Diamond anatikisa kichwa na kucheza kwa hisia kali sana na kuenjoy sauti ya king kama king, diamond inaonekana alimiss mziki mzuri, boss wenu amenyoooka
Officialshilole Naandika haya, nikiwa na akili timamu na utulivu, La kwanza kabisa nataka KUOMBA RADHI JAMII YANGU. Naomba radhi kwa sababu niliwaaminisha ndoa yangu haina tatizo, huku ukweli...
Uchebe akihojiwa na kituo kimoja cha radio anasema picha zilizopostiwa mtandaoni ni za mwaka jana na kwamba mwaka huu hajampiga Shilole kabisa.
Anasema madai ya Shilole kupigwa siku ya sabasaba...
Huyu Jamaa ananifuraishaga sana, wala hatumii nguvu ku trend, he is comedian naturally, Ana kipaji mno, Sijui kama kuna mtu anamchukia huyu jamaa.
Na kuhusu kupenda kum attack peter msechu Sijui...
Huyu mheshimiwa nilianza kumsikia kupitia redio fulani ya dini mwaka jana kama sikosei. Baadae nikamsikia ile redio yenye beef na mbunge ana kipindi cha weekend tu sijui wiki nzima ndo anakula...
Mastaa wabongo ambao hawaivi au kupikwa chombo kimoja wapangwa meza moja ya wageni waalikwa ikulu Chamwino Dodoma kwenye sherehe za kuweka mchanga.
Je, nafsi zao wanaongea nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Amebanaaaaa weeeee mwishoni kaachia.
Kachoka masikini ya Mungu kupishana na fuko la hela maana kutomzungumzia Diamond Platnumz ni...
Huyu jamaa alikuwa ni producer mkali, ametengeneza ngoma zilizo-hit sana miaka hiyo ikiwemo ngoma nyingi za Banana Zorro kama Niko Radhi, Hafsa Kazinja - Pressure na ngoma kibao.
Miaka ya...
Binafsi sijawahi kumkubali Joyce Kiria kiviile japo ana mambo ambayo huwa anafanya yana positive impact kwa jamii ila kuna mahali huwa anajichanganya sana hadi mtu unajiuliza huyu mama...
Nimekuwa nikifatilia performance nyingi zinazowakutanisha Alikiba na Diamond jukwa moja, huwa inampanikisha sana Diamond na kupelekea kufanya performance mbovu sana. Kama mnakumbuka kwenye Tuzo za...
Baada ya Flora kufeli kumpa kesi nzito ya kuhujumu uchumi aliyekuwa baba mchungaji Emma Mbasha ,hatimaye jamaa amemtambulisha mchumba wake kwa jamii na wanatarajia kutoa albamu yao mpya ya pamoja...
Bidada nasikia limemkuta jambo , ile ofisi yake aliyoifungua kwa mbwe mbwe wiki kadhaa iliyopita nasikia imevunjwa vunjwa na Vijana wanaosadikika wametumwa na mke wa muheshimiwa ambaye anadaiwa...
Leo Dodoma kwenye kikao cha CCM wasanii karibia wote walikuwepo ukumbini. Karibia wote walikuwa wamevalia jezi za CCM..Isipokuwa King Kiba, japo katumbuiza ila hakutaka kuvaa jezi ya CCM.. kama...
Habari zenu wana jamvi.
Naomba kuwaulizeni nimekuwa nikisikia kuwa kuna Watu hawa Wawili wanajiita Wachambuzi mahiri wa masuala ya Kijamii, Kiuchumi na Kisiasa nchini Tanzania ambao ni Chris...
Habari zenu wapendwa baada ya bidada Snura Mushi kusema hawezi kuwavulia chupi wadogo zake yaani wanaume aliowazidi umri .. Juz kapost picha akidendeka hadharani na Ben pol , sasa swali ni je huyo...
Kazi aliyotoa chilla recently Ni Kali Sana inaitwa "bimbilika" inanikumbusha ngoma zake za nyuma Kama u Hali gani.Jamaa ana kipaji kikubwa Sana napenda apate Mafanikio Kama kipaji chake kilivyo.
GEEZ MABOVU AMEFARIKI DUNIA.
Msanii mkongwe wa muziki wa kizazi kipya hapa nchini Ahamedy Ally Upete aka Geez Mabovu amefariki dunia usiku wa saa mbili ya leo baada ya kusumbuliwa na maradhi...
#Happynyerereday to everyone
Kwa hapa Tanzania tumebarikiwa vipaji vingi sana vya Wana muziki tofauti tofauti ...lakini mada hii imejikita kwa upande wa hip-hop
Ukanda wa kusini Tanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.