Wasalaam wana jamvi!
Msanii Diamond Platinumz na muhariri mkuu wa wasafi media uenda wakaingia matatani kwa kudaiwa kukiuka sheria ya takwimu na ile sheria ya habari zinazo kataza chombo cha...
Anaandika Mange Kimambi
A letter to my brother Anil
Since baba amefariki in 2004 I have tried to be the best sister I can be. Siku zote nimewaweka nyinyi mbele yangu mimi.
Nimejaribu...
August Alsina (27) amerudi kwa kishindo kwenye muziki, amethibitisha kuwa kwenye mahusiano na mwanamama Jada Pinkett.
Kwenye mahojiano na Podcast ya Joe Budden, Alsina ambaye ameachia album mpya...
Kwa mujibu wa FB page yake Jokate amejibu issue yake na Wema ya kumchukulia Diamond na nukuu...
"Mie nimpore Wema Diamond, that is too low for me ingawa Diamond alionyesha interest but I have one...
Habari za asubuhi Watanganyika wenzangu.
Lengo la kuwapa ajira wasanii bila shaka inalenga kuwapata wasikilizaji, kuwagombea audience kutengeneza base.
Zembwela hata mie amenivutia kumsikiliza...
Hellow wadau mambo vipi.
Unajua Nini nilikuwa nacheki TV dakika kadhaa zilizopita nikamona Ali Kiba na wimbo wake. Basi nikakumbuka kitu huyu Ali sijasikia akitoa pole, rambirambi wala kufika...
Nimefuatilia sana kwenye radio na mitandaoni pia nimegundua kuna watu wako vizuri sana kwenye usomaji wa makala. Top 3 yangu hii
3. Spesho Kabwanga (kituo chake youtube) anasomaga pia kwenye...
Miaka ya nyuma nyimbo zilikuwa zikitoa ujumbe wa mapenzi (zilikuwa zikiitwa nyimbo za mapenzi) kwa mfano:
TID ft Jay Dee - Understanding
TID - Asha
Jaydee ft Matonya - Anita
TID - Zeze
Dully...
wasanii wetu yawapasa wawe makini sana. Hebu ona haya mambo kutoka kwa mr.nice. (kwa hisani ya le mutuz)
Katika hali isiiyokuwa ya kawaida mwanamuziki Lucas Mkenda maarufu kwa jina la Mr Nice...
Wana Jf
Ukisikia mwanakuyatafuta na mwanakuyapata Ni pale msanii maarufu baada ya kuposti picha chafu za kumdhalilisha mwanae wa kiume mavazi ya kike na kumpamba mithili ya like. Wanamitandao...
Mastaa wa kike wenye ushawishi mkubwa haswa kwa wanawake na wenye mamilioni ya mashabiki, wameonyesha kuchanganyikiwa na kipaji pamoja na kazi za Zuchu msanii wa kike toka WCB.
Wamekuwa wakipost...
Akiwa mmeposti kwenye ukurasa Wake Wa Instagram kasema " Trust Me kutokuwepo kwa Tuzo kwenye Muziki Inapunguza Thamani ya Muziki Tanzania Maana sasa hivi tumebaki kushindania YouTube tu ngoma yako...
Ndugu yangu Ally Kiba nakushauli uache kupiga muziki. Hakika muziki ni kazi ya shetani. Kuna kazi nyingi za kufanya ambazo zinampendeza Mnyaazi, umaarufu huu wa duniani hautokufaa kesho akhera.
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu
Katika pita zangu zangu leo nikasikia jamaa anayemiliki dar live anaitwa erick shigongo, nikawaza huyu jamaa ni...
Kwa wapenzi wenzangu wa Mziki wa Injili, kesho tar05 Jumapili viwanja vya Tanganyika Packers -Kawe, kutakuwa na tamasha kubwa la mziki wa Injili linaloitwa ' Muziki wa Shukrani, Kila Goti...
Mke wa producer nguli na mmiliki wa BeatsByDre, bwana Dr. Dre ameomba talaka baada ya kuishi wote takriban miaka 24 kwenye ndoa. Iwapo mahakama itaamuru waachane, basi mwanamama Nicole Young...
Kupitia akaunti yake ya facebook, mwanamitindo na mjasiriamali Joketi Mwegelo, ametoa tahadhari kwa wananchi kuhusu uwepo wa mtu anayetumia jina la Joketi Mwegelo kuwatapeli...
Mwigizaji maarufu Goo Hara ambaye amezaliwa kwenye mji wa Seoul nchini South Korea ameigiza korean drama Kama City hunter, secret love na nyingine nyingi Leo amefariki akiwa na miaka 28.
Mwadada...
Miongoni mwa wasanii ambao hapa nyumbani bongo wanaishi maisha yao bila kupretend ni Alikiba. Huyu jamaa hata akizikwa leo naamini watu hawatoshangaa maisha yake maana ha fake kitu chochote.
Me...
Na Hash Power
Kuna msemo mmoja kwamba ukipenda kazi unayoifanya, lazima ufanikiwe maishani mwako! Gene Deitch, ni miongoni mwa mifano inayoishi ya jinsi kujituma, kupenda unachokifanya na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.