabiki wa wasanii wengi toka game ya Bongo inaanza kolea mwaka 2001, No dhahiri na wazi kwa sasa hakuna msanii...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Namkubali bi dada so siri anapeperusha bendera yetu vyema kimataifa. Athante! Haya wote tunajua amechumbiwa kwa sasa, Haya hongera binti. Utata ni nani aliyemchumbia? Why anafanya siri...
0 Reactions
72 Replies
31K Views
Nasikiliza matrack ya zamani hapa, wako wapi hawa wasanii waliotamba early 2000s? -OCG wa Aquelina -Caz T -Pikko -Solid Ground Family -Noorah -Spider -Pasha -Chelea Man -Dataz -Fresh P -Marlow...
4 Reactions
37 Replies
4K Views
Habari zenu wadau wa Sanaa, Kama hapo juu, naomba mwenye ujuzi wa haya mambo anijuze jinsi wasanii wanavyopata pesa kupitia streams wakati hatulipii chochote zaidi ya MB tu. Wanalipwaje? Pesa...
1 Reactions
33 Replies
10K Views
Habari wananzengo , Nimeona post ya Harmonize kuhusu kuwatambulisha wasanii WATATU (3) mwezi ujao (August) na kwa alivyoonyesha wawili (2) watakuwa watanzania ambapo mmoja Ni wa kiume na mwingine...
2 Reactions
21 Replies
3K Views
Msanii wa muzuki wa bongo fleva Nuh Mziwanda ambaye alikuwa akitoka kimapenzi na Shilole alisema kuwa aliumia alipomfumania Madee na mpenzi wake huyo wa zamani katika sehemu ambayo si ya wazi...
2 Reactions
18 Replies
5K Views
Nikichukua fomu Kigamboni wala hata msiandae kura, andaeni masongi ya mazishi na rambirambi za kutosha. Idris Sultan Umemchokonoa Baba yake Kipenzi na akakutia 'Kimuhemuhe' hadi ukawa unatia...
6 Reactions
23 Replies
4K Views
Siku hizi Harmonize anautumia sana huu msemo.. Nimemuona akisema hivi kadhaa hasa anapoitwa kwenye Interviews zake. Jana baada ya kupita pita mtandaoni nikakutana na video moja YouTube inayohusu...
2 Reactions
33 Replies
4K Views
Naona hili bifu kati ya Gigy Money na Nandy linazidi kupamba moto kila kukicha. Ila tuseme ukweli Nandy ana dharau sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani Gigy yupo busy kusema anamjua...
5 Reactions
54 Replies
12K Views
Wasalaam wanajamvi Msanii Gigy Money hivi karibuni amekuwa akionekana kwenye media ya msanii Diamond Platinumz akifanya shughuli fulani ambayo mwanzo ilionekana kama ni serious lakini imekuja...
12 Reactions
158 Replies
15K Views
Baada ya kuulizwa kwenye kipindi cha clouds 360 anachukuliaje Ali Kiba na mama yake kumkana kwenye mapokezi ya msanii huyo, mrembo Jokate alijibu "Mimi kila kitu nachukulia positive unaambiwa...
13 Reactions
163 Replies
39K Views
By Sangu J Nimeona madai ya Konde Boy Mjeshi, @harmonize_tz kuhusiana na kutokuwepo kwa Tuzo na kusema inafanya muziki wetu usipige hatua na ameeleza inafanya Wasanii wenye vipaji wasioneshe...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, Poleni na majukumu na mihangaiko ya kila siku ya kutafuta riziki hasa kipindi hiki cha nchi yetu kuingia uchumi wa kati. Kwanza nianze kwa kuweka wazi kabisa mimi ni shabiki...
2 Reactions
33 Replies
4K Views
Bondia Abdalla Pazi a.k.a Dulla mbabe azidi kudhihirisha ubabe wake kwa kumtwanga mzee wa kabasero Francis Boniface Cheka. Cheka amepoteza pambano kwa knockout round 6 japo mwanzoni alianza...
1 Reactions
25 Replies
7K Views
Wakati ambapo Shilole anaendelea kumuomba Mungu amalizie mjengo wake uliopo Kimara jijini Dar es Salaam, Fid Q anaonesha kuzungusha mkwanja alionao kwenye biashara ya madini. Shilole amepost...
3 Reactions
76 Replies
30K Views
Serikali imesema kuwa imeokoa na kurejesha mamilioni ya fedha kwa familia za marehemu Mzee Majuto pamoja na familia ya marehemu Steven Kanumba kupitia mikataba ya kazi walioingia wakiwa hai. Hayo...
3 Reactions
21 Replies
4K Views
Wakuu pita pita zangu kule Instagram nimekutana na post ya Dulla wa planet bongo akishukuru uongozi wa East Afrca kwa kumkabidhi gari aina ya marcediz benz hii ni baada ya kukitumikia kituo hicho...
7 Reactions
37 Replies
6K Views
Hii ndio mambo tusiyopenda, mwanamama anahojiwa na Anthony Joseph anadai kazalishwa na askofu. Half katelekezwa. > Anasema yu tayari kupima DNA > Anasema mtoto ni mjanja mjanja kama Gwajima.
22 Reactions
1K Replies
131K Views
Katika fatilia yangu ya uchambuzi wa magazeti Wasafi Fm,aisee Zembwela anaboa kinyama yani. Maulid Kitenge bado ana mzuka wake uleule lakini akitaka kuweka vile vionjo vyake haipati sapoti...
15 Reactions
65 Replies
13K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…