Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Q Chillah amenukuliwa akisema " Mwana Fa acha utoto" . Hii ni baada ya msanii Mwana Fa ambae jina lake halisi ni Hamisi Mwinjuma kujitangaza anaugua maradhi ya Corona. Q Chillah ana amini kuwa...
8 Reactions
95 Replies
12K Views
Huyu mwanamke nampenda sana, anamiguu mizuri sana (vimatege kwa mbali halafu vimejaa nyama) sauti sasa ina kibezi flani hivi, simpatii picha hapo 6x6 anavyolalamika, sura na rangi nayo anayo...
1 Reactions
40 Replies
6K Views
Je, wajua Video ya Diamond Platnumz i miss you remix ile treni kwenye video unayoiona sio treni kweli eneo la tukio(location) hapakuwa na treni ila ni utaalam ulitumika ionekane treni kweli. Na...
5 Reactions
30 Replies
5K Views
Msanii wa Kimataifa kutoka Tanzania Diamond Platnumz a.k.a baba lao wakati akiwa insta live akiwasiliana na mashabiki wake wa nchi tofauti tofauti ikiwemo kujibu maswali ya mashabiki wake akaamua...
0 Reactions
27 Replies
6K Views
Napenda muziki. Kuanzia reggae, blues, kwaito, hip hop, zouk hadi rhumba kote huko nimepita ila ladha ninayoipata nisikilizapo muziki wa country sijawahi kuipata kwenye muziki mwingine wowote ule...
14 Reactions
83 Replies
13K Views
Hivi huyu mwanamziki bado yupo duniani, nilikuwa napenda sana nyimbo zake, hasa ule imekaa vibaya hi bado haijatulia Lucas Mobutu,]
1 Reactions
60 Replies
13K Views
Wanajamvi hatimaye msanii Rich Mavoko amepata usajili wake kutoka BASATA huku wakimtambua kama msanii asiyechini ya lebo ya WCB. Awali kulikuwa na mkanganyiko wa kimkataba maana WCB walikuwa...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Kuna msemo usemao experience is the best teacher, msemo huu umekamilika kupitia mama mzazi wa msanii diamond platnums , baada ya kuigiza kama mama ambaye ana maisha magumu kupitiliza,huku akiwa...
2 Reactions
41 Replies
11K Views
HATIMAYE yule Video Queen wa Bongo, Agnes Gerald Waya ‘Masogange' aliyepatikana na hatia ya kuingiza nchini Afrika Kusini malighafi haramu aina ya ephedrine, amemtaja mtu aliyemtuma mzigo...
0 Reactions
29 Replies
7K Views
Aurlus Mabele ni mwanamuziki kutokea congo kinshasa alikua maarufu sana katika band miaka ya 90 Inadaiwa amekimbiwa na mkewe aitwaye Liza ambaye alizaa nae. Nguli huyu wa muziki wa sokous...
12 Reactions
99 Replies
19K Views
Nimeiskiliza album yote ya Harmonize kusema ukweli kwangu mimi binafsi nyimbo nilizozielewa ni Bedroom (licha ya vionjo vya beat kufanana na Teamo wa Ray), Good, na Mpaka Kesho ila nilichogundua...
9 Reactions
56 Replies
8K Views
Huu wimbo mpya wa Z Anto ambao ni diss kwa stamina ni mkali. Wimbo unaitwa "Mako stamina " Mako kinyume ameigeuza kisanii akimaanisha "koma stamina". Z Anto karudi kwa kiki ya stamina I hope...
1 Reactions
19 Replies
5K Views
Msanii wa bongo movie na mwanadada mrembo amefunguka wakati akifanyiwa interview na gazeti la Mwananchi yeye ndio mtu atakayemtuliza Diamond cos asimilia kubwa ya wanawake hasa Hawa maarufu...
1 Reactions
40 Replies
7K Views
Kumekuwa na mabishano mengi kuhusu uzuri wa hawa watu wawili, mmoja Ni mkenya mwingine ni mmeru wa Tanzania, nani mzuri zaidi.
0 Reactions
114 Replies
19K Views
Shoga kidawa nae siku hizi Naona anarudi kwa kasi ya Corona, mbona anakua mzuri hivi, halafu ana mvuto wa ajabu, yan karudi kwenye level zake zile za miaka ya 2006/17. Sijui shoga angu kapata...
3 Reactions
51 Replies
11K Views
Naongelea hasa zile basics za corona ikiwemo matumizi ya vifaa kinga kama mask, gloves na sanitizer. Wakati mashirika makubwa ya Afya duniani na vyombo vingine vya habari wakihamasisha hatua...
3 Reactions
102 Replies
12K Views
Jana nimemsikia presenta mmoja wa radio maarufu akidai kwamba "wasanii wa Nigeria wanaendelea sababu wana UMOJA, hawana ma-bifu". Hata wasanii wanaoheshimika bongo wamekua wakitoa hii hoja. Je...
5 Reactions
16 Replies
4K Views
Pamoja na ugeni wa Corona nchini Tanzania, lakini hatutaweza kuacha kuwakumbuka na kuwatakia heri ya maisha yao Mashujaa wachache wa Taifa hili, Akiwemo Mh Halima Mdee, ambaye uwepo wake nchini...
18 Reactions
44 Replies
5K Views
By Sangu Joseph WAGENI MASHUGHURI Moja ya vitu vingine ambavyo niliviinjoy sana ni pale kuona viongozi wa kisiasa, wakijumuika na wasanii, wafanyabiashara kuhakikisha Albamu ya #AfroEast ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…