Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Hii ni couple ambayo wakati inaanza wengi haikuwashtua, lakini muda unavyozidi kwenda inazidi kuwa na nguvu za ajabu. Ni swala la muda tu, ila awa ndio Beyonce na Jiga wa Africa.
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Inasemekana gavana joho kampa nyumba mombasa pamoja na gari aina ya range na billion kadhaa. Huko marekani baada ya show ya kufa mtu last week p square wamemuomba collabo wamemlipa tsh 200m
9 Reactions
74 Replies
15K Views
Fahamu: Diamond Platnumz anaogopa kuoa mapema kwa hofu ya kupoteza mashabiki wake wengi wa kike kwani wapo wanaompigia mahesabu ya kumnasa kimapenzi hivyo akioa mapema haijulikani watakuwa na hali...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Waziri wa habari sanaa na michezo Dr Harrison mwakyembe ametoa pongezi zake kwa mwanamziki diamond kwa uzinduzi wa sports arena alioufanya kwa ukubwa kuanzia maandalizi pamoja na ubunifu walitumia...
1 Reactions
37 Replies
5K Views
Nasikia bibie na baby wake wapo central kwa utapeli, nasikia walimtapeli mtu kwenye instagram ya wema sepetu , watu wa matangazo.... sasa bibie akaamua aji hack apost matangazo🤣🤣, Ila njaa mbaya ...
8 Reactions
42 Replies
8K Views
Leo tuje kwenye maisha binafsi ya wasanii wetu nje ya mziki wao Tokea diamond awe na uhusiano na tanasha, mondi ametulia sana usikii sijui katoa na Nani Nampa pongezi tanasha kwa kumtuliza mondi...
1 Reactions
37 Replies
7K Views
MUIGIZAJI wa Bongo movie, Shamsa Ford amesema si kweli kwamba Diamond anawadhalilisha wanawake anaotoka nao kimapenzi kwa kusambaza video zao mtandaoni. Diamond amezua gumzo baada ya video yake...
1 Reactions
17 Replies
5K Views
Kutokana na mabalaa yanayomkuta hamisa mobeto na hii caption ya shamsa , je huu ujumbe unaweza kuwa wa hamisa kutokana na matukio kadhaa aliyowahi kumfanyia zari huko nyuma? , ni kweli anayopitia...
2 Reactions
27 Replies
5K Views
Msanii wa Muziki wa Mombasa Nchini Kenya,maarufu kama Nyota Ndogo,ameamua kuachana na maisha ya upweke na kuamua kufunga ndoa na mchumba wake wa muda mrefu Kitendo cha Nyota Ndogo kuamua kufunga...
1 Reactions
38 Replies
10K Views
Mkurugenzi wa vipindi clouds media Joseph kusaga amefunguka kuhusu kudaiwa kuwa ana hisa ndani ya wasafi media kupitia mahojiano yake na jonijoo kwenye kipindi Cha bartender amesema " sina hisa...
2 Reactions
67 Replies
11K Views
Nadhani kuna siri kati ya wawili hawa... Diamond na Harmonize... Lakini hata kama ni siri lakini wameonesha ukomavu mkubwa kwenye mahojiano yao na media za bongo Media za kimbeambea na...
30 Reactions
41 Replies
8K Views
Jana nimejiskia vibaya mbaya kabisa huyu mama kaenda jamani 😴😴 Songi lake la "It must have been in love, nikimkumbuka roho Yauma eti RIP mamilooo
8 Reactions
25 Replies
3K Views
Huyu Binti wa Mhe Mtemvu ambaye amesababisha kufungiwa kwa mashindano ya miss tanzania, na hivyo kuwakosesha fursa mabinti wengine na waandaaji wa mashindano hayo. Nimemuona anahojiwa leo kwenye...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Binadamu aliyeumbwa na Mungu ana haki ya kuheshimiwa. Ikiwemo kuheshimiwa rangi ya ngozi yake. Hii ni haki ya kikatiba katika nchi yetu ya Tanzania. Mtanzania Juma Lokole akihojiwa mitandaoni...
3 Reactions
54 Replies
13K Views
. . Miezi michache kadhaa niliandika Makala maalum kuhusu Konde Boy Juu ya uamuzi wake kujiondoa WCB na vitu atakavyotakiwa kuvifanya ili kuweza kuwin soko nje ya WCB, Makala niliichapisha kwenye...
2 Reactions
28 Replies
6K Views
Mchekeshaji na Tv Show host maarufu nchini Marekani Ellen na mkewe Portia walikua nchini Kenya kwa mapumziko baadae wakaenda Rwanda na kukutana na Rais Kagame, Ellen na Portia wana project ya...
4 Reactions
42 Replies
7K Views
Inasemekana mtoto wa Bibi bomba,alienda kumuomba C.Bella atunge wimbo maalumu kwa ajili ya mama ake mzazi ambaye ni siti mtemvu. Kwa mujibu wa Le mutuz wa Starlet,mtoto wa siti yupo morogoro
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Mkurugenzi wa Lino Agency akichat Live na mashabiki wa EATV kupitia ukurasa wa facebook wa EATV Mkurugenzi wa Lino Agency ambao ni waandaaji wa Miss Tanzania, Hashim Lundenga amefunguka na...
1 Reactions
16 Replies
4K Views
habari wadau.. nimeona kwenye habari hashim lundenga anaomba serikali imsaidie kutafuta wafadhili wa miss tanzania.. kama yupo humu au jamaa yeyote aliyopo humu amfikishie huu ushauri. ni...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom