Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Diamond amefanya vizuri 2019 hakuna ubishi. Amefanya shows za mafanikio na ameangaliwa zaidi kwenye You Tube kuliko msaanii mwingine yeyote Afrika!!! Wasanii wa West na South Afrika ambao Mondi...
14 Reactions
125 Replies
12K Views
Msanii Dudu amefunguka baada ya kusikia kufungiwa mziki wake amesema sijapata wala kupokea barua yao so nitaendelea na mziki wangu Kama kawaida mpaka pale nitapopata barua yao alafu pia me...
10 Reactions
45 Replies
6K Views
Ni jambo la kishujaa alilolifanya na limewashida wengi. Ludacris kupitia ukurasa wake wa instagram, amepost video akiwa kashikilia passport ya Gabon kwenye video ameandika maneno akionesha kwamba...
9 Reactions
57 Replies
8K Views
Mnafikiri pesa za kulipa vitu vyote visivyo na maana zinatoka wapi. Dunia nzima hii ndiyo sababu ya kufilisika kwa waburudishaji wengi. Oprah alisema wengi wao hata matumizi na checks hawaandiki...
2 Reactions
55 Replies
11K Views
Wadau, Gwiji na mfalme wa R&B R Kelly yupo kwenye wakati mgumu kutokana na tuhuma za udhalilishaji kimapenzi kwa watoto. Safari hii tuhuma zimemlemea na kutikisa dunia ya muziki ambayo imempa...
8 Reactions
169 Replies
19K Views
Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Kikwete pamoja na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Juliana Shonza wakiwa kwenye matembezi ya kilomita tano pamoja na wanariadha wengine...
7 Reactions
74 Replies
15K Views
Zaidi, soma: Diamond Platnumz ndani ya Times FM: Ukinifungia nyimbo haunipunguzii kitu nitafanya show hata nje Shonza: Siwezi kujibizana na Diamond
5 Reactions
204 Replies
30K Views
Ni miezi 7 sasa tangu huyu mtanzania mwenzetu afariki, sio ndugu yangu, hajawahi kunipa hata shillingi tano, na wala sijawahi kuonana nae uso kwa uso, ila maisha yake yameni-inspire sana, sio siri...
7 Reactions
27 Replies
3K Views
Inauma sana! Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Mh. Juma Hamidu Aweso kumbe kazaliwa mwaka 1986?! Dah! Kama ni kweli ameanza kula maisha mapema sana!
2 Reactions
31 Replies
7K Views
Muigizaji huyo ameyasema hayo Ijumaa hii akiwa kwenye uzinduzi wa kipindi kipya cha Nipe Code ambacho kitaoneshwa kupitia king’amuzi cha @startimestz .
1 Reactions
54 Replies
8K Views
Ali Kiba ni staa kwenye muziki wa Bongo Fleva.. kama wewe ni mtumiaji wa Instagram utakuwa umeona kwamba Ali Kiba haja-follow mtu yoyote ukitembelea mitandao ya kijamii ya Ali Kiba utaona ya kuwa...
4 Reactions
192 Replies
24K Views
Nani ni mcharuko kati ya lulu na wema?
0 Reactions
21 Replies
6K Views
BAADA YA KIMYA CHA MUDA MREFU MWANAMUZIKI KING CRAZY GK JANA ALIONEKANA KWENYE HADHARA KATIKA TUZO ZA KILI. CRAZY GK ANAKUMBUKWA SANA ALITAMBA NA KUNDI LAKE LA EAST COAST TEAM.
4 Reactions
94 Replies
21K Views
Hongera sana mtu mzima Jay. Kudumu kwenye relationship kwa kipindi chote hicho sio mchezo ukizingatia maneno ya watu kujaribu kuwashusha na kuwaongelea sivyo. Nimependa Jay na Bey wamefanya...
6 Reactions
48 Replies
9K Views
Diamond ana perform ktk hizi tuzo za CAF kwa mara ya tatu. ---------------------------- Diamond Platnumz aki-perform kwenye CAF
6 Reactions
76 Replies
12K Views
Kuwa nawalinzi sio sababu ya kuuliwa tu, kitendo chakutoka point A to B ukitembea mashabiki wana weza kukuzonga kukuvutavuta sasa. Kwa upande wa kiba haitaj kwasababu kiwango hicho kwake...
3 Reactions
30 Replies
4K Views
Haya sasa tangia jana ni missile after missile... Inavyoonekana huyu Diva alikuwa na hamu sana Platnumz amjibu , maana tangia amejibiwa anarukaruka tuuu mara aseme hivi mara vileee, sahizi...
1 Reactions
137 Replies
20K Views
Yule muigizaji wa kimataifa wa nchini Tanzania ambae majuzi akiongozana na baadhi ya waigizaji wa Dar ametia kinyaa uwanja wa kigali na kufikia kila mtu kuanza kutukana Kinyarwanda Haikuwa rahisi...
1 Reactions
110 Replies
66K Views
Kwenu wakuu Huyu msanii nyimbo zake zilizopita zilikua hits kiasi chake na nzuri ila sikuhizi sijui anatoa ushubwada gani usharo mwingiiiii Nyimbo sio hits tena sio zile zinye pick ile aliyokuja...
4 Reactions
41 Replies
7K Views
Back
Top Bottom