Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Diamond anatikisa kichwa na kucheza kwa hisia kali sana na kuenjoy sauti ya king kama king, diamond inaonekana alimiss mziki mzuri, boss wenu amenyoooka
10 Reactions
89 Replies
8K Views
Officialshilole Naandika haya, nikiwa na akili timamu na utulivu, La kwanza kabisa nataka KUOMBA RADHI JAMII YANGU. Naomba radhi kwa sababu niliwaaminisha ndoa yangu haina tatizo, huku ukweli...
17 Reactions
1K Replies
83K Views
Uchebe akihojiwa na kituo kimoja cha radio anasema picha zilizopostiwa mtandaoni ni za mwaka jana na kwamba mwaka huu hajampiga Shilole kabisa. Anasema madai ya Shilole kupigwa siku ya sabasaba...
43 Reactions
324 Replies
24K Views
Huyu Jamaa ananifuraishaga sana, wala hatumii nguvu ku trend, he is comedian naturally, Ana kipaji mno, Sijui kama kuna mtu anamchukia huyu jamaa. Na kuhusu kupenda kum attack peter msechu Sijui...
17 Reactions
118 Replies
14K Views
  • Closed
Huyu mheshimiwa nilianza kumsikia kupitia redio fulani ya dini mwaka jana kama sikosei. Baadae nikamsikia ile redio yenye beef na mbunge ana kipindi cha weekend tu sijui wiki nzima ndo anakula...
23 Reactions
234 Replies
81K Views
Mastaa wabongo ambao hawaivi au kupikwa chombo kimoja wapangwa meza moja ya wageni waalikwa ikulu Chamwino Dodoma kwenye sherehe za kuweka mchanga. Je, nafsi zao wanaongea nini?
5 Reactions
120 Replies
14K Views
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Amebanaaaaa weeeee mwishoni kaachia. Kachoka masikini ya Mungu kupishana na fuko la hela maana kutomzungumzia Diamond Platnumz ni...
13 Reactions
66 Replies
7K Views
Huyu jamaa alikuwa ni producer mkali, ametengeneza ngoma zilizo-hit sana miaka hiyo ikiwemo ngoma nyingi za Banana Zorro kama Niko Radhi, Hafsa Kazinja - Pressure na ngoma kibao. Miaka ya...
1 Reactions
9 Replies
5K Views
Binafsi sijawahi kumkubali Joyce Kiria kiviile japo ana mambo ambayo huwa anafanya yana positive impact kwa jamii ila kuna mahali huwa anajichanganya sana hadi mtu unajiuliza huyu mama...
18 Reactions
790 Replies
81K Views
Nimekuwa nikifatilia performance nyingi zinazowakutanisha Alikiba na Diamond jukwa moja, huwa inampanikisha sana Diamond na kupelekea kufanya performance mbovu sana. Kama mnakumbuka kwenye Tuzo za...
7 Reactions
66 Replies
8K Views
Baada ya Flora kufeli kumpa kesi nzito ya kuhujumu uchumi aliyekuwa baba mchungaji Emma Mbasha ,hatimaye jamaa amemtambulisha mchumba wake kwa jamii na wanatarajia kutoa albamu yao mpya ya pamoja...
13 Reactions
157 Replies
29K Views
Yaani leo Clouds TV wameonyesha chuki ya wazi wazi mara baada ya Diamond Platnumz kupanda jukwaani
6 Reactions
112 Replies
10K Views
Bidada nasikia limemkuta jambo , ile ofisi yake aliyoifungua kwa mbwe mbwe wiki kadhaa iliyopita nasikia imevunjwa vunjwa na Vijana wanaosadikika wametumwa na mke wa muheshimiwa ambaye anadaiwa...
2 Reactions
50 Replies
11K Views
Leo Dodoma kwenye kikao cha CCM wasanii karibia wote walikuwepo ukumbini. Karibia wote walikuwa wamevalia jezi za CCM..Isipokuwa King Kiba, japo katumbuiza ila hakutaka kuvaa jezi ya CCM.. kama...
21 Reactions
44 Replies
6K Views
Habari zenu wana jamvi. Naomba kuwaulizeni nimekuwa nikisikia kuwa kuna Watu hawa Wawili wanajiita Wachambuzi mahiri wa masuala ya Kijamii, Kiuchumi na Kisiasa nchini Tanzania ambao ni Chris...
2 Reactions
43 Replies
11K Views
Habari zenu wapendwa baada ya bidada Snura Mushi kusema hawezi kuwavulia chupi wadogo zake yaani wanaume aliowazidi umri .. Juz kapost picha akidendeka hadharani na Ben pol , sasa swali ni je huyo...
2 Reactions
58 Replies
12K Views
Kazi aliyotoa chilla recently Ni Kali Sana inaitwa "bimbilika" inanikumbusha ngoma zake za nyuma Kama u Hali gani.Jamaa ana kipaji kikubwa Sana napenda apate Mafanikio Kama kipaji chake kilivyo.
0 Reactions
4 Replies
828 Views
GEEZ MABOVU AMEFARIKI DUNIA. Msanii mkongwe wa muziki wa kizazi kipya hapa nchini Ahamedy Ally Upete aka Geez Mabovu amefariki dunia usiku wa saa mbili ya leo baada ya kusumbuliwa na maradhi...
0 Reactions
217 Replies
61K Views
#Happynyerereday to everyone Kwa hapa Tanzania tumebarikiwa vipaji vingi sana vya Wana muziki tofauti tofauti ...lakini mada hii imejikita kwa upande wa hip-hop Ukanda wa kusini Tanzania...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Willy Smith baada ya Alsina,27, kusema alitembea na mke wake Pinkett Smith, 48! Uchebe akiendelea na yake!
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom