Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Nowdays tunakosa vitu vingi toka industry sanaa in general.Tunakosa songs ambazo zinareflect our reality, zinareflect real life situations Like mentioned one hapo juu The song imekamilika...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kuna wimbo mmoja hiv unasikika Sana mtaani ni wa bongo fleva umeimbwa na mwanamke na mwanaume na moja Kati ya mistari ya huo wimbo ni "Naisi kuibiwa, nachanganyikiwa" "Nimechoka kusubili,mbona...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Aman iwe nanyi wakuu katika jukwaa Kama kichwa cha habali kinavyosomeka hapo juu Kuna ngoma imeachiwa hewan huko ya nandi ya ommy dimpoz lakin ukweli tu ni kwamba goma ni kali sana video nzuri...
2 Reactions
17 Replies
5K Views
Huu ujinga wa bifu la kweli ao kama la kutengeneza la kondeboy na domo limeuwa mziki wetu ..vi mbosso rayvanny alikiba lavalava vyote tu vimepotezwa kwenye ramani ya mzikii kisaa harmonize na domo...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Katika pitapita mitandaoni nimekutana na hili.... Wakenya wako vizuri sana hawa majirani zetu. Is Singer Nandy Really Tanzanian or Kenyan? Scooper - Entertainment News: Is Singer Nandy Really...
1 Reactions
32 Replies
3K Views
Kwanza kabisa na mpongeza kwa kufikisha miaka 10 ya mziki wake SI rahisi kuwa on top kwa miaka hiyo yote lakini huyu mwamba kaweza.Haya ni baadhi ya mambo aliyofanya kwenye kipindi chake chote Cha...
18 Reactions
206 Replies
24K Views
Nimekuwa nikisikia mara kadhaa mijadala ya vijana wakijaribu kumlinganisha Diamond Platnumz na Ali Kiba, nionavyo mimi kwa mahali alipofika Diamond, hakuna msanii wa kulinganisha naye kwa hapa...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Mambo si ndio hayaa shemeji katua Ila isijekuwa kiki 🤣[emoji23] Uzi tayari Sent using Jamii Forums mobile app
15 Reactions
156 Replies
17K Views
Umaarufu (Fame) wengi tuna matamanio ya kuwa watu maarufu katika sehemu tunazoishi ila kwa bahati mbaya mambo yanakuwa yanaenda vice versa once nakumbuka nilipokuwa nasoma nilipata wakati mgumu...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Msanii aliyelelewa na kutengenezwa kwenye record label ya Wasafi, Harmonize aka Konde Boy sasa ametangaza vita na Wasafi. Ametumia page yake ya Instagram kuishambulia show ya boss wake wa zamani...
4 Reactions
43 Replies
9K Views
Hello fellas Kwa wanaofuatilia kinachofanyika leo Tandahimba Naona Jeshiiii kaamua kulipa sasa, kijana naona Anaanza kutisha maana kaanza kwa vitisho. Nimeona imetolewa kafara na kufanyiwa...
10 Reactions
71 Replies
13K Views
Harmonise "MondiRapa"!!! Wanaiga sana mondi. Naona ilianza Harmonize kumkubali sana Mondi toka alipokuwa WCB!!! Maana kuanzia mziki mpaka swag zake, social media zake, kuanzisha festival, nk...
2 Reactions
101 Replies
11K Views
Baada ya diamond kupost mapokezi aliyopata kigoma msanii legend wa Marekani Neyo na mshindi wa tuzo ya Grammy akakoment nakusema A king period.comment hiyo imewafurahisha watu wengi ikiwemo...
4 Reactions
39 Replies
6K Views
Wana JF Heri ya mwaka mpya. Usiku wa kuamkia mwaka mpya 2020 msanii Harmonize alikuwa na show kubwa katika mkoa wa Mtwara pale Tandahimba. Pamoja na kupiga show kali iliyojaza watu wengi msanii...
7 Reactions
32 Replies
5K Views
Jana niliskia kua Msanii Diamond amepenga kujenga msikiti mkubwa tu hapo tandale na kwamba amenunua uwanja mkubwa sana hapo tandale na kama haitoshi wakasema kua amepanga kuigeuza Tandale kua...
2 Reactions
130 Replies
21K Views
Taarifa niliyoikuta moja na studio za kuandaa muziki nilipokwenda kurekodi nyimbo yangu siku ya jana usiku ni kwamba Diamond alikuwa anataka kuchukua uraia wa Kenya. Maamuzi hayo ni kufatia...
14 Reactions
69 Replies
11K Views
NIMEONA andiko la Mrisho Khalfan Ngassa mitandaoni. Ni andiko flan hivi ambalo lina vimelea vya kujitilisha huruma. Alichofanya huo ndo uzalendo mkubwa kwa timu yake. Wachezaji wote wangekuwa hivi...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wakuu, niende moja kwamoja kwenye hii habari. Taarifa zilikuwa zikienea kuwa nyota huyo wa muziki duniani mwenye umri wa miaka 61 amekuwa akitoka na kijana huyo ambaye ni mnenguaji wake...
1 Reactions
47 Replies
6K Views
December 31, 2019 Johannesburg, Republic of South Africa 31 Dec 2019 South African singer-songwriter Yvonne Chaka Chaka has been deported from Uganda. She'd been invited to perform at New Year...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
AliKiba: huyu jamaa ni mwanamuziki mzuri kwakweli. anafanya kazi kivyake na hana shobo za kijingajinga. anatoa nyimbo anapoona inafaa kufanya hivyo. anapondwa kweli humu JF na watu wanaojiita ni...
2 Reactions
37 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…